Mke wangu ni mke wangu na yeye ana profession yake inayohitaji data protection. Akiivunja data protection ni jela si chini ya miaka 5 kwa nchi hapa tulipo. Sijui ni kwa nini hili jambo la data protection wengi munalichukulia kirahisi na poa Kwa mfano, breaches of personal date breach (kwa nchi kama UK - Commonwealth) must be reported to authorities within 72 hours :
Personal data breaches
Data breaches haina uhusiano na nani kavua chupi au ana mkunyenge mrefu wala kujua kichuma mboga style.
Failure to report data breach for companies kwa mfano- soma hapa ujue wenzetu wanafanyaje, sio mambo ya gf na bf, hayo ni mambo ya chumbani: Failing to notify a breach when required to do so can result in a significant fine up to
£8.7m or 2 per cent of your global turnover.
Halafu wewe unasema ni mkeo lazima ajue siri za mteja wako... uta-deal na burden yako... akili zako changanya na za kuambiwa siku ukifika nchi za watu. Katika mambo ya kazi hakuna mume wala mke, hata company ina legal personality when it comes to collecting, storing, processing and accessing data. Usipo handle hizo data vizuri na zikaangukia kwa mtu ambaye hahusiki kuzijua, hiyo faini ya £ 8.7 Million inakuhusu. Sasa ona wenzetu walivyo serious na mambo ya data. Huwezi mwambia padri awawe taarifa za nini umwemwambia ktk chumba cha maungamo... na hata akipewa mtutu wa bunduki - padri hasemi- hii ndio seriousness inayohitajika katika ku- handle PII- Personal identifiable information. Sio kumwachia wife au mchepo aangalie kilicho kwenye simu- haikubariki. Usije sema hukujua umuhimu wa collecting, storing, processing and accessing data, au labda ni ligi tu kunogesha maoni humu JF. Binafsi nalipwa kwa kuangalia ni wapi data breach imefanyika ili coorporate clients walipe. Ndio kazi yangu humu Duniani inayonipa mkate wa kila siku kwa zaidi ya miaka 20