Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,312
- 105,648
Na watu wengine hawaelewi kwamba Mabeyo hajisemei mwenyewe, anasema kwa ruhusa maalum kama si maagizo kabisa.Tulia. 2025 kabla ya uchaguzi ndo utausikia ukweli wenyewe; Mabeyo anawaandaa tu Kisaikolojia. Mtakayoyasikia mtalazimika kumpumzisha mtu. Tulia