Bora kusema serikali ya CCM kuliko kusema serikali ya mtu Fulani tena kwa kulitaja jina lake,hizi marufuku ziwe kwa woteNikuulize mkuu ile issue ya Ujerumani kulazwa alipaswa kuanzisha Serikali. Afu punguza sana haya mambo ya Serikali ya CCM. Imeshachaguliwa Ni Serikali and that means Ni yetu sote. Neno dogo tu Serikali ya CCM unapolitumia katika muktadha huu inakutambulisha aina ya mtu na malengo...
Ngoja nikuulize:Nikuulize mkuu ile issue ya Ujerumani kulazwa alipaswa kuanzisha Serikali. Afu punguza sana haya mambo ya Serikali ya CCM. Imeshachaguliwa Ni Serikali and that means Ni yetu sote. Neno dogo tu Serikali ya CCM unapolitumia katika muktadha huu inakutambulisha aina ya mtu na malengo...
Well, they better be careful...nadhani hawawezi kutoa taarifa kwasababu kwa muda mrefu wamekuwa wakisema Ikulu sio wodi ya wagonjwa, na mtu yeyote mwenye changamoto za kiafya, au mwenye ulemavu, hastahili kuchaguliwa kuwa Raisi wa Tanzania.
Well, I hope you are right.Nyani Ngabu na uhabarishaji wako kwa njia ya mtandao uwezo wa kupata habari ni finyu sana sana ukilinganisha na Taasisi ya Urais.
Ni Taasisi ambayo inahakikisha usalama wa nchi, raia na mali zai...
Awamu ya 5 ni utawala mzuri sana kutoka kwa mungu JPM ni chaguo la munguAwamu ya tano ni utawala wa ajabu sana.
Ni sahihi lkn walitakiwa wawe hatua moja mbele ya mitandao... wao ndo walitakiwa kuwa credible source ya info kwa sisi wananchi...so wangefanikiwa kutuaminisha kile wanachotaka sisi tujue... leo hii ikitokea kile kinachosemwa mtandaoni ni kweli... inamaana wamepoteza credibility.. next time watu wataendelea kuamini zaidi mitandao. Sijui huwa wanawazaga nini? Mabavu huwa hayajengi kabisa... kumcontrol mtu kwa kumnyamazisha ...its a wrong move.Why crisis management??? Tanzania ina 'Government Continuity Plan' bora kuliko nchi nyingi Africa na hata Middle East! As you said, information lazima ziwe managed, sio kila taarifa inapaswa kuwa broadcasted, na sio kila uvumi wa mitandao (au mainstream media) lazima ujibiwe. For very obvious reasons, wananchi wanapewa taarifa 'on a need to know basis'..Afterall, Ofisi Ya Rais haifanyi kazi na mitandao ya kijamii,
🤣 🤣 🤣 there are a few, but gagged by the incumbent chap.Sometimes I wonder if there’s anybody out there in government who even has a semblance of common sense!
Sorry we ndioo hiyoo taasis au nawe unajisemea tuNyani Ngabu na uhabarishaji wako kwa njia ya mtandao uwezo wa kupata habari ni finyu sana sana ukilinganisha na Taasisi ya Urais..
StrokeNo Tl has influence on social networks BBC , DW wasingetoa attention ...Jana aliposema mzee kapooza kiuno , upande mmoja na Covid 19 ...people started to get the high view about it condition na walivyo relate na statement ya VP![]()
Kwa msingi huo, ina maana basi jamaa bado yu hai, siyo?
Manake ingekuwa ni kinyume na hivyo, kwa nini waogope kutangaza?
Ila wanakosea sana.
Imani ya wananchi kwa serikali yao imeshuka sana.
Ngoja nikuulize:
Hivi unaona ni sawa kabisa au ni kawaida kwa Rais kutokuonekana popote pale kwa zaidi ya wiki mbili na serikali iko sahihi kabisa kutokusema chochote kile kilicho cha uhakika kuhusu aliko na labda hali yake ikoje?
Why crisis management??? Tanzania ina 'Government Continuity Plan' bora kuliko nchi nyingi Africa na hata Middle East! As you said, information lazima ziwe managed, sio kila taarifa inapaswa kuwa broadcasted, na sio kila uvumi wa mitandao (au mainstream media) lazima ujibiwe. For very obvious reasons, wananchi wanapewa taarifa 'on a need to know basis'..Afterall, Ofisi Ya Rais haifanyi kazi na mitandao ya kijamii,
Hakuna tatizo lolote na hisia zako si za ukweli.Mimi message kubwa niliyoipata baada ya VP Bi. Samia Suluhu Hassan na PM Bw. Majaliwa K. Majaliwa kutoa taarifa zinazokinzana, ni kana kwamba ishu ya Rais John P. Magufuli iko managed na kikundi kingine cha watu...
Information management is a wide area in terms of government machinery with all its agencies.Hey, it’s me, yours truly and back again with another one.
I got a feeling. A feeling deep down in my bones that it’s the end of the road. A big announcement soon to come? Let’s keep it locked and not change that dial and we shall find out. But that’s neither here nor there. So let’s get to it..
Information management is a wide area in terms of government machinery with all its agencies.
There is also knowledge management that what who knows and in what capacity of that knowledge. Knowledge is about experience and context that how you collect data, store or share...
Andika hivi: People would have.......... not at this level......People would asked but not For these levels , Leo Radio free Africa Jion walikata matangazo ya DW , walishaanza kusema mzee kapata stroke . now he can't walk
Finally we have to pray for him
I thinks the issue suits either side depending on who owns what, where, how and when..Wakati wa shambulizi la Tundu Lissu kulikuwa na somo zuri sana la crisis management.
Kulitokea uzushi kuwa Lissu amekufa, lakini uzushi huo ulikanushwa haraka kwa habari kwa kuna mipango ya kumpeleka Nairobi..