Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 18,549
- 21,670
Hii ni ndani ya dakika kumi tu ndege tatu zinatoka znz
Hasa kabla ya kulaMatumizi ya bangi na pombe sio mazuri
Daraja kutoka Dar es Salaam mpaka Zanzibar ni kitu kinawezekana mkuu siyo swala la bangi.Matumizi ya bangi na pombe sio mazuri
Diaspora wabeba box walisema wangejenga
ulishasoma hata jiolojia ukaelewa bahari chini inafananajeDaraja kutoka Dar es Salaam mpaka Zanzibar ni kitu kinawezekana mkuu siyo swala la bangi.
Iwe kesho au miaka 100 ijayo hili daraja litajengwa.
Ingependeza mwanajiolojia utueleze huko chini kunafananaje.ulishasoma hata jiolojia ukaelewa bahari chini inafananaje
Kufananisha na walimu, madaktar, polisi na wafanyakazi wa tamisemi au halmashauri wa Tanzania?Wabeba boksi wana maisha magumu sana
Acha ujuaji mkuu. Tanzania hatuna hela za kujenga hilo daraja tu, siyo kwamba haiwezekani.ulishasoma hata jiolojia ukaelewa bahari chini inafananaje
unanifundisha mimi au wewe ndio nikufundishe kujua jiolojia inavyo kuelezaAcha ujuaji mkuu. Tanzania hatuna hela za kujenga hilo daraja tu, siyo kwamba haiwezekani.
Uwe hata unaingia mtandaoni kujisomea mambo madogo madogo kama haya.View attachment 3411839
Likijengwa itapendeza zaidi. Maana sisi wauza madafu tutakuwa tunaenda na baiskeli Unguja kununua mdafu tunakuja kuuza DaslamuHapo tunnel ndio inafaa ila Sasa wapemba na waunguja watajaa sana bara huku wakilia muungano mbaya
Sasa jambo dogo tu la daraja la juu baharini ambalo tayari limeshfanyika unasema haiwezekani, hayo mambo ya Jiolojia utayajulia wapi? Labda kujikojolea siyo Jiolojia.unanifundisha mimi au wewe ndio nikufundishe kujua jiolojia inavyo kueleza
Madafu mbona pwani yamejaaLikijengwa itapendeza zaidi. Maana sisi wauza madafu tutakuwa tunaenda na baiskeli Unguja kununua mdafu tunakuja kuuza Daslamu
Hahaha wabeba box wanajaribu kutunisha msuliDiaspora wabeba box walisema wangejenga