Inasikitisha sana halafu inauma

Inasikitisha sana halafu inauma

Wanaume wenywewe ndo hawa wanao gombania vipodozi na wake zao asbh!?!? Unategemea nn
 
Inavyoonekana wanawake wengi humu jf wana sexual stress!!!😱😱😱

Wengi wanapata shoo za kibitoz🙄

Mkuu bitoz ukipita huku usipanik, simaanishi ww ndugu yangu😀
 
mshana jr, wanaume wamebaki wachache sana. Wapo walioamua kuwa mashoga, wapo mahanisi, wapo wenye vipisi vyao vya sigara, wapo wenye low sperm count, wapo one minute man, kwa kweli haya matatizo yameongezeka sana tangu na wanawake walipoamua kuvaa suruali.
Mabwabwa!
 
mimi nadhani hali hii kwa wanaume kutowafikisha wadada mlimani inatokana na aina ya vyakula tunavyokula,tunadharau vyakula vya asili kama karanga,mihogo nk na kuendekeza chips kwa mayai ya kisasa,upande wa wadada wengi hawafiki kilimanjaro kwa sababu ya kutumia sana vifaa 'atifisho'
 
Wamebaki wanaume suruali tuu
yawezekana kuwa kweli lakini kuna fakta nyingi zinazosababisha kuwa wanaume suruali,1,hofu ya magonjwa ambayo husababisha mtu afanye kwa tahadhari kubwa,pia kutumia sandarusi kunapunguza msisimko na mtu kuonekana kama si dereva
 
yawezekana kuwa kweli lakini kuna fakta nyingi zinazosababisha kuwa wanaume suruali,1,hofu ya magonjwa ambayo husababisha mtu afanye kwa tahadhari kubwa,pia kutumia sandarusi kunapunguza msisimko na mtu kuonekana kama si dereva


Mmmmmh
 
1458582055528.jpg
 
Vyakula vinahusika sana. mbolea, madawa ya kuuwa wadudu, na vyakula/vinywaji vya viwandani. hivi vyote ni vunja P*mbu. hizo nguvu zitatoka wapi?
 
Back
Top Bottom