Umenena vyema mkuu hata ukiambiwa kikupe chuchu unyonye kinazinguaMkuu ahana naye huyo sio wa type yako atakusumbua. Kwa kweli madem wa aina hiyo siri wanaboa mno. Videm kama hicho cha kwako hata wakati unakimega ukikikunja kidogo tu kinakuona mhun. Na wakati mkiwa faraghani utakikuta eti kinang'ang'ania kuvaa nguo badala ya kujiachia. Hadi hamu ya kumega tunda la katikati inapotea kabisa. Na bahati mbaya videmu kama hivyo havionyeshi majonjo ndanj ya 6×6....lakini kikikutana na mhuni mmoja wa mtaani anakiinamisha vilivyo! Ni shiiiiida kweli kweli.
Huyu si ndie waliyemshangaa huko Dar aliponunua bando la elfu 50 wakati huo alikuwa na milioni tatu mfukoni, halafu akaenda kunywa chai na chapati kadhaa na yenyewe eti watu wa Dar wakawa wanamshangaa, ahahahhahah, JF basi tu!!!Watu wa mikoani story zenu bwana
maana demu mshamba hata kumlamba jicho huwez
hivi ni wa mikoani eeeeh maana nayo hii imejaa ushamba tuWatu wa mikoani story zenu bwana
Mara oh baba kanituma dar kumbe bado kula kulala huko mkoani