Inakuwaje Mambo haya??

Thread hii imenifariji sana,last wikend nimeumizwa na yule nimpendae,i tried much kuhakisha kua nampenda na kumjali lakin haikusaidia,i discover that hatupo pamoja,nina wiki sasa nipo kwenye maumivu lakin mawazo ya wadau yamenisaidia,nafurah kuona weng yamewakuta isipokua waliamua kuanza upya maisha,namuomba MUNGU aniongoze njia ilonyooka.
Ni afadhal kuepusha msongamano
 
Dahhh
Mambo kama haya yaposana
Lakini kitu nilichogundua huwezi
king'ang'ania penzi ..utahangaika
juu chini kumshikilia lakini kama penzi halipo
hatashikika...

Borea uishi pekee
Yako .kuliko kuishi na mtu
Ambaye mwili tu ndo uko hapo
akili, mawazo, roho, na kila kitu
internally kiko kwa mtu mwingine..

o sababu mbili tu
zinazofanya watu wasiopendana
Kuishi pamoja nazo ni mali na familia.[/QUOTE]
AD hapo kwenye red ongzea Dini au tuseme Imani ya dini.
 
hey hey!u sound more sweet i feel lyk changing my mind even now,is the rum available this mnt?

Is one room enough darling? I have three, all for you!....

Orayt, now stop chakachuaring my mjukuu mtiifu's useful thread.
 
Dahhh
Mambo kama haya yaposana
Lakini kitu nilichogundua huwezi
king'ang'ania penzi ..utahangaika
juu chini kumshikilia lakini kama penzi halipo
hatashikika...

Borea uishi pekee
Yako .kuliko kuishi na mtu
Ambaye mwili tu ndo uko hapo
akili, mawazo, roho, na kila kitu
internally kiko kwa mtu mwingine..

o sababu mbili tu
zinazofanya watu wasiopendana
Kuishi pamoja nazo ni mali na familia.[/QUOTE]
AD hapo kwenye red ongzea Dini au tuseme Imani ya dini.
Daaahh
sante mkuu
Kweli dini inachangia sehemu kubwa..
 
mara nyingi unapompenda mtu huwa hufikirii, unachojua ni kuwa nae tu no matter what. you can go extra miles and do crazy things, but mwisho wa siku ukitafakari unagundua it was not worthy it.
 
haina thamani my dear,lakini nara nyingi huwa tunajifunza kutokana na makosa na ndio ilivo MJI wakati huo hata ungeambiwa si ajabu usingewasikiliza waliokushauri.
 
Michelle........... Aksante mydia
Huwa nachoka pale tunapovumilia na visivyovumilika....mie hadi leo hii na uzee wangu nikikumbuka nloyafanya kwa kijana yule enzi zile loh nashikwa na hasira haswa!! But it was a good lesson kwangu...... never repeated again ......akisema ana mwingine ntatoa baraka zangu zote lol

lzm kung'ang'ania baraka za pendo ila yule akupendae aah unamzingua ila akuznguaye ndio unaöna kwake umefika.
 
wandugu zangu sijui mimi nina dawa au nini, nikitaka kuwa na mtu ambaye ana mahusiano siku zote najitahidi anamwacha aliyenae mie ndio nashika hatamu, halafu badae nakuwa simtaki tena najutia kumvunjia uhusiano wake ila ndio inakuwa tayari ishatokea, najua mtenda hutendwa hapa nilipo sasa hivi nimefika balaa ila nahisi nae hajaka kama mimi.si mnaona balaa hilo. Kwa hiyo wote mliotendwa wala msikate tamaa ipo siku na nyie mtasimama na kupata watakaowapenda mpaka mshangae wenyewe.Yaani siku hizi kila saa simu mkononi msg ikiingia najua ni yeye nakuta limtu jingine nachukiaje!Ama kweli mwezi umekamatwa na jua, Eeee Mungu nisaidie mie jamani nimekamatwa nimekamatika sijawahi kuwa hivi kwa kijana yeyote ila huyu? mkimwona sasa kabaya kama movie ya avatar yule avatar mwanaume lol! Sorry nimevamia thread yako nilitakiwa nianzishe yangu nipate ushauri
 
Mjukuu mtiifu, babu ako haelewi maana ya hiyo hapo kwa red (damn uzee)...waweza kunidadavulia wakati naendelea kuielewa hii thread yako? Ahsante kwa kunielewa.

Wakati naendelea kuielewa, ngoja nikunong'oneze (Samahani sijapiga mswaki)......unajua kuwa mapenzi ni upofu na ukiziwi kwa apendaye pale asipopendwa?...atafanyiwa kila visa lakini atakuwa haoni, ataambiwa kila uchafu lakini atakuwa hasikii......

Sasa hii ya kurudi mara ya pili, baada ya wewe kumtapika, ukweli ni kuwa wakati ulivyokuwa ukimpenda ulikuwa unampa vitu vyote (ili usimpoteze, siyo?) Kama ni kitandani ulikuwa unawajibika ipasavyo, kama kiuchumi ulikuwa unamkabidhi kipato chako ili atumie atakavyo....... Kwa kifupi ulikuwa unampa kila kitu kwa gharama ya juu ili usimpoteze......Sasa huko aliko hapatiwi vitu hivyo, au alikuwa anapatiwa na sasa amenyimwa ghafla wakati bado ana kiu navyo.......... atapiga mahesabu yake na kuku-kumbuka "mjinga wake"......Atatafuta njia zote akurudie, atajifanya anajutia mabaya aliyokutendea, atamsingizia shetani, ataapa kwa miungu ya kwao kuwa hatakuumiza tena.........

Mjukuu mtiifu, amini, amini nakuambia.... Akirudi huyo usijidanganye, ukampa kama zamani, kiu yake ikikatika atakupiga pigo jingine kuu. Na mara nyingi pigo la pili laweza kuleta maafa makubwa zaidi.........usithubutu kukutwa, watakucheka watu!

Narudi kitandani kumalizia usingizi wakati nikiendelea kuielewa hii sredi.

Babu aksante kwa ushauri wako mh..........kweli mahusiano ni mtihani kwa kweli. Well hapo kwenye red najaribu kujiuliza ni penzi lipi analimiss? Lile genuine ambalo nlikuwa nampa kabla hajawa na Havijawa au lile nlokuwa namwonyesha ili kumtoa kwa Havijawa arudi kwangu?? (maana I went extra miles kwa kweli)
But Babu umesomeka, umeeleweka na busarzo zimechukulika. Aksante sana

Kifo cha penzi ni kifo kibaya usikiombe kifo cha penzi
Heri ufe kwa kugongwa na gari ya treni,
 
Unrequited love. Mnh,...namalizia dripu hapa. Nitakuja changia kesho haya ya "kujibebesha mayai yote kweye kifuko cha rambo!"
 
Babu aksante kwa ushauri wako mh..........kweli mahusiano ni mtihani kwa kweli. Well hapo kwenye red najaribu kujiuliza ni penzi lipi analimiss? Lile genuine ambalo nlikuwa nampa kabla hajawa na Havijawa au lile nlokuwa namwonyesha ili kumtoa kwa Havijawa arudi kwangu?? (maana I went extra miles kwa kweli)
But Babu umesomeka, umeeleweka na busarzo zimechukulika. Aksante sana

Kifo cha penzi ni kifo kibaya usikiombe kifo cha penzi
Heri ufe kwa kugongwa na gari ya treni,

Should you have any querry, do not hesitate to ask...........you know where I live, don't you?....My home is yours.

Masharti na vigezo kuzingatiwa.
 
They say "Love is blind" lakini usemi huu kwa hali halisi ya siku hizi sikubaliani nao kabisa sababu kila kitu siku hizi u get to know sooner than later watu siku hizi wamekosa uvumilivu na kuanza kusingizia vitu chungu nzima
 
Back
Top Bottom