Amegoma kula wali eti ni "fyakula fya ndege" imebidi tutafute unga wa mtama na maziwa mtindi ndo kidogo katulia, ukimuuliza hapo vipi anasema "doho tabu"
laiti ungejua tumeshafunga njia zote za mawasiliano, njia za maji, njia za hewa, pamoja na njia za reli
imekula kwako na jinalo liko kwenye list nmecheki mtandaoni hapa unabisha!! sema Slave !!!!!
Nilipeleka ombi kwa Baba V naona kakalia tangazo langu sijui anamaanisha nini. Wewe ndiye malkia wangu usiwasikilize wanafiki wasiopenda mimi kuwa na wewe
Nilipeleka ombi kwa Baba V naona kakalia tangazo langu sijui anamaanisha nini. Wewe ndiye malkia wangu usiwasikilize wanafiki wasiopenda mimi kuwa na wewe