Tunahesabika....!Unaweza kutubesabu tujue idadi yetu
Njoo....!Tukaongelee chumbani [emoji85] [emoji85]
Naja [emoji125] [emoji125]Njoo....!
Karibu...!Naja [emoji125] [emoji125]
Kuna wengine huku anaangalia la tempestad au isidingoHvi kweli wapo wanawake kama hawa?mko kwenye mambo afu anachat na kutafuna big g?!
usikereke! ndo mambo ya kisasa hayo!Kuna vitu vishakuwa kama fasheni siku hizi. Unaweza ukakutana na threads hata 3 per day zinaongelea swala la kufumua marinda. Wananikera!!
hahahahahaha umetisha mkuuHawa madada wenyewe kileleni wanafika basi hata ujitume vipi we fikiria mtu mikonyagi mi ndovu cjui reds mpaka aje afike peak sio leo
Haya mambo yanakua magumu kwasabu pande zote mbili zina matatizo na hakuna upande unaokubali matatizo yake so tugegemee haya malalamiko kila siku humuHii mada ina ukweli mkubwa,umesahau wanaume kulalamika Wanawake wana Rambo,na wanawake kulalamika Wanaume vibamia.
Hahaha...kazi ipo.