Utapeli wa kampuni ya tigo wakishirikiana na bima mkononi (milvik)

X men

Member
Dec 26, 2021
11
23
Je serikali haioni jinsi kampuni ya Milvik ikishirikiana na Tigo wanavyofanya dhuluma kwa wananchi??

Kampunj ya tigo imekua ikifanya uhamasishaji wa wananchi kujiunga bima mkononi ambapo mnufaika hukatwa 5500 kila mwezi na endapo ataumwa yeye au wanufaika wengine wa familia yake kisha wakalazwa basi Tigo na Milvik watamlipa mwanachama elfu 40 kwa kila siku aliyolazwa.

Zikiwa pesa ndogo ndogo hizi wanalipa ila peleka madai makubwa hapo ndiyo utajuta. Mke wangu (mteja wao) mwaka 2021 alilazwa na mtoto MUHIMBILI zaidi ya miezi 3 na aliporuhusiwa aliwatumia Milvik document zote walizohitaji ili ku process malipo.

Shida ikaanza wakaanza kumsumbua mke wangu kwamba eti wameenda MNH ku verify hizo taarifa ila hawajaziona, tulipowaluzoa kwahiyo hizo document ni fake wakasema sio fake ila kule muhimbili hazipo, tukawaambia sasa kama sio fake kwanini hamtaki kulipa, tukataka watuambie sehemu walipoenda ku verify wakakataa, wakamtaka mke wangu (tunaishi Tabora) atoke Tabora arudi Muhimbili kuwaomba waandike medical report ingine yenye kuonyesha ile ya awali ni sahihi, tukawaambi suala la verification ni la kwenu sio mteja mbona huu ni usumbufu na hizi gharama za safari nani ata cover, kwanini nyie msitumie vyanzo zaidi ya kimoja ku verify, je mmefika kwa mkurugenzi wa Huduma za Upasuaji ambaye yeye ndiye msimamizi na barua zinapitia kwake??

Je mmefika kwa madaktaribwa jengo la watoto kuwauliza , je mmeendea ku verify wapi??! Wakasema wao washaenda ku verify na hawawezi enda tena. Kwakua MILVIK walikuwa wanapaswa kulipa zaidi ya milion ilibidi tukope fedha kurudi hadi MNH kuwaelezea, majibu waliyotupa ni kwamba sisi sio wa kwanza hiyo kampuni inasumbua sana wananchi, wakasema tuwapigie pale simu ili waende MNH wakaonane na Mkurugenzi wa Huduma, Milvik wakakataa kwakusema madai yetu yalishafungwa, tulijaribu kuwasiliana na Tigo ila hakuna walichotusaidia ikabidi turudi Tabora bila kufanikisha na tukawa tumeingia hasara.

Tuliandika barua ya malalamiko TIRA na Muhimbili ila hadi leo miaka 3 hatujawahi kujibiwa!! Huu ni utapeli mkubwa unaofanywa na Tigo na Milvik kwa Watanzaia ambao unapaswa kuchukuliwa hatua. Tulitamani kuwafungulia mashtaka kwa hayo madai, hasara na usumbufu waliotusababishia ila gharama na kukosa msaada kisheria vikatufanya tukubali kudhulumiwa.

ILA NIMEONA NI BORA KULISEMA HILI JAMBO ili wengine yasije kuwakuta!!
 
Je serikali haioni jinsi kampuni ya Milvik ikishirikiana na Tigo wanavyofanya dhuluma kwa wananchi??

Kampunj ya tigo imekua ikifanya uhamasishaji wa wananchi kujiunga bima mkononi ambapo mnufaika hukatwa 5500 kila mwezi na endapo ataumwa yeye au wanufaika wengine wa familia yake kisha wakalazwa basi Tigo na Milvik watamlipa mwanachama elfu 40 kwa kila siku aliyolazwa.

Zikiwa pesa ndogo ndogo hizi wanalipa ila peleka madai makubwa hapo ndiyo utajuta. Mke wangu (mteja wao) mwaka 2021 alilazwa na mtoto MUHIMBILI zaidi ya miezi 3 na aliporuhusiwa aliwatumia Milvik document zote walizohitaji ili ku process malipo.

Shida ikaanza wakaanza kumsumbua mke wangu kwamba eti wameenda MNH ku verify hizo taarifa ila hawajaziona, tulipowaluzoa kwahiyo hizo document ni fake wakasema sio fake ila kule muhimbili hazipo, tukawaambia sasa kama sio fake kwanini hamtaki kulipa, tukataka watuambie sehemu walipoenda ku verify wakakataa, wakamtaka mke wangu (tunaishi Tabora) atoke Tabora arudi Muhimbili kuwaomba waandike medical report ingine yenye kuonyesha ile ya awali ni sahihi, tukawaambi suala la verification ni la kwenu sio mteja mbona huu ni usumbufu na hizi gharama za safari nani ata cover, kwanini nyie msitumie vyanzo zaidi ya kimoja ku verify, je mmefika kwa mkurugenzi wa Huduma za Upasuaji ambaye yeye ndiye msimamizi na barua zinapitia kwake??

Je mmefika kwa madaktaribwa jengo la watoto kuwauliza , je mmeendea ku verify wapi??! Wakasema wao washaenda ku verify na hawawezi enda tena. Kwakua MILVIK walikuwa wanapaswa kulipa zaidi ya milion ilibidi tukope fedha kurudi hadi MNH kuwaelezea, majibu waliyotupa ni kwamba sisi sio wa kwanza hiyo kampuni inasumbua sana wananchi, wakasema tuwapigie pale simu ili waende MNH wakaonane na Mkurugenzi wa Huduma, Milvik wakakataa kwakusema madai yetu yalishafungwa, tulijaribu kuwasiliana na Tigo ila hakuna walichotusaidia ikabidi turudi Tabora bila kufanikisha na tukawa tumeingia hasara.

Tuliandika barua ya malalamiko TIRA na Muhimbili ila hadi leo miaka 3 hatujawahi kujibiwa!! Huu ni utapeli mkubwa unaofanywa na Tigo na Milvik kwa Watanzaia ambao unapaswa kuchukuliwa hatua. Tulitamani kuwafungulia mashtaka kwa hayo madai, hasara na usumbufu waliotusababishia ila gharama na kukosa msaada kisheria vikatufanya tukubali kudhulumiwa.

ILA NIMEONA NI BORA KULISEMA HILI JAMBO ili wengine yasije kuwakuta!!
Hata Vodacom matapeli tu.
Usiuvae mkenge wa kulipia hizo bima utakuja kujuta.
Wana visingizio kibao.
 
Hata Mimi wananikata
Je serikali haioni jinsi kampuni ya Milvik ikishirikiana na Tigo wanavyofanya dhuluma kwa wananchi??

Kampunj ya tigo imekua ikifanya uhamasishaji wa wananchi kujiunga bima mkononi ambapo mnufaika hukatwa 5500 kila mwezi na endapo ataumwa yeye au wanufaika wengine wa familia yake kisha wakalazwa basi Tigo na Milvik watamlipa mwanachama elfu 40 kwa kila siku aliyolazwa.

Zikiwa pesa ndogo ndogo hizi wanalipa ila peleka madai makubwa hapo ndiyo utajuta. Mke wangu (mteja wao) mwaka 2021 alilazwa na mtoto MUHIMBILI zaidi ya miezi 3 na aliporuhusiwa aliwatumia Milvik document zote walizohitaji ili ku process malipo.

Shida ikaanza wakaanza kumsumbua mke wangu kwamba eti wameenda MNH ku verify hizo taarifa ila hawajaziona, tulipowaluzoa kwahiyo hizo document ni fake wakasema sio fake ila kule muhimbili hazipo, tukawaambia sasa kama sio fake kwanini hamtaki kulipa, tukataka watuambie sehemu walipoenda ku verify wakakataa, wakamtaka mke wangu (tunaishi Tabora) atoke Tabora arudi Muhimbili kuwaomba waandike medical report ingine yenye kuonyesha ile ya awali ni sahihi, tukawaambi suala la verification ni la kwenu sio mteja mbona huu ni usumbufu na hizi gharama za safari nani ata cover, kwanini nyie msitumie vyanzo zaidi ya kimoja ku verify, je mmefika kwa mkurugenzi wa Huduma za Upasuaji ambaye yeye ndiye msimamizi na barua zinapitia kwake??

Je mmefika kwa madaktaribwa jengo la watoto kuwauliza , je mmeendea ku verify wapi??! Wakasema wao washaenda ku verify na hawawezi enda tena. Kwakua MILVIK walikuwa wanapaswa kulipa zaidi ya milion ilibidi tukope fedha kurudi hadi MNH kuwaelezea, majibu waliyotupa ni kwamba sisi sio wa kwanza hiyo kampuni inasumbua sana wananchi, wakasema tuwapigie pale simu ili waende MNH wakaonane na Mkurugenzi wa Huduma, Milvik wakakataa kwakusema madai yetu yalishafungwa, tulijaribu kuwasiliana na Tigo ila hakuna walichotusaidia ikabidi turudi Tabora bila kufanikisha na tukawa tumeingia hasara.

Tuliandika barua ya malalamiko TIRA na Muhimbili ila hadi leo miaka 3 hatujawahi kujibiwa!! Huu ni utapeli mkubwa unaofanywa na Tigo na Milvik kwa Watanzaia ambao unapaswa kuchukuliwa hatua. Tulitamani kuwafungulia mashtaka kwa hayo madai, hasara na usumbufu waliotusababishia ila gharama na kukosa msaada kisheria vikatufanya tukubali kudhulumiwa.

ILA NIMEONA NI BORA KULISEMA HILI JAMBO ili wengine yasije kuwakuta!!
hata siielewi na jinsi ya kujitoa ni ngumu nadhani
 
Mimi wakinipigia nashangaa hua wanaongea kama chiriku. Akiniuliza kuhusu kujiunga namwambia nina bima tayari. Anakata simu hata haagi
 
Kumbe kuna ndugu yangu anadai over 1.7m kaambiwa hana medical report, karudi muhimbili kalipia 100k kupata medical report, karudisha bima, wakamwambia kuwa umetibiwa kuwa ma kibali cha matibabu kutoka Jeshi lapolisi (PF3), ndo anaipapmbania hii Pf3, maana latibiwa na kupokelewa kama emregnecy.
 
Kumbe kuna ndugu yangu anadai over 1.7m kaambiwa hana medical report, karudi muhimbili kalipia 100k kupata medical report, karudisha bima, wakamwambia kuwa umetibiwa kuwa ma kibali cha matibabu kutoka Jeshi lapolisi (PF3), ndo anaipapmbania hii Pf3, maana latibiwa na kupokelewa kama emregnecy
Mamlaka inayosimamia bima ambayo ni TIRA ipo lakini haishughulikii hizi changamoto, hawa jamaa wanatakiwa kufutiwa usajili na kuburuzwa mahakamani kabisa!!
 
Je serikali haioni jinsi kampuni ya Milvik ikishirikiana na Tigo wanavyofanya dhuluma kwa wananchi??

Kampunj ya tigo imekua ikifanya uhamasishaji wa wananchi kujiunga bima mkononi ambapo mnufaika hukatwa 5500 kila mwezi na endapo ataumwa yeye au wanufaika wengine wa familia yake kisha wakalazwa basi Tigo na Milvik watamlipa mwanachama elfu 40 kwa kila siku aliyolazwa.

Zikiwa pesa ndogo ndogo hizi wanalipa ila peleka madai makubwa hapo ndiyo utajuta. Mke wangu (mteja wao) mwaka 2021 alilazwa na mtoto MUHIMBILI zaidi ya miezi 3 na aliporuhusiwa aliwatumia Milvik document zote walizohitaji ili ku process malipo.

Shida ikaanza wakaanza kumsumbua mke wangu kwamba eti wameenda MNH ku verify hizo taarifa ila hawajaziona, tulipowaluzoa kwahiyo hizo document ni fake wakasema sio fake ila kule muhimbili hazipo, tukawaambia sasa kama sio fake kwanini hamtaki kulipa, tukataka watuambie sehemu walipoenda ku verify wakakataa, wakamtaka mke wangu (tunaishi Tabora) atoke Tabora arudi Muhimbili kuwaomba waandike medical report ingine yenye kuonyesha ile ya awali ni sahihi, tukawaambi suala la verification ni la kwenu sio mteja mbona huu ni usumbufu na hizi gharama za safari nani ata cover, kwanini nyie msitumie vyanzo zaidi ya kimoja ku verify, je mmefika kwa mkurugenzi wa Huduma za Upasuaji ambaye yeye ndiye msimamizi na barua zinapitia kwake??

Je mmefika kwa madaktaribwa jengo la watoto kuwauliza , je mmeendea ku verify wapi??! Wakasema wao washaenda ku verify na hawawezi enda tena. Kwakua MILVIK walikuwa wanapaswa kulipa zaidi ya milion ilibidi tukope fedha kurudi hadi MNH kuwaelezea, majibu waliyotupa ni kwamba sisi sio wa kwanza hiyo kampuni inasumbua sana wananchi, wakasema tuwapigie pale simu ili waende MNH wakaonane na Mkurugenzi wa Huduma, Milvik wakakataa kwakusema madai yetu yalishafungwa, tulijaribu kuwasiliana na Tigo ila hakuna walichotusaidia ikabidi turudi Tabora bila kufanikisha na tukawa tumeingia hasara.

Tuliandika barua ya malalamiko TIRA na Muhimbili ila hadi leo miaka 3 hatujawahi kujibiwa!! Huu ni utapeli mkubwa unaofanywa na Tigo na Milvik kwa Watanzaia ambao unapaswa kuchukuliwa hatua. Tulitamani kuwafungulia mashtaka kwa hayo madai, hasara na usumbufu waliotusababishia ila gharama na kukosa msaada kisheria vikatufanya tukubali kudhulumiwa.

ILA NIMEONA NI BORA KULISEMA HILI JAMBO ili wengine yasije kuwakuta!!
TAFUTA MWANASHERIA,FUNGUA KESI, DAI BIMA NA fidia pia kwa usumbufu huo wote
washenzi sana hao watu
 
Nenda ofisi ya Mwanasheria wa Serikali hapo Tabora watakupa msaada bure wa kisheria au tafuta ofisi ya TLS Tabora utapata msaada bure Kabisa.
 
Je serikali haioni jinsi kampuni ya Milvik ikishirikiana na Tigo wanavyofanya dhuluma kwa wananchi??

Kampunj ya tigo imekua ikifanya uhamasishaji wa wananchi kujiunga bima mkononi ambapo mnufaika hukatwa 5500 kila mwezi na endapo ataumwa yeye au wanufaika wengine wa familia yake kisha wakalazwa basi Tigo na Milvik watamlipa mwanachama elfu 40 kwa kila siku aliyolazwa.

Zikiwa pesa ndogo ndogo hizi wanalipa ila peleka madai makubwa hapo ndiyo utajuta. Mke wangu (mteja wao) mwaka 2021 alilazwa na mtoto MUHIMBILI zaidi ya miezi 3 na aliporuhusiwa aliwatumia Milvik document zote walizohitaji ili ku process malipo.

Shida ikaanza wakaanza kumsumbua mke wangu kwamba eti wameenda MNH ku verify hizo taarifa ila hawajaziona, tulipowaluzoa kwahiyo hizo document ni fake wakasema sio fake ila kule muhimbili hazipo, tukawaambia sasa kama sio fake kwanini hamtaki kulipa, tukataka watuambie sehemu walipoenda ku verify wakakataa, wakamtaka mke wangu (tunaishi Tabora) atoke Tabora arudi Muhimbili kuwaomba waandike medical report ingine yenye kuonyesha ile ya awali ni sahihi, tukawaambi suala la verification ni la kwenu sio mteja mbona huu ni usumbufu na hizi gharama za safari nani ata cover, kwanini nyie msitumie vyanzo zaidi ya kimoja ku verify, je mmefika kwa mkurugenzi wa Huduma za Upasuaji ambaye yeye ndiye msimamizi na barua zinapitia kwake??

Je mmefika kwa madaktaribwa jengo la watoto kuwauliza , je mmeendea ku verify wapi??! Wakasema wao washaenda ku verify na hawawezi enda tena. Kwakua MILVIK walikuwa wanapaswa kulipa zaidi ya milion ilibidi tukope fedha kurudi hadi MNH kuwaelezea, majibu waliyotupa ni kwamba sisi sio wa kwanza hiyo kampuni inasumbua sana wananchi, wakasema tuwapigie pale simu ili waende MNH wakaonane na Mkurugenzi wa Huduma, Milvik wakakataa kwakusema madai yetu yalishafungwa, tulijaribu kuwasiliana na Tigo ila hakuna walichotusaidia ikabidi turudi Tabora bila kufanikisha na tukawa tumeingia hasara.

Tuliandika barua ya malalamiko TIRA na Muhimbili ila hadi leo miaka 3 hatujawahi kujibiwa!! Huu ni utapeli mkubwa unaofanywa na Tigo na Milvik kwa Watanzaia ambao unapaswa kuchukuliwa hatua. Tulitamani kuwafungulia mashtaka kwa hayo madai, hasara na usumbufu waliotusababishia ila gharama na kukosa msaada kisheria vikatufanya tukubali kudhulumiwa.

ILA NIMEONA NI BORA KULISEMA HILI JAMBO ili wengine yasije kuwakuta!!
Hiv mnakubalije kudhulumiwa kizembe aisee. Hiv kwanini wabongo tumelala hiv kifanyike nini aisee. Yaan udhulumiwe live na ushahid unao ukubali tu. Kuwen serious bana yaan nachukia kishenz. Nenda mahakaman bana acha unyonge wa kindez na sio kila kesi unalipia unaweza ukamuuzia kesi wakili akiona kuna kitu mnakuja kugawana. Usikubali kufa kizembe chief.
 
Back
Top Bottom