Inakuwaje Mambo haya??

They say "Love is blind" lakini usemi huu kwa hali halisi ya siku hizi sikubaliani nao kabisa sababu kila kitu siku hizi u get to know sooner than later watu siku hizi wamekosa uvumilivu na kuanza kusingizia vitu chungu nzima
It always happens no mata hali ya siku hizi yaani ni kama ndoa ndoano ila watu wanazidi kupenda kuingia na wao waone wenyewe. na katika mapenzi watu wanathubutu kusema hawawezi kuwa hivo ila wanajikuta wameingia kwenye uhusiano wa aina hiyohiyo bila kujijua
 
wandugu zangu sijui mimi nina dawa au nini, nikitaka kuwa na mtu ambaye ana mahusiano siku zote najitahidi anamwacha aliyenae mie ndio nashika hatamu, halafu badae nakuwa simtaki tena najutia kumvunjia uhusiano wake ila ndio inakuwa tayari ishatokea, najua mtenda hutendwa hapa nilipo sasa hivi nimefika balaa ila nahisi nae hajaka kama mimi.si mnaona balaa hilo. Kwa hiyo wote mliotendwa wala msikate tamaa ipo siku na nyie mtasimama na kupata watakaowapenda mpaka mshangae wenyewe.Yaani siku hizi kila saa simu mkononi msg ikiingia najua ni yeye nakuta limtu jingine nachukiaje!Ama kweli mwezi umekamatwa na jua, Eeee Mungu nisaidie mie jamani nimekamatwa nimekamatika sijawahi kuwa hivi kwa kijana yeyote ila huyu? mkimwona sasa kabaya kama movie ya avatar yule avatar mwanaume lol! Sorry nimevamia thread yako nilitakiwa nianzishe yangu nipate ushauri
Pole rafiki ndio maisha hayo kila mtu na mtuwe
 
...Mwanajamii kila nikitafakari hii mada yako naishia na jibu moja.
Kwa experience uliyoizungumzia, it's most likely linapokuja suala la mapenzi
Unatoa zaidi mapenzi kuliko unavyoyapokea.

Bahati mbaya, watu wengi waliojaaliwa utajiri wa mapenzi (kama Mwj1 :tongue:)
hupata wenza ambao ni wachoyo kutoa na ambao hudai wapewe ziada.

Kutokana na hazina ya utajiri wa Mapenzi, kina Mwj1 wengi huishia kuugulia kimoyo moyo
kwa kuhofia kuwaudhi/kuwapoteza wapenzi wao.

Labda tuchunguze pia iwapo tabia za utotoni (insecurities) zimechangia hali hii ukubwani.


 
umesema vema mbu inawezekana kabisa yale tunayopata leo yamechangiwa na malezi yetu,wengine malezi yalitufundisha uaminifu kwaiyo tumekuwa so soft kiasi cha kuamini yale tunayoona ndivo yalivo kumbe nyuma ya pazia sio jinsi yalivo.

na mara nyingi unajikuta umetoa moyo wako wote,pale ambapo hauitajiki na kuishia kuumizwa kila mara.

je mbu unafikiri ni rahisi kwa mtu kama huyu ,malezi na mafundisho yake yalimwelekeza hivo na kukua kwenye utajiri wa mapenzi kubadilika na umri wa utu uzima?au ndi ivo ataendelea kuumia siku zote au kuishia kuwa kitu kingine sababu ya disappointment ambazo amekuwa akizipokea kila wakati kwenye mahusiano?



...Mwanajamii kila nikitafakari hii mada yako naishia na jibu moja.
Kwa experience uliyoizungumzia, it's most likely linapokuja suala la mapenzi
Unatoa zaidi mapenzi kuliko unavyoyapokea.

Bahati mbaya, watu wengi waliojaaliwa utajiri wa mapenzi (kama Mwj1 :tongue:)
hupata wenza ambao ni wachoyo kutoa na ambao hudai wapewe ziada.

Kutokana na hazina ya utajiri wa Mapenzi, kina Mwj1 wengi huishia kuugulia kimoyo moyo
kwa kuhofia kuwaudhi/kuwapoteza wapenzi wao.

Labda tuchunguze pia iwapo tabia za utotoni (insecurities) zimechangia hali hii ukubwani.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
umesema vema mbu inawezekana kabisa yale tunayopata leo yamechangiwa na malezi yetu,wengine malezi yalitufundisha uaminifu kwaiyo tumekuwa so soft kiasi cha kuamini yale tunayoona ndivo yalivo kumbe nyuma ya pazia sio jinsi yalivo.

na mara nyingi unajikuta umetoa moyo wako wote,pale ambapo hauitajiki na kuishia kuumizwa kila mara.

je mbu unafikiri ni rahisi kwa mtu kama huyu ,malezi na mafundisho yake yalimwelekeza hivo na kukua kwenye utajiri wa mapenzi kubadilika na umri wa utu uzima?au ndi ivo ataendelea kuumia siku zote au kuishia kuwa kitu kingine sababu ya disappointment ambazo amekuwa akizipokea kila wakati kwenye mahusiano?

...swali zuri.

Mabadiliko ni matakwa ya mtu mwenyewe.
Kila experience, mbaya/nzuri maishani inafunza jambo jipya.

Machungu ya mapenzi iwe ni kuachwa/cheated/etc...ni somo.
Vile vile, kila mahusiano na mtu mpya yana machungu yake.
Haimaanishi upunguze mapenzi, la hasha.
Endelea kupenda ila UNALAZAMIKA kuwa mwangalifu zaidi.
 
Umeona eeh Maria Rosa?
Yaani inakera but ajabu ni kuwa wakati ule wala huioni ile kero au ni kwa vile sometimes unajiblame kwa makosa yasoyako na unafeel kuwa wewe ndio chanzo cha mwenzi wako kumfuata that other person hivyo ni wajibu wako kumwonyesha kuwa unampenda na umejirekebisha ili arudi kwako!!!

Laiti moyo ungekuwa na kifuniko, tukaweza kufunua mioyo ya wenzetu na kujua yaliyomo tusingekuwa twaghangaika hivi.

...exactly what am talking about.
Partners wengine hutumia weakness unapojilaumu
kujistify matendo yao.

Dont allow him/her kujua unajilaumu.
Dont try to win him/her back!
It will only be temporarily.

Let him/her Go!
Remember, ...You were the 1st Choice!
 
...Mwanajamii kila nikitafakari hii mada yako naishia na jibu moja.
Kwa experience uliyoizungumzia, it's most likely linapokuja suala la mapenzi
Unatoa zaidi mapenzi kuliko unavyoyapokea.

Bahati mbaya, watu wengi waliojaaliwa utajiri wa mapenzi (kama Mwj1 :tongue:)
hupata wenza ambao ni wachoyo kutoa na ambao hudai wapewe ziada.

Kutokana na hazina ya utajiri wa Mapenzi, kina Mwj1 wengi huishia kuugulia kimoyo moyo
kwa kuhofia kuwaudhi/kuwapoteza wapenzi wao.

Labda tuchunguze pia iwapo tabia za utotoni (insecurities) zimechangia hali hii ukubwani.



Mbu mbona umenipamba sifa si zangu loh.....hivi tulishawahikutana kweli??

Nway ninakubaliana kabisa na wewe juu ya insecurities Mbu ingawa siwezikuhusisha na yule wa kwangu but nimeshaona wengi tu na nina ushahidi wa mmoja wa karibu.............amekuwa na kulelewa katika mazingira ya uchoyo wa penzi na caring......na imekujamwathiri ukubwani. Nadhani wazazi/walezi tunatakiwa kulijua hili kuwa kwa namna moja au nyingine tunachangia sana kutengeneza/kuharibu mahusiano ya wenetu wawapo wakubwa. Tunachangia katika mateso wapatayo wakwe zetu.

Tunapolalamika miaka ya sasa ndoa hazidumu, miaka ya sasa divorce rates ziko juu, miaka ya sasa wasichana si waaminifu kwa ndoa zao, miaka ya sasa wanaume ni wakorofi, we should stop, and think hard we had a role in that.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
...exactly what am talking about.
Partners wengine hutumia weakness unapojilaumu
kujistify matendo yao.

Dont allow him/her kujua unajilaumu.
Dont try to win him/her back!
It will only be temporarily.

Let him/her Go!
Remember, ...You were the 1st Choice!

Mbu hapa ndo pa kutupa darasa how do we hide our feelings, fears and worries?? Kwa sababu unapompenda mtu kisha akakukosea halafu aliyekukosea ndie anayenuna na kususa........wewe unataka usimwuudhi na ndio mwanzo wa kujiuliza why did I say that?, why did I ask him/her e/\.t.c then unajikuta tu unaomba msamaha na kukiri makosa yaso yako!!
 
...swali zuri.

Mabadiliko ni matakwa ya mtu mwenyewe.
Kila experience, mbaya/nzuri maishani inafunza jambo jipya.

Machungu ya mapenzi iwe ni kuachwa/cheated/etc...ni somo.
Vile vile, kila mahusiano na mtu mpya yana machungu yake.
Haimaanishi upunguze mapenzi, la hasha.
Endelea kupenda ila UNALAZAMIKA kuwa mwangalifu zaidi.

Mbu ni kweli kabisa kuwa mabadiliko yanategemea na matakwa ya mtu.......but tukumbuke pia kuwa kila chenye mwanzo kina mwisho.........sitegemei kupata maumivu kwa muda mrefu na kuyazoea.......maisha ni mafupi sana kuishi kwenye regrets...............na tuogope sana mtu anayechoka akasema basi........kitu ambacho ninadhani ni vyema kila mtu akionyeshe pale anapohisi kuwia hatendewi haki otherwise anamnyima yule mtendaji haki ya kuijua thamani ya lulu aliyobahatika kuwa nayo.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mbu mbona umenipamba sifa si zangu loh.....hivi tulishawahikutana kweli??

Nway ninakubaliana kabisa na wewe juu ya insecurities Mbu ingawa siwezikuhusisha na yule wa kwangu but nimeshaona wengi tu na nina ushahidi wa mmoja wa karibu.............amekuwa na kulelewa katika mazingira ya uchoyo wa penzi na caring......na imekujamwathiri ukubwani. Nadhani wazazi/walezi tunatakiwa kulijua hili kuwa kwa namna moja au nyingine tunachangia sana kutengeneza/kuharibu mahusiano ya wenetu wawapo wakubwa. Tunachangia katika mateso wapatayo wakwe zetu.

Tunapolalamika miaka ya sasa ndoa hazidumu, miaka ya sasa divorce rates ziko juu, miaka ya sasa wasichana si waaminifu kwa ndoa zao, miaka ya sasa wanaume ni wakorofi, we should stop, and think hard we had a role in that.

La la la :nono: ! MwanajamiiOne nimjuae mie ni huyu nimsomaye kila kukicha JF tu, ---ficticious character
Pheeeewww!!!, Mwj1 mbona unataka nifungulia kesi hapa? lahaula walauqwata!!!
:focus:





wazazi tunachangia kwa namna mbili.
  • Moja, kuto jiexpress mapenzi yako kwa mwanao/wanao
  • Mbili, kutowapa wanao nafasi ya kuji express mapenzi yao kwako (mzazi)
Matokeo yake, watoto wanakuwa kwenye mazingira ya uoga, kutojiamini, Uongo
na kuficha hisia nzuri/mbaya kwa kuogopa kushushuliwa.
Mtu kama huyo usitegemee ukubwani atakuwa muwazi kwenye mapenzi.

Mbu hapa ndo pa kutupa darasa how do we hide our feelings, fears and worries?? Kwa sababu unapompenda mtu kisha akakukosea halafu aliyekukosea ndie anayenuna na kususa........wewe unataka usimwuudhi na ndio mwanzo wa kujiuliza why did I say that?, why did I ask him/her e/\.t.c then unajikuta tu unaomba msamaha na kukiri makosa yaso yako!!

Mwj1, kila mtu ataubeba msalaba wake. Kwanini ujibebeshe makosa usoyajua uzito wala sababu yake?
Mijitu mingine huko utotoni tayari ilishashindikana kwa wazazi wao, wewe utawaweza wapi?
Watu wa aina hiyo chunguza kwa wifi/shemeji zako, utaambiwa utotoni alikuwa Nunda sana. Tabia haibadilishiki,
Ukubwani kapata nafuu tu, LOL!
 
Mbu ni kweli kabisa kuwa mabadiliko yanategemea na matakwa ya mtu.......but tukumbuke pia kuwa kila chenye mwanzo kina mwisho.........sitegemei kupata maumivu kwa muda mrefu na kuyazoea.......maisha ni mafupi sana kuishi kwenye regrets...............na tuogope sana mtu anayechoka akasema basi........kitu ambacho ninadhani ni vyema kila mtu akionyeshe pale anapohisi kuwia hatendewi haki otherwise anamnyima yule mtendaji haki ya kuijua thamani ya lulu aliyobahatika kuwa nayo.

...Swadaktaaaa! ...hapo tupo ukurasa mmoja. Nilipo highlight "Red fonts"
namaanisha ni wachache wanaojaaliwa uwezo wa kujitambua!

Wengi hawajitambui kwamba wanakuwa abused!...
wengi huchukulia Ndoa Ndivyo Zilivyo! Wengi huchukulia mafundisho ya ndoa yalisema "for better or Worse!"
...hakuna mpaka wa "...for Worse " ila tu; kifo kitapowatenganisha!

NB; Nikisisitizia point ile ya kuogopa kumuudhi mpenzi na kuomba msamaha kwa kosa si lako;

* Mtu mzima hadekezwi, usifiche machungu yako. Mbebeshe lawama zake awajibike nazo.
penye ukweli aambiwe, potelea mbali akinuna.
* Ni bora umuudhi na kumpoteza wakati bado unampenda, kuliko uhangaike kumpoteza wakati unamchukia!
(wakati huo yeye 'keshafunga nanga!')
 
Mbu ni kweli kabisa kuwa mabadiliko yanategemea na matakwa ya mtu.......but tukumbuke pia kuwa kila chenye mwanzo kina mwisho.........sitegemei kupata maumivu kwa muda mrefu na kuyazoea.......maisha ni mafupi sana kuishi kwenye regrets...............na tuogope sana mtu anayechoka akasema basi........kitu ambacho ninadhani ni vyema kila mtu akionyeshe pale anapohisi kuwia hatendewi haki otherwise anamnyima yule mtendaji haki ya kuijua thamani ya lulu aliyobahatika kuwa nayo.


umenigusa kweli hapo nilikua abused na kipofu kwa miaka kadhaa bila kujua thamani yangu kwa kuhofia tu kumuudhi ninayempenda,matokeo yake aliniahidi sitakufukuza wala kukuacha ila nitakufanyia vituko mpaka uondoke mwenyewe,na hilo ndilo lilotokea,u can imagine mtu uliempenda maisha yako yote,hujawahi kusema nimechoka kwa vituko vya kuletewa mpaka ndani mwanamke,kulala nje tena ukajua kalala na nani,ukiuliza eti ni maisha yake vile tu ulipewa ahadi ya kushindwa mwenyewe,,kweli unaweza ukawa abused ukajuta kupenda na bado huyo huyo unampenda jamani mapenziiiii....:disapointed:
 
La la la :nono: ! MwanajamiiOne nimjuae mie ni huyu nimsomaye kila kukicha JF tu, ---ficticious character
Pheeeewww!!!, Mwj1 mbona unataka nifungulia kesi hapa? lahaula walauqwata!!!
:focus:





wazazi tunachangia kwa namna mbili.
  • Moja, kuto jiexpress mapenzi yako kwa mwanao/wanao
  • Mbili, kutowapa wanao nafasi ya kuji express mapenzi yao kwako (mzazi)
Matokeo yake, watoto wanakuwa kwenye mazingira ya uoga, kutojiamini, Uongo
na kuficha hisia nzuri/mbaya kwa kuogopa kushushuliwa.
Mtu kama huyo usitegemee ukubwani atakuwa muwazi kwenye mapenzi.



Mwj1, kila mtu ataubeba msalaba wake. Kwanini ujibebeshe makosa usoyajua uzito wala sababu yake?
Mijitu mingine huko utotoni tayari ilishashindikana kwa wazazi wao, wewe utawaweza wapi?
Watu wa aina hiyo chunguza kwa wifi/shemeji zako, utaambiwa utotoni alikuwa Nunda sana. Tabia haibadilishiki,
Ukubwani kapata nafuu tu, LOL!


Aksante Mbu somo limeniingia swadakta.........laiti ningelijua tangu mwanzo mbona mwafulani asingebahatika!! wengi wetu tumejitambua wakati tushaumizwa na mioyo yetu ishanyambuka kama tambara bovu. Sasa mtu kama mie kunirudisha mstarini inakuwa ngumu kwa kweli.
 
Mbu ni kweli kabisa kuwa mabadiliko yanategemea na matakwa ya mtu.......but tukumbuke pia kuwa kila chenye mwanzo kina mwisho.........sitegemei kupata maumivu kwa muda mrefu na kuyazoea.......maisha ni mafupi sana kuishi kwenye regrets...............na tuogope sana mtu anayechoka akasema basi........kitu ambacho ninadhani ni vyema kila mtu akionyeshe pale anapohisi kuwia hatendewi haki otherwise anamnyima yule mtendaji haki ya kuijua thamani ya lulu aliyobahatika kuwa nayo.


umenigusa kweli hapo nilikua abused na kipofu kwa miaka kadhaa bila kujua thamani yangu kwa kuhofia tu kumuudhi ninayempenda,matokeo yake aliniahidi sitakufukuza wala kukuacha ila nitakufanyia vituko mpaka uondoke mwenyewe,na hilo ndilo lilotokea,u can imagine mtu uliempenda maisha yako yote,hujawahi kusema nimechoka kwa vituko vya kuletewa mpaka ndani mwanamke,kulala nje tena ukajua kalala na nani,ukiuliza eti ni maisha yake vile tu ulipewa ahadi ya kushindwa mwenyewe,,kweli unaweza ukawa abused ukajuta kupenda na bado huyo huyo unampenda jamani mapenziiiii....:disapointed:

Ndito pole sana lakini hongera sana and feel proud kama umewezajitambua na kuchukua hatua.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
It always happens no mata hali ya siku hizi yaani ni kama ndoa ndoano ila watu wanazidi kupenda kuingia na wao waone wenyewe. na katika mapenzi watu wanathubutu kusema hawawezi kuwa hivo ila wanajikuta wameingia kwenye uhusiano wa aina hiyohiyo bila kujijua
Kiukweli inauma sana unakuta mtu mwingine anafanyiwa visa na mwenzake lakini anajipa matumaini kuwa labda iko siku things will change lakini siku zinavyozidi kwenda mambo yanazidi kuwa mabaya
 
Inakera sna kupenda usipo pendeka

umeona eee Maria..halafu umeishi kwa muda mrefu ukijaribu upendwe ..unabaki kujilaumu labda labda kumbe jibu umependa pasipo na penzi..wanasema penda unapopendwa utakuja penda pasipo na penzi.....


 
Mjukuu mtiifu, babu ako haelewi maana ya hiyo hapo kwa red (damn uzee)...waweza kunidadavulia wakati naendelea kuielewa hii thread yako? Ahsante kwa kunielewa.

Wakati naendelea kuielewa, ngoja nikunong'oneze (Samahani sijapiga mswaki)......unajua kuwa mapenzi ni upofu na ukiziwi kwa apendaye pale asipopendwa?...atafanyiwa kila visa lakini atakuwa haoni, ataambiwa kila uchafu lakini atakuwa hasikii......

Sasa hii ya kurudi mara ya pili, baada ya wewe kumtapika, ukweli ni kuwa wakati ulivyokuwa ukimpenda ulikuwa unampa vitu vyote (ili usimpoteze, siyo?) Kama ni kitandani ulikuwa unawajibika ipasavyo, kama kiuchumi ulikuwa unamkabidhi kipato chako ili atumie atakavyo....... Kwa kifupi ulikuwa unampa kila kitu kwa gharama ya juu ili usimpoteze......Sasa huko aliko hapatiwi vitu hivyo, au alikuwa anapatiwa na sasa amenyimwa ghafla wakati bado ana kiu navyo.......... atapiga mahesabu yake na kuku-kumbuka "mjinga wake"......Atatafuta njia zote akurudie, atajifanya anajutia mabaya aliyokutendea, atamsingizia shetani, ataapa kwa miungu ya kwao kuwa hatakuumiza tena.........

Mjukuu mtiifu, amini, amini nakuambia.... Akirudi huyo usijidanganye, ukampa kama zamani, kiu yake ikikatika atakupiga pigo jingine kuu. Na mara nyingi pigo la pili laweza kuleta maafa makubwa zaidi.........usithubutu kukutwa, watakucheka watu!

Narudi kitandani kumalizia usingizi wakati nikiendelea kuielewa hii sredi.

Thanks babu for this uzifulu post lol
 
utata ...Mwanajamii kila nikitafakari hii mada yako naishia na jibu moja.
Kwa experience uliyoizungumzia, it's most likely linapokuja suala la mapenzi
Unatoa zaidi mapenzi kuliko unavyoyapokea.

Bahati mbaya, watu wengi waliojaaliwa utajiri wa mapenzi (kama Mwj1 :tongue:)
hupata wenza ambao ni wachoyo kutoa na ambao hudai wapewe ziada.

Kutokana na hazina ya utajiri wa Mapenzi, kina Mwj1 wengi huishia kuugulia kimoyo moyo
kwa kuhofia kuwaudhi/kuwapoteza wapenzi wao.

Labda tuchunguze pia iwapo tabia za utotoni (insecurities) zimechangia hali hii ukubwani.


[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom