Inauma kwa kweli mwanaume kukobolewa!

Inauma kwa kweli mwanaume kukobolewa!

tumbo lilipoza makalio....ilianza kwa tamaa ya vitu,ikafatiwa na kukaa mda mwingi kwenye kio.ikafatiwa na kuanza kutumia vipodozi,ikaja kuanza kuvya herini na macheni.ikafikia kulabwa nyuma na mpenzi wake ikaelekea kuwekewa vidole.hatimae kuwa shoga.UKIMWI UPO
 
hakuna tofauti kwa upande wangu bcoz nyuma ni nyuma tu wakati kuna tofauti ya mb na papuchi

Watu wengi humu wanafiki sana. To me mtu anayemfanya nyuma mwanamke simtofautishi na anayefanya au kunywa hivyo na mwanaume mwenzake!! Kwa sababu organ ni hiyo hiyo exactly the same between women and men. Kwa hiyo wewe unayefanya hivyo kwa mwanamke jua umeshafanya kwa mwanaume mwenzako kama ungekuwa gizani umwoni usona!!

Hivyo kitendo hiki ni kibaya sana na wanaofanya hivi akili yao moja bila kujali anamfanya me/ke.
Acheni unafiki
 
hii ishu ni nzito kuliko kawaida/.....wanawake wanavumilia mengi kweli hasa zama hizi....mtu kama umeharibika usio.tafuta mwanamke uzae tu..ndoa mtuachie sie marijali tunaojitambua tusio na nyege za nyuma wala za kufira.hope nimeeleweka vema maana ninachukia kweli huuuchafu
 
You people pray for them....find the way to stop..imagine your only son doing that thing....Wat will you do?
 
Nimekuwa nafundisha shule za boys kwa miaka minne had nlipohama mwaka huu mwanzoni na shule zenyewe ni a level peke yake jambo la ajabu ambalo sisi waalimu wa shule hizi tumezoea ni kuwa ukizunguka maeneo ya shule hasa pembeni ya mabweni kama unakagua usafi utakutana na Condomu nyingi sana zilizotumika ....kwa iyo haya mambo ya ushoga hasa kwenye context ya shule za bweni yamezidi sana na bahati mbaya waalimu wanashindwa kulizungumzia maana ni taboo......
 
Nimekuwa nafundisha shule za boys kwa miaka minne had nlipohama mwaka huu mwanzoni na shule zenyewe ni a level peke yake jambo la ajabu ambalo sisi waalimu wa shule hizi tumezoea ni kuwa ukizunguka maeneo ya shule hasa pembeni ya mabweni kama unakagua usafi utakutana na Condomu nyingi sana zilizotumika ....kwa iyo haya mambo ya ushoga hasa kwenye context ya shule za bweni yamezidi sana na bahati mbaya waalimu wanashindwa kulizungumzia maana ni taboo......

hilo suala la boarding school ni kweli....kuna condom nyingi sana. halafu kuna shule kutokana na uhaba wa vitanda wanaruhusu midume 2 kulala kitanda kimoja na zingine chumba 1 watu 2 hivi vinachangia sana kuendeleza haya madude ya kulana tundu za haja kubwa....ila vijana wa chuo wameoza kwa mambo haya
 
God forbid...but i hate gayism and anything that involves the back door kwa kweli...nachukia sana!!!
 
Back
Top Bottom