Inawezekana?

me was real shocked pale nilipoona kuna watu wanapost wakati mie siwezi, tried reaching muheshimiwa not reachable nikasema basi tena kifo cha wengi harusi........

wakwetu mimi nilijua tumekula ban...kazi kweli kweli
 
hahaa hommie wako alinipigia akasema mamusha nimekula ban nini?? cant access....

lol....kumbe hamna ujanja eeh!!!
ha ha ha naona hasira zake alizimalizia kwenye Value huoni mpaka sasa hajatokea ana mning'inio!! Mi nilitaka nikwendee hewani nikuulize kulikoni wote mmepotea nikakuta wese hamna na nipo porini huku no access!!
 
 
 
ha ha ha naona hasira zake alizimalizia kwenye Value huoni mpaka sasa hajatokea ana mning'inio!! Mi nilitaka nikwendee hewani nikuulize kulikoni wote mmepotea nikakuta wese hamna na nipo porini huku no access!!

wese hamna una maana drainage imebuloku au??? aaaaah nimekupata Meku bora hata kukuja hewaji ningemalizia hasira kwako.....
 
wese hamna una maana drainage imebuloku au??? aaaaah nimekupata Meku bora hata kukuja hewaji ningemalizia hasira kwako.....
ha ha ha dah afadhali maana tena ungenipa za kimgomabani kabsaa!!
 
Hehehehe dah siamini kwa lipi napenda sana kujiexpress au lipi? au namega sana?

unamega na kuacha tena kwa kujiexpress

wanyange wanaogopa sasa....
 
Hehehehe dah siamini kwa lipi napenda sana kujiexpress au lipi? au namega sana?

Haswaaaaaa,ndio tatizo.
Comrade labda wanaogopa mifupa hiyo inayotembea......watu wamezoea minyamanyama...Lol

Hawaogopi avatar.Tatizo lipo kwenye tigo,na mila na valuu.Ukichanganya hivi vitatu.nafikiri utaelewa maana yake.
Teh teh! mzee wa kudownload,falling in love kwa Fidel ni msamiati.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…