Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,352
Lizzy umesema kweli loh yaani kuna wakati nilikuwa ninafikiria hayo kuwa hapana huyu nitamwonyesha kuwa nina uwezo wa kumrudisha kwenye himaya yangu loh...........I tried weeeee but where (wanajisemea watoto wa mjini!!) ila ajabu nilipoamua kukata tamaa ndo naye akazinduka usingizini loh lakini nilishajichukia kwa upuuzi wote nloufanya kumuwin back......miaka imekwenda na uzee umekomaa eti bado ananikumbuka na kukumbuka penzi langu jamani!! .........sasa sijui ni penzi lipi lile la mwamzo au lile la ziada.
cjui wanakuagaje? wanajaribisha hukooo pakiwashinda wanakumbuka walikotoka, wengi wao huwa wamechelewa sana sana...mie niliumia sana yaani ni mtu niliempenda kwa mapenzi yangu yote, nilijua ctakuja kupenda/kupendwa tena, niliona hakuna zaidi yake, cku aliyoniambia tuishie hapa, nilijikaza kiume nikasonga na safari na kupata alienionyesha dunia ya mapenzi ilivyo, nilipenda/nikapendwa....ndio leo anahaha kwamba ningekuwa mke wake, cjui mke mwema.... cjui nn na nn jamani jamani, tujifunze kuukubali ukweli.