Inawezekana Ole Sabaya "anaonewa" kweli

We Baba Jayaron, CCM ni dude kubwa mno, lipo kila pahala, ukitaka kuhakikisha hilo we kamuulize Mh. Membe, Polepole, Nape, January,Bushiru, Lowassa, Sumaye.. yaliyowakuta, kila mmoja kwa style yake.

Bila katiba mpya kupambana na CCM ni kazi nzito saana na ndiyo maana tunasema afungwe Mbowe asifungwe ni lazima kupambania Katiba tu.
Kama si haki kwann mboe afungwe??
Ccm inacheza na ujinga wa watanzania na wamewekeza kwenye huo mradi kwa nguvu zoote.
 
Undercover
FB_IMG_16347262638696406.jpg
 
Kama si haki kwann mboe afungwe??
Ccm inacheza na ujinga wa watanzania na wamewekeza kwenye huo mradi kwa nguvu zoote.
kaka kwa namna wale jamaa walivyofanyiziwa ni hatari mno lakini cha ajabu Jaji kakubaliana na hoja zote kwamba waliyotendewa ni sahihi ma ushahidi wa Kingai umepokelewa rasmi, kwa aibu Jaji kajitoa, sababu asingefanya hivyo Mbowe angemuomba asepe kwa kutokumwamini kitu ambacho ni aibu kwake na kwa taifa.

Kazi za kusimamia HAKI ni mbaya mno, ndiyo maana babu yangu alinizuia nisisomee u-hakimu na u-police... ni kazi mbaya sana.
 
Mbowe anafungwa lakini hii serikali ikipinduliwa tusije kumlaumu yeyote

Sabaya alitakiwa kweli kupimwa akili Kama yupo sawa mentally.

Ila amefungwa kimtego ili kumfunga Mbowe kwa upande wa pili na kuiua chadema.

Nafikiri Ni wakati Sasa wa Tundu Lissu kurudi na kuonyesha uongozi.
Mkuu, serikali ya awamu ya sita haitamaliza awamu yake.
Amini,usiamini huo ndio ukweli.
 
Kila mtu anaugua ugonjwa wa akili kwa staili yake
Tunatofautiana kwenye udhihirisho tu nahisi!
 
Umeandika kitu kikubwa sana lakini wachache sana watakuelewa mkuu. Binafsi nimekupata vema, na kusema ukweli Maofsini wagonjwa wa akili ni wengi sana, yaani unakuta kiongozi anafanya kitu unabaki unajiuliza huyu kweli yuko timamu!

Mkuu nilikuwa mawaza pia
Kuna wana personality disorders
Tena kwa jamaa inaonekana iko kwenye familia kabisa
 
Mbowe afungwe kwa ground gani? Kesi ya Kubumba hiyo hukumu ikitoka wakienda mahakama ya rufaa asubuhi tu inafutwa.
 
Mbowe anafungwa lakini hii serikali ikipinduliwa tusije kumlaumu yeyote

Sabaya alitakiwa kweli kupimwa akili Kama yupo sawa mentally.

Ila amefungwa kimtego ili kumfunga Mbowe kwa upande wa pili na kuiua chadema.

Nafikiri Ni wakati Sasa wa Tundu Lissu kurudi na kuonyesha uongozi.
Tundu Lissu naye ni miongoni mwa wagonjwa wengi viongozi tulionao nchini. Haijalishi tunampenda kiasi gani.
Tafiti zinaonesha kila Watz 4, basi Mtz mmoja ana matatizo ya akili.
Matatizo ya akili, sio lazima utembee bila nguo au ushinde jaani ( jalalani).
 
Tanzania Sasa Kuna wagonjwa wa akili wengi ila tu basi watu wanapuuza Hilo tatizo kuanzia serikalini, kwenye mahusiano Kuna wagonjwa wengine vile tu tuna ignore hivo vitu hata aliyeenda zake chako ni chako alikuwa mgonjwa wa akili chakushangaza akawa na cheo kikubwa.
N. B kabla ya cheo kutolewa waweke na kipengele Cha kupita viongozi mental health zao kwanza


Kuna video ya Sabaya nimeiona leo mahakamani anamrushia kiss mchumba wake..
Sura yake sio Sura ya mtu mzima kiakili
 
Kama Taifa kuna vitu tunadharau sana na mara nyingi vime Tu cost Sana na kwa sababu hatutaki kabisa kuvitazama na kuvifanyia kazi, pengine vitaendelea kutu cost sana.

Magonjwa ya akili ni jambo moja Taifa hili hatutaki kabisa kukaa chini na kuweka mipango ya kusaidia 'wagonjwa' wetu
Na kuzuia wengine wasiyapate.

Matokeo yake wagonjwa tunawapa vyeo vikubwa, wanadhuru watu na hata kujidhuru wenyewe. Ikitokea mgonjwa mmoja tumemkamata na kumuadhibu, basi tunafurahi na kuona tumemaliza.

Hatutaki kabisa kukaa chini na kujiuliza huyu mgonjwa ilikuwaje akapata hiki cheo?

Tufanyaje wagonjwa wengine wapate matibabu sahihi badala ya kuwapa vyeo wanakuja kudhuru watu na wao wenyewe?

Mtu mwenye akili ya kawaida hawezi kuwa DC halafu akabeba walinzi binafsi kumsaidia kupora hela watu na kubaka wanawake.
Huyu hata akihukumiwa miaka 50.

Akasema 'tumemuonea' inawezekana kweli tumemuonea.

Hasa kama wagonjwa wenzake bado tunaishi nao na hatutaki kuwapa tiba.
Sabaya Lengai Ole ni magonjwa mtambuka toka chuo St.Johns sema tu mamlaka za uteuzi huwa hazifuatilii na hata ukizioelekea mean mezani hazitaki kusikiliza zinaona zimepatia.

To hint up, tabia zizo za mfanano huo kwa mtu aliyemjua au kusoma nae pale Dom Nasikia na nina uhakika hawezi kushangaa kamwe.

Sema tu mengi tulishaayandika humu na pengine, kwa sasa ni useless. Nachukia sana maandiko rejea yaliyopuuzwa mwanzo

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Sabaya Lengai Ole ni magonjwa mtambuka toka chuo St.Johns sema tu mamlaka za uteuzi huwa hazifuatilii na hata ukizioelekea mean mezani hazitaki kusikiliza zinaona zimepatia.

To hint up, tabia zizo za mfanano huo kwa mtu aliyemjua au kusoma nae pale Dom Nasikia na nina uhakika hawezi kushangaa kamwe.

Sema tu mengi tulishaayandika humu na pengine, kwa sasa ni useless. Nachukia sana maandiko rejea yaliyopuuzwa mwanzo

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app


Akipeleka vyeti vyake mahakamani vya ugonjwa ...anaachiliwa
 
Back
Top Bottom