Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
- Thread starter
- #21
Wala mimi sijasema afukuzwe au hastahili ila inashangaza tu.kumbe unalijua? basi mwache kijana akawatumikie watanzania maana anastahili.
Sasa kama wao kujiajiri ni ngumu kwa kiwango hiki sijui wao huwa wanamwambia nani ajiajiri ?