Thread hii imenifariji sana,last wikend nimeumizwa na yule nimpendae,i tried much kuhakisha kua nampenda na kumjali lakin haikusaidia,i discover that hatupo pamoja,nina wiki sasa nipo kwenye maumivu lakin mawazo ya wadau yamenisaidia,nafurah kuona weng yamewakuta isipokua waliamua kuanza upya maisha,namuomba MUNGU aniongoze njia ilonyooka.
Ni afadhal kuepusha msongamano
Ni afadhal kuepusha msongamano