Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,299
- 13,334
Ya kweli hayo chief mbona inaumaFM Academia pale La Chaaz wamemuimbia juzi mteja mmoja tu, wimbo wa happy birthday Hadi huruma.
Ya kweli hayo chief mbona inaumaFM Academia pale La Chaaz wamemuimbia juzi mteja mmoja tu, wimbo wa happy birthday Hadi huruma.
Ngumu sana kuwakosti.Aise, hawajamaa hawaheshimu privacy ya mtu kabisa. Ipo siku itakuja wacost.
Lachaaz wameshusha bei za vinywaji ila bado pamedoda.Wamesaidia kupunguza nyodo za boardroom. Lachaz sijui atafufuka?
AiseeKuna vitu huwa wanaweka pale mlangoni pa kuingia ndani binafsi nimeshuhudia wakifanya hivyo.
Hizo bar ni ushirikina mtupu
Kipande kile mapung wengi wamefunguliwa maduka na wamepewa vicrown mzeeebana eeee yan madem walivyo wazuri kuna wadau wanafata mapunga ...ama kweli zama zimebadilika
Hapo Catalunya Kuna mtu kafungua upya anapaita Darmarn ReustaurantCalabash, 5N, Catalunya, Mawasiliano park pameshadoda
Joy Es Lava pametulia sana.. nmekaa sana palenenda Joy ES Lava Goba kwenda Madale huko nako balaa kubwa
Juzi kati nilikuwa naangalia TV niliona huyo mzee wa kitambaa cheupe King kikii anahojiwa na Chacha Maginga yupo kwenye wheelchair nyumban kwake he is serious ill kwa kweli. Na alikuwa anaomba msaada kwa watanzania wamsaidie.Labda ndio kafara, ametolewa kafara na binti yake biashara zinoge
Noma sana!Huyo jesca mtoto wa king kiki sijui anatumia uchawi wa wapi? pale tabata majitu yanakosa nafasi yanakaa kwenye gari yanalilia wahudumu wawapelekee beer hukohuko wakati ukisogea the great pale hakuna wateja kabisa
nahisi back up kubwa yake ni mashoga ukweli ni kwamba siku hizi mashoga yana soko kubwa sana wadau wengi wanayafata
Hata kwao sikuhizi interest haipo sana kama awaliNight clubs ni za watoto na wanachuo ambao hela zao za msimu
Huyo Mwanamke wa kulia hapo ni Mmama wa kichaga namfahamu. Ni mshamba
Yaani kufunga ndoa ni bahati mbaya? Au kwasababu hakufunga ndoa naweweHyo Cha mtoto nenda Kitambaa Waiti Ya Tabata(Zamani maeda bar) utafurahi na Roho Yako.
.
Mmiliki anaitwa Jane Kikumbi, Mkinga Mmoja pisi Kali mnoo Ila bahati Mbaya amefunga Ndoa Mwaka Jana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ntakushangaa sana kama ulitumia condomLa Chaz nimekula shangazi weekend hii
Nimekuelewa sana. Wabongo wana huu ushambaSababu bongo tunaamini ukilewa au kunywa bia nyingi ndio starehe imeshika mahali pake. Hatuna vyanzo vingi vya kufurahia
Kila mmoja anastarehe yake(leasure)as long as nafsi yako imekunjuka na kussuzika umemwagilia moyo taka zote zimetoka..Nimekuelewa sana. Wabongo wana huu ushamba
Huwezi kuta Mbongo above 35 anakuambia starehe yake ni Rally, walking in new places, Tourism, Playing golf, Tennis, Swimming etc
Kunywa bia/pombe nyingi ndio starehe kuu pekee ya Wabongo