Inasikitisha sana halafu inauma

Inasikitisha sana halafu inauma

Hayi ni matokeo ya harakati za kishetani kumuangamiza mwanadamu.

Lilith the queen of devil akiwatumia wanaharakati kuempower women while men are belittled.Men become inferior to women.
 
mshana jr, wanaume wamebaki wachache sana. Wapo walioamua kuwa mashoga, wapo mahanisi, wapo wenye vipisi vyao vya sigara, wapo wenye low sperm count, wapo one minute man, kwa kweli haya matatizo yameongezeka sana tangu na wanawake walipoamua kuvaa suruali.

We subiria jera tu! Nimesoma uzi wako kwenye jukwaa letu lileee, umekula embe bichi na chumvi ya pilipili😎

Minimum years, 30years🙄
 
Umoja na ujamaa wa wanafamilia nao hakuna vile vikao watu walivyokuwa wanakaa kuelezana matatizo yao na kusaidiana siku hiz hakuna kila mtu yuko busy..Sehemu pekee mtu anaona atapata msaada wa matatizo yake ni sehemu kama hii hapa...Sasa tusiwakatishe tamaa wale wanaokuja na kueleza matatizo yao hapa maana mficha maradhi.......Tukiangalia tatizo hili la nguvu za kiume haitakuwa haki tukiwaacha wanawake nyuma kwani nao wamechangia kwa kiasi fulani wanaume kushindwa kuwafika kileleni..Zamani mwanamke ulikuwa ukipiga dk 15 yeye keshamaliza haja yake tena si mara 1...Siku hiz utasugua hapo masaa manne yeye hata macho hayajaanza kulegea ndo kwanza anaendelea kuchat kwenye group la whasup na kutafuna big G..kama hamna hata kitu kilichoingia..jaman tuwe makini ukitaka kupata heshima hapo hakika hvi vifo vya guest vitaongezeka mno...
[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Hawa madada wenyewe kileleni wanafika basi hata ujitume vipi we fikiria mtu mikonyagi mi ndovu cjui reds mpaka aje afike peak sio leo
Hata mimi hapo ndo huwa najiuliza kuwa inahitaji muda kiasi gani ili mwanamke afike?,maana siku hizi nahisi hata hilo neno la mwanamke kufika kileleni linaanza kuwa msamiati.
 
Mtu huna hisia naye ,mmekutana huko kwa sababu jamaa ana hela ,au demu wa kishua sijui ,au kwa sababu muda umeenda unataka kuolewa au kuoa , hamtaridhishana , hapo ukiongeza na kiepe yai ,mafuta ya taa kwenye misosi ,misongo ya mawazo dah kizazi hichi watakao salia ni wachache sana
 
Kuwa mwanaume siku hizi ni kazi......

Wanaume tumeumbwa matesooo mateso kuhangaika (enzi hizo)

Mapenzi shidaaa, fedha ndo kabisa, nifanye nini maana nahisi nadhalilika wahaladeeee (enzi hizi)

Alafu kuna jinsia inataka haki sawa...uanaume NI kazi zaidi ya kupaka wanja na kuuchanua upaja
 
Back
Top Bottom