Inasikitisha sana kama Serikali imeamua kuminya utumiaji wa Mitandao kwa njia hii

Si unaona akili zenu zilivyo za hovyo? Nashindwa nianzie wapi kukujibu ila haujanishangaza kwa ulichoandika. Tulishajua tunadeal na watu wa aina gani wanaoendesha hii nchi.
 
Si unaona akili zenu zilivyo za hovyo? Nashindwa nianzie wapi kukujibu ila haujanishangaza kwa ulichoandika. Tulishajua tunadeal na watu wa aina gani wanaoendesha hii nchi.
Chapa kazi, acha kuwa busy na umbea wa akina Bugati mitandaoni
 
Inauma sana.

Sisi watu wa sayansi tumekuwa tukijifunza mengi sana kupitia mitandao.

Wanataka tuwe na mawazo ya kijima
 
Kwa mfano sasa wamefungia mitandao ya ngono.Je hilo ni suluhisho??

Nadhani biashara ya kununua CD za ngono itarudi kwa kasi sana
 
Kwani nani kasema sio hitaji muhimu we tumbili jike..

Hiyo intaneti ukiitumia vibaya unaliwa.
Madikteta uchwara kama ninyi mko mstari wa mbele kupanga namna gani mtu atumie internet. Jaribu kuangalia faida zaidi katika uchumi wa taifa kuliko kuangalia faida za kulinda udikteta wenu. Tembeeni na mjifunze kuona faida za internet hivi leo. No wonder nchi inazidi kuwa maskini sababu ya wajinga wengi kama wewe kuinfluence uongozi wa taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…