Inasikitisha sana halafu inauma

Inasikitisha sana halafu inauma

mimi nadhani hali hii kwa wanaume kutowafikisha wadada mlimani inatokana na aina ya vyakula tunavyokula,tunadharau vyakula vya asili kama karanga,mihogo nk na kuendekeza chips kwa mayai ya kisasa,upande wa wadada wengi hawafiki kilimanjaro kwa sababu ya kutumia sana vifaa 'atifisho'
Bila kusahau maandalizi hafifu. Wengi mnabaka tu sikuhizi
 
Hili ni janga na msiba mkuu.

Siku hizi hakuna tena mada za akina dada kusifia wanaume kuwa wana shughuli pevu au wanajua kuhonga.

Hakuna tena zile mada za akina dada/mama wakisimulia masaibu waliyokutana nayo baada ya kutoka na mwanaume fulani na kusuguliwa kwa masaa hadi kikawaka moto.

Hakuna tena story za kuchoshwa mno kitandani mpaka siku ya pili kushindwa kwenda popote.

Siku hizi ni story za malalamiko ya kutofikishwa popote huku wanaume nao wakigeuka walalamikaji wakubwa kwa wanawake.

Siku hizi kila ukiingia MMU huwezi kosa mada ya mwanaume kulialia, mwanaume unalialia? Kweli! Mwanaume kutwa kucha ulalamika mitandaoni?
Pathetic
May be it's a right platform.
 
Sasa demu mnagongana yeye anawaza malipo yake atafika wapi?!

Sahivi kila mtu afe na chake, kama unaona hujafika panda gari jingine
 
Utamsifia kwa lipi wakati ni kama amesomea fani ya kuumiza moyo wako
 
Umoja na ujamaa wa wanafamilia nao hakuna vile vikao watu walivyokuwa wanakaa kuelezana matatizo yao na kusaidiana siku hiz hakuna kila mtu yuko busy..Sehemu pekee mtu anaona atapata msaada wa matatizo yake ni sehemu kama hii hapa...Sasa tusiwakatishe tamaa wale wanaokuja na kueleza matatizo yao hapa maana mficha maradhi.......Tukiangalia tatizo hili la nguvu za kiume haitakuwa haki tukiwaacha wanawake nyuma kwani nao wamechangia kwa kiasi fulani wanaume kushindwa kuwafika kileleni..Zamani mwanamke ulikuwa ukipiga dk 15 yeye keshamaliza haja yake tena si mara 1...Siku hiz utasugua hapo masaa manne yeye hata macho hayajaanza kulegea ndo kwanza anaendelea kuchat kwenye group la whasup na kutafuna big G..kama hamna hata kitu kilichoingia..jaman tuwe makini ukitaka kupata heshima hapo hakika hvi vifo vya guest vitaongezeka mno...
Hvi kweli wapo wanawake kama hawa?mko kwenye mambo afu anachat na kutafuna big g?!
 
Hali ya wanawake kutoridhishwa na wapenzi wao, kumeibuka mapenzi mengine ya 0714... hali inayopelekea vijana wengi kuangamia.

Mkuu mshana jr kula tigo ndo kumezidi sana siku hizi, hata waandishi wa stori za mapenzi nowdays katika stori zao waziandikazo lazima utakutana na kastori kanakoelezea tigo na utamu wake
 
Hali ya wanawake kutoridhishwa na wapenzi wao, kumeibuka mapenzi mengine ya 0714... hali inayopelekea vijana wengi kuangamia.

Mkuu mshana jr kula tigo ndo kumezidi sana siku hizi, hata waandishi wa stori za mapenzi nowdays katika stori zao waziandikazo lazima utakutana na kastori kanakoelezea tigo na utamu wake
My God...!!!
 
Hii mada ina ukweli mkubwa,umesahau wanaume kulalamika Wanawake wana Rambo,na wanawake kulalamika Wanaume vibamia.

Hahaha...kazi ipo.
 
Umoja na ujamaa wa wanafamilia nao hakuna vile vikao watu walivyokuwa wanakaa kuelezana matatizo yao na kusaidiana siku hiz hakuna kila mtu yuko busy..Sehemu pekee mtu anaona atapata msaada wa matatizo yake ni sehemu kama hii hapa...Sasa tusiwakatishe tamaa wale wanaokuja na kueleza matatizo yao hapa maana mficha maradhi.......Tukiangalia tatizo hili la nguvu za kiume haitakuwa haki tukiwaacha wanawake nyuma kwani nao wamechangia kwa kiasi fulani wanaume kushindwa kuwafika kileleni..Zamani mwanamke ulikuwa ukipiga dk 15 yeye keshamaliza haja yake tena si mara 1...Siku hiz utasugua hapo masaa manne yeye hata macho hayajaanza kulegea ndo kwanza anaendelea kuchat kwenye group la whasup na kutafuna big G..kama hamna hata kitu kilichoingia..jaman tuwe makini ukitaka kupata heshima hapo hakika hvi vifo vya guest vitaongezeka mno...
Umeelewwka vizuri ila ungeelezea pia sababu za wanawake kutoridhika sikuhizi.

Ni kweli kuwa Abortion wanazofanya na utumiaji wa dildos ndio sababu za kutoridhika vizuri?
 
Umoja na ujamaa wa wanafamilia nao hakuna vile vikao watu walivyokuwa wanakaa kuelezana matatizo yao na kusaidiana siku hiz hakuna kila mtu yuko busy..Sehemu pekee mtu anaona atapata msaada wa matatizo yake ni sehemu kama hii hapa...Sasa tusiwakatishe tamaa wale wanaokuja na kueleza matatizo yao hapa maana mficha maradhi.......Tukiangalia tatizo hili la nguvu za kiume haitakuwa haki tukiwaacha wanawake nyuma kwani nao wamechangia kwa kiasi fulani wanaume kushindwa kuwafika kileleni..Zamani mwanamke ulikuwa ukipiga dk 15 yeye keshamaliza haja yake tena si mara 1...Siku hiz utasugua hapo masaa manne yeye hata macho hayajaanza kulegea ndo kwanza anaendelea kuchat kwenye group la whasup na kutafuna big G..kama hamna hata kitu kilichoingia..jaman tuwe makini ukitaka kupata heshima hapo hakika hvi vifo vya guest vitaongezeka mno...
Hapo hamna namna lazima uende chumvini kwanza mkuu maana haitakiwi ulie
 
Haya sasa lawama zimegeuzwa na kutupiwa wanawake!! Teh teh teeeh!! Haya ngoja tuendelee hivi hivi.
 
Back
Top Bottom