Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,944
Amani iwe nanyi wapendwa katika bwana,
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Katika vitu ambavyo huwa vinaniacha mdomo wazi ni hawa wapenzi washamba yaani huwa sielewi sijui huwa wakoje tu yaani.
Ukivaa tu kofia yeye kwake kero, ukichat tu na simu yeye anajua wewe ni malaya, usiongee na simu hata dakika tano tiari yeye ashajua ulikuwa unaongea na mwanamke, usiongee kiswahili alafu uchanganye na kingereza ukifanya tu hivyo tiari kwake yeye ni kero.
Kuna msichana wangu mmoja hivi yaani hata kuvaa tu jinsi kwake ni kero anataka eti niwe navaa manguo ya vitambaa na ukicheki mimi mwenyewe sina suruali ya kitambaa hata moja.
Nyie wenye wapenzi washamba mna moyo sana endeleeni na wapenzi wenu
maana msichana mshamba hata kuingia uvinza huwezi, maana ukifanya hivyo atakuona wewe ni mhuni sana.
NANYUPU
LONDON BABY
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Katika vitu ambavyo huwa vinaniacha mdomo wazi ni hawa wapenzi washamba yaani huwa sielewi sijui huwa wakoje tu yaani.
Ukivaa tu kofia yeye kwake kero, ukichat tu na simu yeye anajua wewe ni malaya, usiongee na simu hata dakika tano tiari yeye ashajua ulikuwa unaongea na mwanamke, usiongee kiswahili alafu uchanganye na kingereza ukifanya tu hivyo tiari kwake yeye ni kero.
Kuna msichana wangu mmoja hivi yaani hata kuvaa tu jinsi kwake ni kero anataka eti niwe navaa manguo ya vitambaa na ukicheki mimi mwenyewe sina suruali ya kitambaa hata moja.
Nyie wenye wapenzi washamba mna moyo sana endeleeni na wapenzi wenu
maana msichana mshamba hata kuingia uvinza huwezi, maana ukifanya hivyo atakuona wewe ni mhuni sana.
NANYUPU
LONDON BABY