Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,988
- 22,379
Mkuu hakuna chochote kinachokwambia Nassari alivizia teuzi.UDC ndio mazuri ?
Hivi ni big deal sana kwa mtu ambaye alikuwa mbunge?
Hii tabia Watanzania tuiacheni aiseee
Mkuu hakuna chochote kinachokwambia Nassari alivizia teuzi.UDC ndio mazuri ?
Hivi ni big deal sana kwa mtu ambaye alikuwa mbunge?
Me nimemaliza mkuu wangu.Hivi mnajua tafsiri ya wivu kweli ?
Yaani mfano mtu alikuwa Waziri kawa Balozi baadaye anakaa nyumbani mpaka anakuja kupewa uRAS na uDC halafu mtu akishangaa unasema anamuonea wivu kweli ???
Sawa wewe unazo lakini wacha wivu.Huna akili
Ndio maana mnabidi muwakubali sana graduates wanaopambana.Kiukweli serikali iheshimu sekta binafsi.
Kujiajiri kwa mafanikio ni kipaji cha kipekee sana.
Hivi inawezekana vipi Joshua Nassari kutumia pesa za ubunge kwenda kusoma nje, lakini unarudi kutafuta teuzi ???
Lijualikali alikuwa anatafuta teuzi mpaka analia licha ya kuwa na mshahara, posho na mafao ya ubunge.
Kwa hali ilivyo niwapongeze sana GRADUATES mliotoka vyuoni hamna hata 100 isipokuwa deni la bodi ya mikopo halafu mnaambiwa mjiajiri, mnaishi vipi 🤣
Anayetakiwa kujiajiri ni nani kwani na anatakiwa kuwa na sifa zipi ?
Maana tunaodhani wana resources zote za kujiajiri ndio hao wanavizia teuzi.
Imagine mtu kama Mashinji pamoja na elimu yote, pamoja na kuwa katibu mkuu CDM miaka 5 lakini alikuwa amekaa tuli anasubiria teuzi🤣Ndio maana mnabidi muwakubali sana graduates wanaopambana.
Yaani hao wote wameshakaa bungeni vya kutosha ila wakikosa nafasi tu wanakua frustrated,wengine wananunuliwa kuhama vyama
Wakipata nafasi unasikia Vijana jiajirini 🤣😂🤣😂🤣😂
Hatari sanaImagine mtu kama Mashinji pamoja na elimu yote, pamoja na kuwa katibu mkuu CDM miaka 5 lakini alikuwa amekaa tuli anadubiria teuzi🤣
Katika maisha hizo ni njia tuu unapita katika maisha na kazi. Ama unapotea ama unaibuka, kwa hiyo hakuna ajabu.Hivi mnajua tafsiri ya wivu kweli ?
Yaani mfano mtu alikuwa Waziri kawa Balozi baadaye anakaa nyumbani mpaka anakuja kupewa uRAS na uDC halafu mtu akishangaa unasema anamuonea wivu kweli ???
Unapita au unapitishwa ?Katika maisha hizo ni njia tuu unapita katika maisha na kazi. Ama unapotea ama unaibuka, kwa hiyo hakuna ajabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maisha hayana fomula. Enzi zake Nikki wa Pili akiwa hana hili wala lile alikuwa anatunanga sisi tulioajiriwa kwenye mziki wake wa Sitaki kazi, sitaki kuwa mtumwa. Lakini maisha ni sawa na ugonjwa hayafichiki. Sasa yako wapi?Kiukweli serikali iheshimu sekta binafsi.
Kujiajiri kwa mafanikio ni kipaji cha kipekee sana.
Hivi inawezekana vipi Joshua Nassari kutumia pesa za ubunge kwenda kusoma nje, lakini unarudi kutafuta teuzi ???
Lijualikali alikuwa anatafuta teuzi mpaka analia licha ya kuwa na mshahara, posho na mafao ya ubunge.
Kwa hali ilivyo niwapongeze sana GRADUATES mliotoka vyuoni hamna hata 100 isipokuwa deni la bodi ya mikopo halafu mnaambiwa mjiajiri, mnaishi vipi 🤣
Anayetakiwa kujiajiri ni nani kwani na anatakiwa kuwa na sifa zipi ?
Maana tunaodhani wana resources zote za kujiajiri ndio hao wanavizia teuzi.
same to Lipumba et al.Nani anasonga mbele ?
Hivi unawajua kina MO, marehemu Mfuruki ?
Hawa ni watu waliosoma nje pia.
Mtu aliyekuwa mbunge, aliyeenda kutafuta elimu mpaka ng'ambo akirudi kuanza kulialia kusaka teuzi wewe unaona kapiga hatua kweli ?
Nyuzi nyingi zenye kuongelea uteuzi wa wakuu wa wilaya zipo kimajungu kuliko kuwa na hoja za msingi.Amevizia au ameteuliwa? Kwa hiyo mtu akiteuliwa akatae kisa amewahi fanya Obama foundation?
Hawa wamejiteua au wameteuliwa na mamlaka ya rais?.Nani anasonga mbele ?
Hivi unawajua kina MO, marehemu Mfuruki ?
Hawa ni watu waliosoma nje pia.
Mtu aliyekuwa mbunge, aliyeenda kutafuta elimu mpaka ng'ambo akirudi kuanza kulialia kusaka teuzi wewe unaona kapiga hatua kweli ?
Rais anateua mtu kwa vigezo anavyoona yeye vinafaa.Mkuu hakuna chochote kinachokwambia Nassari alivizia teuzi.
Hii tabia Watanzania tuiacheni aiseee
Kabisa mkuu.Rais anateua mtu kwa vigezo anavyoona yeye vinafaa.
Mtu anaweza vipi kuvizia teuzi wakati hajui anachokiwazia Rais?.
Wabongo tunapenda sana kuendekeza roho za wivu.
Kiukweli serikali iheshimu sekta binafsi.
Kujiajiri kwa mafanikio ni kipaji cha kipekee sana.
Hivi inawezekana vipi Joshua Nassari kutumia pesa za ubunge kwenda kusoma nje, lakini unarudi kutafuta teuzi ???
Lijualikali alikuwa anatafuta teuzi mpaka analia licha ya kuwa na mshahara, posho na mafao ya ubunge.
Kwa hali ilivyo niwapongeze sana GRADUATES mliotoka vyuoni hamna hata 100 isipokuwa deni la bodi ya mikopo halafu mnaambiwa mjiajiri, mnaishi vipi
Anayetakiwa kujiajiri ni nani kwani na anatakiwa kuwa na sifa zipi ?
Maana tunaodhani wana resources zote za kujiajiri ndio hao wanavizia teuzi tena za uDC!!!!!!