payuka
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 829
- 127
Habari wana JF,
Leo asubuni nipo sehemu ambayo voucher za simu zinapatikani mbali kidogo. Alternative niliyonayo ni kukopa, hivyo nimepiga *149*05# nikapewa mkopo wa Tshs. 1300.
Lakini nilipojaribu kuipiga namba ya zain nilijibiwa kwamba sina salio la kutosha kuweza kupiga. Cha ajabu kingine ni kwamba baada ya muda mfupi jamaa alinipigia simu.
Sasa najiuliza je, TiGo wanafanya haki kweli kwa hili? Na je, kama una dharura ya hatari hawaoni kwamba inaweza kuleta madhara kwa sababu ya hii restriction yao?
Mwisho kabisa kwa nini wamtumie msg mtu niliyekuwa nampigia huku ningali na salio nililokopa? huku si kunidhalilisha kwamba naomba nipigiwe simu kwa sababu sina fedha za kutosha kwenye simu yangu?
Kwa mwendo huu nafikiria kuhamia Airtel kwani siwezi kurudi Vodacom tena.
Leo asubuni nipo sehemu ambayo voucher za simu zinapatikani mbali kidogo. Alternative niliyonayo ni kukopa, hivyo nimepiga *149*05# nikapewa mkopo wa Tshs. 1300.
Lakini nilipojaribu kuipiga namba ya zain nilijibiwa kwamba sina salio la kutosha kuweza kupiga. Cha ajabu kingine ni kwamba baada ya muda mfupi jamaa alinipigia simu.
Sasa najiuliza je, TiGo wanafanya haki kweli kwa hili? Na je, kama una dharura ya hatari hawaoni kwamba inaweza kuleta madhara kwa sababu ya hii restriction yao?
Mwisho kabisa kwa nini wamtumie msg mtu niliyekuwa nampigia huku ningali na salio nililokopa? huku si kunidhalilisha kwamba naomba nipigiwe simu kwa sababu sina fedha za kutosha kwenye simu yangu?
Kwa mwendo huu nafikiria kuhamia Airtel kwani siwezi kurudi Vodacom tena.