thanks much kwa kunielewa,sometimes mtu unataka ujue tu vizuri kuhusu ukweli wa mamboU don't have to explain urself. Curiosity ni sehemu ya intelligence! Nilishawahi ku-request friendship ya gay mmoja, na nikamuambia wazi I wanted to understand a few things abt gays. I understood quite a bit, hadi alipotaka nijiunge na support group yao dsm,nikamuambia siungi mkono na akanikasirikia na kuni-unfriend
situation kama hiyo ni ngumu,kibongo wanaona aibu ina mamtoni hawana hata aibuNdio maendeleo wenzetu wanayo yataka ... Kuna shori flani blondie la kitasha alikuwa mshkaji wangu kweli ... Kuna siku nikaropoka mbele yake kwamba i hate gays ... Alikasirika ... Urafiki ukaishia siku hiyo ... Aka ni unfriend Facebook Twitter... Akidai Mimi nina roho mbaya nachukia binaadamu wenzangu ...
Wazungu sometimes wapumbavu sana ...
situation kama hiyo ni ngumu,kibongo wanaona aibu ina mamtoni hawana hata aibu
Sent from my HTC Incredible S using Tapatalk
Katika pitapita zangu google nimeshangaa kukutana na hii link,kweli huu ni mwisho wa dunia
kama vijana wa kibongo wamefikia hatua ya kujitangaza kutafuta mabwana.too bad
Friends Tanzania - dating Tanzania - seeking Gay Tanzania - seeking Boys Tanzania - Gaytanzania - Tanzania boy gay - Tanzanian gays
tumwombe tu mungu aepushe hiyo balaa na ndugu zetu na familiaHivi vitu ni laazima vitokee maana ndo vinaashilia mwisho wa Dunia mbona hyo chamtoto vitakuja vioja kibao chamsingi unatakiwa kujitambua nafasi yako basi haina haja ya kuvishangaa na unaposhangaa it means haujajitambua upo kundi gani mpaksikua sasa hivi, ni vya kawaida kwa siku hizi mtafute Mungu wako akuongoe kutambua nyakati.
sasa hapo ndo pabaya penyeweGays wapo wengi tu hapa Tanzania especially maeneo ya Tanga,Dar na Zanzibar...ila sijawah kufaham kama wamekuwa wengi kiasi cha kuanzisha links kwenye ma-website ya ngono au friendship duuh! Nadhani na wao wanajitahidi kujiweka huru na kile kinachowapa raha kwa kuwatafuta wenza wao mtandaoni....
huu ndio mwishoni mwa mwisho wa dunia mwishoni..
hata wewe u dont have to explain urselfu sana King'ast. Kwa wewe mdada kujaribu kupata information kutoka kwa guy its ok but kwa mwanamume kuwa friend na guy ni matusi, lazima utakuwa associated nao. Mimi mwanaume ni rahisi kuwa na friends ambao ni lesbians but not gays!U don't have to explain urself. Curiosity ni sehemu ya intelligence! Nilishawahi ku-request friendship ya gay mmoja, na nikamuambia wazi I wanted to understand a few things abt gays. I understood quite a bit, hadi alipotaka nijiunge na support group yao dsm,nikamuambia siungi mkono na akanikasirikia na kuni-unfriend
unamcheka mmmeo?
hata wewe u dont have to explain urselfu sana King'ast. Kwa wewe mdada kujaribu kupata information kutoka kwa guy its ok but kwa mwanamume kuwa friend na guy ni matusi, lazima utakuwa associated nao. Mimi mwanaume ni rahisi kuwa na friends ambao ni lesbians but not gays!
sio ushakaribia ...yaani na mwisho ndo unaisha...ndo mana nikasema mwishoni mwa siku za mwisho mwishoni...au hujaelewa..!!?Mwisho ushakaribia siku nyingi
Mimi naomba mnitoe ujinga, hivi kuwa gay ni uamuzi /kujitakia, maradhi au maumbile?Nobody has ever asked to be a gay or lesbian. It may happen to anyone much like they did not anticipate the defect to ever occur in their life. We can make the world be a better place for any God's creature by supporting these minority groups in terms of approval of their rights etc instead of rejecting them.
Nimewahi kuona guys tangu miaka mingi iliyopita, wengine niliwajua watu wazima, ; lakini kwa kuficha "sexual orientation yao" wameoa na wana watoto.Gays wapo wengi tu hapa Tanzania especially maeneo ya Tanga,Dar na Zanzibar...ila sijawah kufaham kama wamekuwa wengi kiasi cha kuanzisha links kwenye ma-website ya ngono au friendship duuh! Nadhani na wao wanajitahidi kujiweka huru na kile kinachowapa raha kwa kuwatafuta wenza wao mtandaoni....
Hivi vitu ni laazima vitokee maana ndo vinaashilia mwisho wa Dunia mbona hyo chamtoto vitakuja vioja kibao chamsingi unatakiwa kujitambua nafasi yako basi haina haja ya kuvishangaa na unaposhangaa it means haujajitambua upo kundi gani mpaksikua sasa hivi, ni vya kawaida kwa siku hizi mtafute Mungu wako akuongoe kutambua nyakati.