Kwamba kila mwanaume unafikiri kulala na kila mwanamke ndio hulka yake. Aisee, nyie mkiendelea na maisha yenu mkiwa na privacy basi tuacheni na sisi. Mnataka vyote kwapupa mwishowe hukosa yote. Mindset ya kwamba unafikiri mwanaume akitaka privacy yake ni kuwa ni mzinzi basi ujue ndivyo ufanyavyo wewe. Nyie si mama zetu ni wake tu, nothing more, sielewi kwanini mnajipa nafasi kubwa maishani mwetu hivyo.
Sio kila mwanaume ana hulka ya uzinzi,mume wangu hana hio hulka,lakini haiwezekani upiganie privacy kwa nguvu hivyo lazima kuna walakini,privacy ni haki ya kila mtu ila ukiona mtu anatoa vitisho vikali ujue ni madudu
Mfano mimi sishiki simu ya mume wangu na yeye pia hashiki,nikihitaji kitu kwenye simu yake mfano calculator nk akaanza kunipa kwa masharti hapo kuna tatizo sehemu.
Huko mwishoni kwa ulivyo jibu inaonesha either mkeo hajakuonesha thamani yake kwako au ni wewe hujui thamani ya mke kwako au hujapata mke sahihi.
Mimi mume wangu ni hadi kifo kitutenganishe,katika hali zote nimepita nae na sijawahi kumkimbia,ninayo nafasi kubwa sana kwenye maisha yake na anatambua,hivyo hivyo yeye pia ana nafasi kubwa sana kwenye maisha yangu.
