INEC fanyeni jambo Taifa stars tushinde AFCON dhidi ya Tunisia

INEC fanyeni jambo Taifa stars tushinde AFCON dhidi ya Tunisia

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,774
Reaction score
35,994
Leo saa 1:00 usiku tuna mechi ngumu dhidi ya Tunisia aliyetoka kufungwa na Nigeria, hii ndo game iliyoshika hatima yetu ya kufuzu 16 Bora
Japo ushindi wa Leo unaweza kutufanikisha katika best losers

iNEC kama wataalam wa kufanikisha ushindi ni hazina Kwa Taifa fanyeni jambo pale Morocco
Screenshot_20251230-111713.png
 
Back
Top Bottom