Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,007
- 5,446
Kama si haki kwann mboe afungwe??We Baba Jayaron, CCM ni dude kubwa mno, lipo kila pahala, ukitaka kuhakikisha hilo we kamuulize Mh. Membe, Polepole, Nape, January,Bushiru, Lowassa, Sumaye.. yaliyowakuta, kila mmoja kwa style yake.
Bila katiba mpya kupambana na CCM ni kazi nzito saana na ndiyo maana tunasema afungwe Mbowe asifungwe ni lazima kupambania Katiba tu.
Ccm inacheza na ujinga wa watanzania na wamewekeza kwenye huo mradi kwa nguvu zoote.