walikuyu
JF-Expert Member
- Jul 27, 2018
- 960
- 2,055
Kushika simu ya mke/mume ni kosa kubwa sana ndio chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika kila mtu abaki na simu yake kingine simu ya mkononi ni mali ya mtu mmoja sio ya kikundi ili ndoa au mahusiano yenu mnataka yadumu basi kila mtu abaki na simu yake kinyume na hapo mahusiano lazm yavunjike
