India: Wanafunzi washambuliwa wakiwa katika sala

Jamii ni jumla ya mtu mmoja mmoja. Chuo ni Taasisi iliyomo sehemu ya jamii na kwa msingi huo imekusanya jamii ya mtu mmoja mmoja wenye tamaduni tofauti.

Hao vijana wamekosa eneo la kuswalia kufanya ibada zao. Kama hilo suala lingekuwa halifai uongozi wa Chuo upo ungetoa mwongozo. Lakini kilichofanyika ni jamii ya watu fulani kuwafanyia vurugu.

Tutarudi kule kule; India ni nchi ambayo bado haijastaarabika.
Nitajie nchi ya kiislamu iliyostaarabika inayotoa uhuru wa kuabudu.Ni uturuki pekee tena nao kishingo upande kwa kuogopa EU.
 
JOHN 20:2

John the Evangelist: Beloved Disciple of Jesus —​





Jesus and Beloved Disciple in detail from study for The Last Supper by Becki Jayne Harrelson


John the Evangelist is commonly considered to be Jesus’ “Beloved Disciple” — and possibly his lover. His feast day is Dec. 27.
hivi kuna ukweli Mtume Muhammad alimnyonya ndimi mwanaume mwenzake?
 
Hao wameandamana au wamefanya insurgence??
Wahindu wanafanya insurgence.
Zanzibar toka miaka ya nyuma na Pemba ilizoeleka na kujijenga kuwa ni visiwa vyenye tamaduni za kiarabu na kiislam.
Ukiishi tofauti na wao lazima wang'ake kuwa unawaulia tamaduni zao.
Ila uliskia mtu Zanzibar kapigwa ama kuchomwa visu kisa anaenda kinyume na tamaduni za kule??
Kilichofanyika hapo ni sawa kinachofanyika ULAYA KWA MAANDAMANO YA LGBTQ KUWA WAPEWE HAKI ZAO NA ANAEWAPINGA AMEPINGANA NA TAMADUNI ZAO.


Maneno yangu ni haya

Waislam wakiwa wachache sehemu huwa wanapenda sana kuplay victim. Wakiwa wengi sehemu wanataka hadi watu wa dini zingine wasio waislam wafate taratibu za uislamu.

Hiyo video ya maandamano ya kupinga ujenzi wa kanisa pemba ni ushahidi tosha wa tabia za waislamu wakiwa wengi. Kama hawataki wajenge kanisa Unataka hao Wakristo wachache wanaoishi pemba wakasali wapi ?

Pia hujawai kusikia kuhusu mapadri waliomwagiwa tindikali zanzibar. Na hata makanisa kuvamiwa na kuharibiwa zanzibar
 
Maneno yangu ni haya

Waislam wakiwa wachache sehemu huwa wanapenda sana kuplay victim. Wakiwa wengi sehemu wanataka hadi watu wa dini zingine wasio waislam wafate taratibu za uislamu.

Hiyo video ya maandamano ya kupinga ujenzi wa kanisa pemba ni ushahidi tosha wa tabia za waislamu wakiwa wengi. Kama hawataki wajenge kanisa Unataka hao Wakristo wachache wanaoishi pemba wakasali wapi ?

Pemba hakuna wakristo sehemu hiyo , kanisa liko wete kizimbani ambako hata watu 20 hawafiki tena wengi na Polisi kutoka bara wanaofanya kazi Wete
 
Wanafunzi wasiopungua wanne wa kigeni wamejeruhiwa baada ya kundi la Wahindu wenye chuki za kidini kuvamia dakhalia ya chuo kikuu katika jimbo la Gujarat magharibi mwa India na kushambulia kundi la wanafunzi waliokuwa wanasali Sala ya Tarawehe katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

Wanafunzi walioshambuliwa wamevieleza vyombo vya habari vya ndani kuwa kikundi kidogo kilikusanyika Jumamosi usiku ndani ya majengo ya dakhalia ya wavulana kwa ajili ya Sala ya Tarawehe kwa kuwa hakuna msikiti kwenye chuo kikuu kilichoko Ahmedabad. Muda mfupi baadaye, kundi la watu waliokuwa na fimbo na visu walivamia hosteli hiyo na kuwashambulia wanafunzi hao na kufanya uharibifu ndani ya vyumba vyao.

Mwanafunzi mmoja amesema: "kikundi cha wanafunzi 15 walikuwa wanasali wakati watu watatu walipowajia na kuanza kupiga makelele ya 'Jai Shri Ram' yaani [Salamu bwana Ram]. Walituzuia tusisali hapa”.
Mwanafunzi mmoja kutoka Afrika amesema: "hatuwezi kuishi hivi, tulikuja India kusoma na sasa tunashambuliwa kwa sababu ni wakati wa Ramadhani na kwa sababu Waislamu wanasali".

Tovuti ya habari ya Indian Express imeripoti kuwa wanafunzi wawili walijeruhiwa vibaya na wanaendelea kupata matibabu hospitalini baada ya wanafunzi kutoka Afghanistan, Uzbekistan, Sri Lanka, Bangladesh na nchi kadhaa za Afrika kushambuliwa.

Makundi ya Wahindu ya mrengo wa kulia yenye misimamo mikali na chuki za kidini yamekuwa yakiendesha kampeni za hujuma na mashambulio katika maeneo ya umma dhidi ya Waislamu wanaosali.

Mapema mwezi huu, askari polisi mmoja katika mji mkuu New Delhi alisimamishwa kazi baada ya kuwapiga mateke wanaume Waislamu waliokuwa wakisali kando ya barabara.
Mnajifanya mna haki, mnaswali popote na haya ndiyo matokeo yake
 
Mfano hai huo wapo kwenye video ya maandamano ya pemba
Hao ”dayouth” (hope member anayejiita Jagina anaelewa hii) wa kipemba akili walikuwa wameziacha wapi wakati wanafanya ujinga huu.

Jamii ya hovyo kabisa,ni kusema hata mbwa ana akili kuwazidi hao jamaa.
 
Pemba hakuna wakristo sehemu hiyo , kanisa liko wete kizimbani ambako hata watu 20 hawafiki tena wengi na Polisi kutoka bara wanaofanya kazi Wete

Hao wakristo wachache wakasali wapi ? Kwa nini wapingwe kujenga kanisa kwa maandamano.

Pia wizara na taasisi za muungano zipo nyingi. Sio kweli kama pemba kuna wakristo 20 tu.

Wakristo Wanajeshi wa jwtz wapo kibao pemba

Wakristo Polisi wapo kazaa pemba

Wakristo wafanyakazi wa tra wapo kazaa pemba

Taasisi za muungano zipo nyingi ambazo zimepeleoa staff wao pemba. Sio kweli wakristo wapo 20 tu.
 
Hao wakristo wachache wakasali wapi ? Kwa nini wapingwe kujenga kanisa kwa maandamano.

Pia wizara na taasisi za muungano zipo nyingi. Sio kweli kama pemba kuna wakristo 20 tu.

Wakristo Wanajeshi wa jwtz wapo kibao pemba

Wakristo Polisi wapo kazaa pemba

Wakristo wafanyakazi wa tra wapo kazaa pemba

Taasisi za muungano zipo nyingi ambazo zimepeleoa staff wao pemba. Sio kweli wakristo wapo 20 tu.

Taasisi za Muungano hazipo Taifu walikotaka kujenga kanisa, zipo Wete na huko makanisa yapo 2 makubwa ya kuingia hata watu mia 500 lakini wanaokwenda hata 20 hawafiki.
 
JOHN 20:2

John the Evangelist: Beloved Disciple of Jesus —​





Jesus and Beloved Disciple in detail from study for The Last Supper by Becki Jayne Harrelson


John the Evangelist is commonly considered to be Jesus’ “Beloved Disciple” — and possibly his lover. His feast day is Dec. 27.
1000028080.jpg
 
Back
Top Bottom