Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,273
- 96,421
Ndio aichunguze at her own risk....Madudu gani zaidi ya uzinzi?hakuna kingine cha ajabu apo zaidi ni mna magroup yenu ya hovyo uchafu na ufuska
Labda kama umeaua mtu sioni cha ajabu kipya
Ndio aichunguze at her own risk....Madudu gani zaidi ya uzinzi?hakuna kingine cha ajabu apo zaidi ni mna magroup yenu ya hovyo uchafu na ufuska
Labda kama umeaua mtu sioni cha ajabu kipya
Na akiichunguza tu- interview inaanza mpaka saa 9 usiku halafu saa moja unakiwa kujiandaa kwenda kazini...Ndio aichunguze at her own risk....
Ni kweli usemayo though mwanamke huwa ana sixth sense flani, mpaka akujudge ujue lipo hata kama mume amefuta texts and all that.Waweza kutaka 'ku prove' Kwa kagua simu ila tahadhari kuna mambo haya mawili;
1. Ukikagau na ukakosa ushahidi wa kumkuta na hatia na akagundua umekagua basi hatia itakuja kwako kwa kugagua maana ni ishara ya kwamba humuamini ama unamtafutia sababu, kibaya zaidi sababu yenyewe hujaipata, inaweza kula kwako.
2. Ukikagau uwe tayari umejiandaa kisaikolojia kufanya maamuzi ama kukubali maamuzi, waweza kumkuta anachepuka ukashindwa kumiacha, ama hachepuki na akakuacha sababu humuamini ama ukampa sababu ya kukuacha (alikuwa anaitafuta)
Mwanamke anayekufanyia hivyo ujue anakupendaMkuu mimi mke wangu alichukuaga simu yangu usiku me nimelewa nimezima kumbe anaijua pin akatoa lock akaanza kuchukua marina ya kike anawapigia usiku sana na kuwatumia meseji me asubuhi napewa malalamiko wengine maafisa wananiambia we umeanza kuchanganyikiwa siku hizi ukilewa..ilikuwa ni aibu.nilimpiga mwanamke ndo ikawa kisa cha kuachana...mwanamke usije kumpa simu yako hawanaga akili mkuu.change password mara kwa mara
Mwanamke anayekufanyia hivyo ujue anakupenda
Binafsi pressure haiwezi kupanda lakini nakumbuka nishawahi soma text za beibe nikiwa kitandani..tumbo likaunguruma wee ikabidi niende kusomea chooni.Wanataka pressure kupanda
Kwenye ndoa- ugomvi mwingi mkubwa Mara nyingi husababishwa Na simu. Ukiweza kudhibiti hizi habari za simu - ndoa utaifurahia ...Wanataka pressure kupanda
Umenikumbusha jambo- mshikaji wangu kila akitaka kuchepuka lazima tumbo limsokote Kwa kuogopa interview... haya mambo ya interview za akina mama hadi saa 9 usiku-yasikie tu Kwa jirani..Binafsi pressure haiwezi kupanda lakini nakumbuka nishawahi soma text za beibe nikiwa kitandani..tumbo likaunguruma wee ikabidi niende kusomea chooni.
Ujumbe ulikuwa mzito mpaka nikasindikizwa na kuharisha.
😂 😂 mimi sikumuuliza nilitoa tu silent treatment huku naendelea kupekua for months.Umenikumbusha jambo- mshikaji wangu kila akitaka kuchepuka lazima tumbo limsokote Kwa kuogopa interview... haya mambo ya interview za akina mama hadi saa 9 usiku-yasikie tu Kwa jirani..
Kwamba huyo mwanamke ni mjinga mpaka akachagua kizibo au kwamba uwepo wa huyo mwanamke ndio unafanya nini cha ziada kwa mwanaume. Aisee msipende kujipa umuhimu hivyo kwenye maisha ya mwanaume, nyie ni binadamu kama binadamu wengine tu.Shida ni akili ya huyo mwanamume
Ili mwanamke awe submissive inategemea na aina ya mwanamume
Hivyo hii scenario yako haiwezi kutumiwa kwa wanaume wote
Kuna baadhi ya wanaume ni muhimu kuwapekua otherwise familia nzima tutakula hasara
Solution:wanawake wawe makini na aina ya wanaume wanaochagua kuwa chini yao,mwanaume kizibo ukakubali kuwa chini yake walahi utaambulia mabua!!
Kwamba kila mwanaume unafikiri kulala na kila mwanamke ndio hulka yake. Aisee, nyie mkiendelea na maisha yenu mkiwa na privacy basi tuacheni na sisi. Mnataka vyote kwapupa mwishowe hukosa yote. Mindset ya kwamba unafikiri mwanaume akitaka privacy yake ni kuwa ni mzinzi basi ujue ndivyo ufanyavyo wewe. Nyie si mama zetu ni wake tu, nothing more, sielewi kwanini mnajipa nafasi kubwa maishani mwetu hivyo.Madudu gani zaidi ya uzinzi?hakuna kingine cha ajabu apo zaidi ni mna magroup yenu ya hovyo uchafu na ufuska
Labda kama umeaua mtu sioni cha ajabu kipya
Hiyo sixth sense siokweli, intuition kila binadamu anayo. Hakuna ambaye hana ila zinabase on feelings kuliko logic ndio maana huona mwanaume asiitendee kazi maana ni kutokujiamini tu. Alichonacho mwanamke ambacho mwanaume hana huko kichwani ni mother instincts tu.Ni kweli usemayo though mwanamke huwa ana sixth sense flani, mpaka akujudge ujue lipo hata kama mume amefuta texts and all that.
Mwanaume siku zote haongozwi na feelings kama wanawake so huwezi kutendea kazi kitu ambacho hujadevelopHiyo sixth sense siokweli, intuition kila binadamu anayo. Hakuna ambaye hana ila zinabase on feelings kuliko logic ndio maana huona mwanaume asiitendee kazi maana ni kutokujiamini tu. Alichonacho mwanamke ambacho mwanaume hana huko kichwani ni mother instincts
Kuna jambo kubwa sana unashindwa kulielewa Jombaa. Nimesoma maoni ya S.M.P2503 ameandika vitu vya msingi sana.Dah. Mkuu, naona simu yako ina mambo mengi. Halafu nilichogundua unamchukulia wife wako kama housegirl flani hivi. Mkeo anayezijua siri zako ukiwa uchi, ukamuwekee siri namba ya mteja asiyemfahamu? Anyway, deal with your burden
Hiyo interview labda afanye na K Vant. Sasasana atakuwa anajibu maswali magumu ya kunishawishi kwa kina ni nini kilimuwasha mpaka akashika simu yangu, mali yangu binafsi niliyoisajili rasmi kwa ajili yangu.... Na chochote kitakachotokea kwenye simu hiyo ninawajibika kujibu mimi peke yangu....Na akiichunguza tu- interview inaanza mpaka saa 9 usiku halafu saa moja unakiwa kujiandaa kwenda kazini...
Kwamba huyo mwanamke ni mjinga mpaka akachagua kizibo au kwamba uwepo wa huyo mwanamke ndio unafanya nini cha ziada kwa mwanaume. Aisee msipende kujipa umuhimu hivyo kwenye maisha ya mwanaume, nyie ni binadamu kama binadamu wengine tu.