"Pray for Libya" Zaidi ya Watu 2,000 Wamefariki Kutokana na Mafuriko ya Kimbunga Daniel

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,076
49,784
Wakuu Hali za Waarabu ni Tete.

Takribani watu 2,300 wamefariki Dunia Kufuatia Mafuriko yaliyoletwa na kimbunge Daniel kilichoambatana na mvua kubwa ambazo zimevunja mabwawa na majengo ya gorofa kando ya Mji wa Pwani wa Derna huko Libya,Mamlaka za Libya zimeripoti.

Wakati maafa hayo mithiri ya Janga yalitokea ,maelfu ya watu wengine hawajulikani waliko Kwa mujibu wa ripoti za Umoja wa Mataifa.

Mafuriko haya yanaikumba Libya ikiwa ni siku chache yangu Janga la tetemeko liipige Morocco na Kupeleka watu karibu elfu 2 kupoteza maisha.


View: https://www.instagram.com/p/CxGCdvTI5ZF/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==


My Take
Poleni sana Waarabu wa Libya,tuko pamoja kwenye kipindi Hiki Cha majonzi Kwa maombi na Sala 😭😭😭😭

Mungu awape pumziko waliofafiki na faraja Kwa walioppteza wapendwa wao kutokana na Janga la Asili.


View: https://twitter.com/AfricaViewFacts/status/1701618650522747227?t=-gC7zSbxsRHN7IBkFqRW5g&s=19
 
Hizi natural disaster ni za kuzisikia tu, hizi mambo zipo kikatili sana.
Hazifai kabisa kuzi experience. Kuna kimbunga kiliwahi kuichapa na kuisukasuka ndege huko hewani, nikashuhudia watu wawili wakinyea midomoni. Siyo kwamba walitapika, bali vinyesi vilitokea midomoni. Ingawa biology inaweza ikakataa lakini yalitokea.
 
Kama mbele ya macho ya mwanadamu dunia na ukubwa wake wote mbele ya endless universe is just a mere particle or debris if you like, ndio utagundua binadamu na ubabe na ukatili wake ni zaidi ya takataka mbele ya universe!

In short, compared to the heavenly forces, we are extremely weak kwa kiwango kisichoelezeka. Nguvu za mbinguni zikiamua kujigeuza tu tunapukutika zaidi ya kundi la mende waliopuliziwa sumu ya Rungu.
 
Tena kama Mafuriko hayafai kabisa.Tumshukuru Mungu walau Tanzania Iko kwenye eneo lenye uafadhari wa vimbunga ila sio matetemeko
Mungu huyo wa kushukuriwa Hayupo.

Ndio maana majanga kama haya yana ua maelfu ya watu.

Kwani unadhani hao walio kumbwa na mafuriko hayo walikuwa hawa mwabudu, kumuomba na kumshukuru Mungu?

Mbona Mungu huyo kashindwa kudhibiti mafuriko hayo?
 
Kama mbele ya macho ya mwanadamu dunia na ukubwa wake wote mbele ya endless universe is just a mere particle or debris if you like, ndio utagundua binadamu na ubabe na ukatili wake ni zaidi ya takataka mbele ya universe!

In short, compared to the heavenly forces, we are extremely weak kwa kiwango kisichoelezeka. Nguvu za mbinguni zikiamua kujigeuza tu tunapukutika zaidi ya kundi la mende waliopuliziwa sumu ya Rungu.
Nguvu za mbinguni zipi hizo?

Huko mbinguni ni wapi?
 
Mungu huyo wa kushukuriwa Hayupo.

Ndio maana majanga kama haya yana ua maelfu ya watu.

Kwani unadhani hao walio kumbwa na mafuriko hayo walikuwa hawa mwabudu, kumuomba na kumshukuru Mungu?

Mbona Mungu huyo kashindwa kudhibiti mafuriko hayo?
Vifo vimeshafikia 12,000 duu
 
Mungu huyo wa kushukuriwa Hayupo.

Ndio maana majanga kama haya yana ua maelfu ya watu.

Kwani unadhani hao walio kumbwa na mafuriko hayo walikuwa hawa mwabudu, kumuomba na kumshukuru Mungu?

Mbona Mungu huyo kashindwa kudhibiti mafuriko hayo?
ulipokaa darasani ulifundishwa tetemeko la ardhi usababishwa na nini?
 
ulipokaa darasani ulifundishwa tetemeko la ardhi usababishwa na nini?
Kwamba hujui?

Kama hujui tetemeko la ardhi lina sababishwa na nini?

Nenda Google ka search.

Point yangu hapa ni kwamba, Mungu mnaesema ni muweza wa yote Anashindwaje Kuzuia hicho kinacho sababisha tetemeko la ardhi kutokea?
 
Kwamba hujui?

Kama hujui tetemeko la ardhi lina sababishwa na nini?

Nenda Google ka search.

Point yangu hapa ni kwamba, Mungu mnaesema ni muweza wa yote Anashindwaje Kuzuia hicho kinacho sababisha tetemeko la ardhi kutokea?
kwani yeye ndo kalileta?
 
Daniel VS Libya 🤔🤔..

. Hicho kimbunga wangekiita Mahmoud, pengine kingetulia haraka iwezekanavyo
 
Back
Top Bottom