Utajua ujui
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 268
- 899
- Thread starter
- #61
Atakuwa anakucheat aiseeMke wangu nimeishi nae for 5yrs sikuwahi kushika simu yake kabisa,kuna Sikh alikuwa nje simu kaacha ndani nikafunga mlango wa chumba kisha nikachukua simu yake -sijui ni machale yalimcheza vile naanza kuishika tunnikasikia MTU anahangaika kufungua mlango.
Bahati mbaya password nikikuwa siijui sasa nikawa nabuni buni miaka ya watoto kuzaliwa au mwaka wake wa kuzaliwa.Hui muda niliokuwa natumia alitoka nje na jiwe kubwa akavunja mlango-siku hiyo ndio niliona Mke wangu ananguvu.
Mimi bila iana, alipovilunja tu mlango nikaona hapa isije kuwa ugomvi nikamkabidhi simu yake.tokea siku hiyo nilianza kuwasha indicators juu yake,MTU hadi anaamua kuvunja mlango lazima kuna madudu tu.