Wewe ukae mbali na mimi sio level yako.Dada yako mleta mada kakimbia
Wala siamini, ati nini? Mwanaume ujigeuze dem, yawa! Kwanza anapata raha ipi na amani gani moyoni mwake..
Huna tupicha twake? Au za bibi arusi?
Sikolile nkamu......
hahahaaa! Ko kusulo bhanya kyala.
Ilisyo lya malafyale lilipakufwana.
Niliuona ule uzi nikafikiri ni huu umerudiwa. Hii dunia hii watu wamegeuza chungu kuwa tamu na haramu kuwa halali kweli kuna laana chini ya jua hili inatembea si bure.juzi kati kuna mtu alikuja kuomba ushauri mwanaume wake anataka amuingizie madole kabla ya match isije kua ndo hawa
Yaani ni majanga Mungu atusaidie tu.Yaani hao wachache waliopo ugawanye kwa mbili tena!
Ni kweli kabisa watafunaji hakuna full majanga
Ndio maana vitendo vya usagaji vinaongezeka maana watafunaji nao wanatafunwa
Si kwa MWANAUME
Hakufai kwa jinsia yeyote ile,its not fair KUKOBOANAKwa nani sasa???teh teh
Huyo mtu wenyewe ni wewe na story nzuri unajua kutunga