kisa cha kinje kutoa bastola?Ni binti mmoja aliyewahi kuwa na uhusiano na mapedeshee wa mjini, aliwahi kuishi kinondoni makaburini mitaa ya bamboo, Alisababisha Kinje kutoa bastola siku moja pale kndoni, Kaolewa na dogo mmoja msanii Maliki. mjasiriamali wa masaburi,rafiki yake mange abdalah Kimambi wa karibu. Yu karibu sana na mtoto wa mzee maliki tajiri mwenye Coolblue na temboblocks.
Napita tuu.
duh hiyo id na avatar full majangafamous wanna be,nowdays wanajua hata vacations n designers.mademu wa bongo fake sana aiseee
huyu ndio kisa
nmpenda kweli huyu dada hivi kwanini aligombana na bibi harusi wakekiki(kisa &Kinje)
hope unamuongea Kisa
Mi nilijua yule mwanamuzik wa kitambaa cheupe,yule mzee.