Inakuwaje Rais wa Zanzibar anawapa wahamiaji Uraia wa Tanzania?

Ngoja kwanza wale walipewa uraia wa Zanzibar au Tanzania? Kwa sababu Raisi wa Zanzibar hana mamlaka ya kumpa mtu uraia wa Tanzania, kama ndicho alicho fanya basi itakua ni dharau kupita kiasi sasa 🤔🤔🤔
 
Umeelewa habari husika au unaendeleza chuki za kijinga tu. Ukiwa na chuki hata uwezo wa kuchambua taarifa unapungua na kuangukia katika kuhalalisha chuki zako.

Long story short waliopewa uraia sio Watanzania ni raia wa Comoro, Msumbiji, Rwanda n.k waliokaa Tanzania kwa zaidi ya miaka 50. Itakua ajabu sana Mtanzania kupewa uraia wa Tanzania.
Wewe kiazi ndo hujaelewa kitu.

Hao wa Comoro na Msumbiji sijui na wa wapi wakishapata uraia wa Zanzibar hawatakuwa na haki ya kuishi Tanganyika kama ilivyo kwa Watanganyika?

Muwage mnatuliza vichwa nyie wala Ulojo
 
Ngoja kwanza wale walipewa uraia wa Zanzibar au Tanzania? Kwa sababu Raisi wa Zanzibar hana mamlaka ya kumpa mtu uraia wa Tanzania, kama ndicho alicho fanya basi itakua ni dharau kupita kiasi sasa
Je Kuna mzanzinari sio mtanzania?
 
Umeelewa habari husika au unaendeleza chuki za kijinga tu. Ukiwa na chuki hata uwezo wa kuchambua taarifa unapungua na kuangukia katika kuhalalisha chuki zako.

Long story short waliopewa uraia sio Watanzania ni raia wa Comoro, Msumbiji, Rwanda n.k waliokaa Tanzania kwa zaidi ya miaka 50. Itakua ajabu sana Mtanzania kupewa uraia wa Tanzania.
Umerukia hoja! Raisi wa Zanzibar anapeanaje uraia wa Tanzania. Yeye siyo raisi wa Tanzania.
 
MWALIMU NYERERE ANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.

UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya nimeonya.

tahadhali nimetoa ushauri na kuonya nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia Tanzania ailinde WAOVU wasiishinde.

Amina Tena Amina Amina Tena amina


UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
MWALIMU JK NYERERE
 
Anayo mandate ya kutoa uraia wa Tanzania? au kawapa uraia wa zanzibar........wahusika tudadavulieni hapa.
 
Hana mamlaka ya kutoa uraia ,iwe JMT au SMZ
Kazi hyo inafanywa na Rais wa JMT
Exactly, kumbe hata huo uraia wa zanzibar tu hana mamlaka nao, ndo mambo ya kujimwambafy hadi kuingilia mamlaka ya mkuu wa nchi.
 
Umeelewa habari husika au unaendeleza chuki za kijinga tu. Ukiwa na chuki hata uwezo wa kuchambua taarifa unapungua na kuangukia katika kuhalalisha chuki zako.

Long story short waliopewa uraia sio Watanzania ni raia wa Comoro, Msumbiji, Rwanda n.k waliokaa Tanzania kwa zaidi ya miaka 50. Itakua ajabu sana Mtanzania kupewa uraia wa Tanzania.
Kama nitakuwa Niko sahihi mtoa maada anamanisha kuwa kwanini uraia wa Tanzania utolewe na Rais wa Zanzibar na siyo Rais wa JMT?au pengine waliopewa uraia watakuwa ni raia wa Zanzibar peke yake na siyo raia wa JMT?.
 
Exactly, kumbe hata huo uraia wa zanzibar tu hana mamlaka nao, ndo mambo ya kujimwambafy hadi kuingilia mamlaka ya mkuu wa nchi.
Lakin mambo ya kisheria ni very complicated ,yule ni Rais hauwezi jua labda kuna kifungu Fran Fran kimeelezea mazingira yatakayofanya rais wa SMZ atoe uraia,c unajua Sheria zetu wakati mwingine kifungu A kinakaza,kifungu B kinaluhusu.so janja janja
 
Zanzibar na Tanganyika wanatawala wenyewe unafikri kuna kitu gani kitakachofanyika tofauti na haya yanayofanyika?.

Wa Zanzibar wanaichukulia kama fursa ambayo ni lazima waitumie vizuri.
 
mimi Kama mtanzania kwangu sio habari njema, lakini natambua hii ni Aina ya uongozi barani afrika.

hujali maslahi kwa upande wao na si kwa uzalendo dhabiti wa raia wake nchini.

Mungu ilinde afrika,
Mungu ilinde Tanzania.
 
Nimeshangaa sana kusikia hilo maana huko Zanzibar watanganyika tunajulikama kama raia wa nchi nyingine.

Cha kusikitisha wazanzibar huku bara wanaonekana ni kwao. Tafasiri ya harakaharaka hao waliopewa uraia na mwinyi wanaweza kuja huku bara wakiwa na haki sawa za utanzania.

Kwa nini Rais wa Jamhuri ya muungano asingetoa huu uraia au aliyeandika kapotosha?


Sheria na protocol zimekaaje kwako Pascal Mayalla

Soma: Rais Mwinyi awakabidhi vyeti vya uraia wa Tanzania wahamiaji wasiohamishika 3,319
Nenda uhamiaj pale. Mabwege tu wanagawa uraia kila kukicha.. hela yako tu.
 
Niliona is sijaingia kwa undani, ila uraia wa JMT unatolewa na mamlaka moja tuu, rais wa JMT.
P
Hili ni tatizo that's why ni muhim kupunguza madaraka kwa Rais, cz angle hii ya kutoa uraia ilipaswa ishughulikiwe na maafisa pia na wataalam wa masuala ya kimataifa ili kufanya uchunguzi wa kina kuhusu muombaji. Then jopo zima liliridhie kua anastahili kupewa uraia ama la!!
 
Ndo anauliza kwanini Rai's Mwinyi ambaye ana hadhi ya Mkuu wa Mkoa ndani ya Jamhuri ya Tanzania awe na mamlaka ya kuwapa raia wa nchi nyingine uraia Wa Tanzania? Anauliza kwamba hayo Mamlaka siyo ya Rai's wa Jamhuri ya Muungani Wa Tanzania?! Mwinyi ameyatoa wapi?
Kumbuka Zanzibar siyo nchi, ni sehemu ya Tanzania kama ilivyo Kigoma au Mbeya.
@FaizaFoxy anakuambia Zanzibar nayo ni nchi!
 
Back
Top Bottom