JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,309
- 5,464
Watu 9 kati ya waliopoteza maisha wameangukiwa na majengo huku zaidi ya watu 10 wakiwa hawajulikani walipo kutokana na mvua kubwa iliyosababisha mafuriko na maporomoko ya ardhi.
Mafuriko hayo yamesomva magari, kubomoa majengo na kuharibu madaraja katika Majimbo ya Kaskazini ya Himalaya ya Himachal Pradesh na Uttarakhand.
Mafuriko na maporomoko ya ardhi ni ya kawaida na husababisha uharibifu mkubwa wakati wa msimu wa mvua Nchini India, lakini Wataalam wa Hali ya Hewa wanasema mabadiliko ya hali ya hewa yanaongeza mzunguko na ukali.