mangi jr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 291
- 250
Kubokolewa sunna......
hii comment itakuletea matatizo hta kwenye thread nyingine utakazotoa maoni. Japo ilikuwa katka hali ya utani lakini?? Duuh
Kubokolewa sunna......
achana nae ndo walewale kasoro tarehe!ila uanamke dili mpaka wanaume mnatamani kua sie...?
Hatari sana.
Mkuu hakuna mtu anotetea mashoga sema mleta mada muogo story yakutunga haiwezekani iwe yeye kila siku alete habari za ushoga au yeye Shoga?mboa wewe hujaleta mimi sijaleta nakama hao watoto ujue sio wake kasaidiwa kwajirani
kuna watu wamejitoa kupingana na masuala fulani kwenye jamii kwahiyo sio ajabu kuleta habari hizo hizo kila siku. acha uchoko bwana mdogo
kuna watu wamejitoa kupingana na masuala fulani kwenye jamii kwahiyo sio ajabu kuleta habari hizo hizo kila siku. acha uchoko bwana mdogo
Mwe!
Huyo mke naye wa ajabu,eti alimuahidi atabadilika baada ya ndoa!!! Seriously?
Alishindwaje kubadilika kabla?
Yaani isifae lami lifae vumbi la mkaa???
Choko mama ako mzazi
siki hizi hadhi ya wanaume inashuka sana!
Kubokolewa sunna......
wanaume wanapungua
na walivyo wachache si balaa
touber.....
pumba zawekwa wapi ???
Tununu nkamu..
wanaume wanapungua
na walivyo wachache si balaa