Inadaiwa hizi video ni za wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 2020

Unafikiri basi hizo ni siri, huo ni ubabe makusudi kwamba tunafanya hivi na hamtufanyi lolote wala kushtaki popote...
yaani CCM waiogope CHADEMA kabisa? wazee wa kupiga domo mitandaoni huku upo nyuma ya keyboard ume activate premiun vpn...
Kama Zanzibar Seif alifanyiwa kiini macho mpaka US ikaingilia na haikusaidia kitu, ndugu zangu siasa hazitowasaidia chochote, mmekwisha kwenda kushtaki hadi kwa mabeberu lakini hakuna matokeo yeyote... huwa naamini kwamba hii nchi wananchi ndio wataamua nchi iende kulia ama kushoto, hii nchi nyie CHADEMA hamtofanya lolote, zaidi bungeni mmetolewa almost wote, mmebaki kulia tu twitter na mitandaoni...
Hili taifa ni wananchi ndio watakuwa na mustakabali taifa liende wapi, tamaa zenu za fisi kumkaribisha Lowassa, wananchi wakaona hamueleweki kama sigara nyota...
CHADEMA mmekwisha, Mbowe mungu amsaidie ashinde hio kesi, yaani mmekwisha ndugu zangu hamna jipya..., mwenzenu mzee Slaa anakula huko mema ya nchi..., yule dada enu Mdee kawageuka chap..
uzuri mie sipo CCM wala CHADEMA, mie nawapa tu ukweli mchungu...
Kampeni zenu zenyewe watu walikuwa wana stream youtube na hamkufanya lolote, hakuna hata TV moja ilikuwa inaonyesha kampeni zenu, lakini wadau mmekomaa tu,katibaaaa!!!! katibaaaa!!!, tunaibiwaaa, tunaibiwaaaa, tunaibiwaaa, kila siku nyimbo ni zile zile...

Nyie komaeni tu muendelee kufukuzia hizo ruzuku, mpate hata pesa za kuweka mafuta kwenye gari... niipofika hapa niendelee tu mishe zangu hizi siasa wengine wanafanya kama hobby lakini sio userious wa kuleta mabadiliko ya kweli...

nakaribisha matusi...
Mnafiki tu wewe!
 
Na laana ya Mungu ikamtandika mwizi mkuu. Usipotenda haki adhabu ya Mungu ni Kali Sana.
 
Neno 'huwa' linatumika katika wakati uliopo wa mazoea (simple present tense) kumaanisha kwamba tendo fulani limekuwa likijirudia mara kwa mara. Let's come to the point, "wapinzani huwa wanakodisha wagombea" hivi ni mara ngapi wapinzani wamewahi kusimika wagombea waliohamia kutoka upande wa pili? Mimi kumbukumbu zangu zinaniambia kuwa mgombea pekee wa kiti cha urais aliyekodiwa upande wa Chadema ni Edward Lowasa pekee huku Bernad Membe akijaribu kuingia kwenye kinyang'anyiro mnamo mwaka 2020 kupitia ACT, sina kumbukumbu ya hao wengine wengi ambao wamekuwa wakikodiwa kila ufikapo muda wa uchaguzi
 
CHADEMA wanaweza sana kuzuia uchaguzi wowote wa nchi hii kufanyika. Ni swala la kujipanga tu na kutimiza mipango hiyo kwa ufanisi mkubwa.
Sidhani kama wanaweza...labda ofisi ya msajili ifutwe.
 
Wazalendo wameanza kuachia hadharani mambo machafu yaliyotendwa kwenye kile kilichoitwa uchaguzi mkuu wa 2020 .

Toleo la sasa ni video inayoonyesha wizi wa kishamba sana wa kura ulivyofanyika , tena chini ya watu walioaminiwa kulinda usalama .

Hebu jionee mwenyewe.

View attachment 1964679

Majina ya Wahusika wote yamepatikana , ila yanahifadhiwa kwa muda kwa sababu za kibinadamu
Acha uongo wewe. Unajua siyo kweli ndiyo maana unajidaii kutumia neno "inadaiwa"
 
Wazalendo wameanza kuachia hadharani mambo machafu yaliyotendwa kwenye kile kilichoitwa uchaguzi mkuu wa 2020 .

Toleo la sasa ni video inayoonyesha wizi wa kishamba sana wa kura ulivyofanyika , tena chini ya watu walioaminiwa kulinda usalama .

Hebu jionee mwenyewe.

View attachment 1964679

Majina ya Wahusika wote yamepatikana , ila yanahifadhiwa kwa muda kwa sababu za kibinadamu
Unajua kabisa hiyo clip siyo ya Tanzania na umeitoa kule facebook lakini unaiweka hapa kujifurahisha . Acha hizo siasa za kitoto
 
Ni upumbavu kutaka tuamini hilo kama ni kweli,
Kama mtu unaiba kisha unajichukua video, sasa huo ni wizi gani?
Hiyo picha inadhibitisha vipi kuwa ni ya uchaguzi na ilipigwa kabla ya kuhesabu au baada ya kuhesabu.
Au mnataka tujadili vitu ambavyo ahavina tija na ni vya umbea.
Wee unawasikliiza nyumba .unapata wap mda wa kujadiliana nao
 
Vyama pinzani haviwezi shinda sababu havina mtaji tuu basi, hizo zingine ni blah blah



Hakuna mfumo unaoweza kuishinda nguvu ya umma. Tuseme ukweli tuu kwamba wapinzani hawana msingi, maono wala ushawishi
Huo ni mtazamo wako. Hakuna chama kilichoanzishwa kikose msingi, maono na ushawishi. Sijui unaishi nchi ya "Kusadikika" ambako huwenda uliyoandika hapa yana ukweli pasi na shaka

Lakini kama unaishi katika nchi Hui labda were unanufaika na mfumo uliopo. Nakubaliana na wewe kwamba nguvu ya umma huwa na "impact" kubwa sana katika mabadiliko ya hapa na pale duniani. Tumeshuhudia hilo. Lakini pia tumeshuhudia hapa hapa nchini wananchi mbalimbali wakijaribu kufanya mabadiliko ya hapa na pale. Lakini kutokana na udhibiti mkubwa wa vyombo vya dola na mabavu yake ndio maana hiyo nguvu ya umma unayoidai inaonekana kama "tone dogo la maji katika bahari."

Inawezekana huko mbeleni mabadiliko yakawepo labda mimi na wewe tutayashuhudia au tutakuwa hatupo duniani. Lakini kwa sasa nikiri tu na ndivyo ilivyo, mifumo mbalimbali iliyojengwa nchi hii kamwe na kamwe haiwezi kuleta ushindani sawa kwa vyama vyote. Hata wewe hilo unalijua na sio kukosa msimamo, ushawishi au kitu kingine chochote. Kama ni mtaji wa watu wanao
 
Wazalendo wameanza kuachia hadharani mambo machafu yaliyotendwa kwenye kile kilichoitwa uchaguzi mkuu wa 2020 .

Toleo la sasa ni video inayoonyesha wizi wa kishamba sana wa kura ulivyofanyika , tena chini ya watu walioaminiwa kulinda usalama .

Hebu jionee mwenyewe.

View attachment 1964679

Majina ya Wahusika wote yamepatikana , ila yanahifadhiwa kwa muda kwa sababu za kibinadamu
hapa kwanini magufuli asife? Mwenyezi Mungu hataniwi, aliiba kura sana kuwaweka watu wake sasa yupo wapi? tuna lakujifunza jamani tuishi kwa mujibu wa sheria tulizojiwekea wenyewe, kamwe hamana aliye juu ya sheria.
 
Wazalendo wameanza kuachia hadharani mambo machafu yaliyotendwa kwenye kile kilichoitwa uchaguzi mkuu wa 2020 .

Toleo la sasa ni video inayoonyesha wizi wa kishamba sana wa kura ulivyofanyika , tena chini ya watu walioaminiwa kulinda usalama .

Hebu jionee mwenyewe.

View attachment 1964679

Majina ya Wahusika wote yamepatikana , ila yanahifadhiwa kwa muda kwa sababu za kibinadamu
kazi iendelee
 
Sisi tuliomba kwa Mungu atuaibishie wote watakaovuruga uchaguzi mkuu hakika alisikia maombi yetu
 
Nchi hii tumepitia kipindi kigumu Sana. Waliofanya haya wakatubu Sasa hata wakifa basi Mungu awe amewasamehe.

Kuna watu wako kwenye ofisi wasizostahili sababu ya huu uhuni. Unapofanya haya jua tu unawakomoa pia na Ndugu zako ambao wataongozwa na watu wasiostahili.

Sababu ya vihela vichache unaendekeza njaa zako na kuharibu tukio kubwa (uchaguzi) kama hili, hivi unajua ni gharama kiasi gani zimetumika kuandaa hili tukio? Unajua ni muda gani watu wameupoteza mpaka unakuja kuwaharibia maamuzi yao?

Hivi wanajua kua ushenzi huu unachelewesha demokrasia Kwa miaka kama mitano na pengine ikawa zaidi? Wanajua kua Demokrasia ni sehemu ya Maendeleo?

Ni Maji ya Bendera ya Aina gani uliyokunywa kiasi akili yako imekua mgando na kuwaza kua ni wale tu ndio wanastahili kukaa pale? Nini kikufanye uamini kua wengine hawastahili? Na kama mawazo yako wewe mmoja yanaamini wengine hawastahili, kwanini usiache basi uamuzi wa "Wengi Wape" uamue nani akae hapo? Kwanini utake yule unaemuona wewe kua anafaa ndo awe anafaa na Kwa wengine hata kama sio ridhaa yao?

 
Back
Top Bottom