In Dar with @slave ......

oops!! Wantania weye nimetonywa na nitonye kumbe umesafisha nyumbani kwako tu kule inteneshino eapoti ila vigogo umetugwaya chezeiya vigogo weye ingetafuna pande yako.
laiti ungejua tumeshafunga njia zote za mawasiliano, njia za maji, njia za hewa, pamoja na njia za reli
imekula kwako na jinalo liko kwenye list nmecheki mtandaoni hapa unabisha!! sema Slave !!!!!
 
Last edited by a moderator:
stock yote ya magunia pamoja na kete 20 na misokoto 32 imeteketezwa na jeshi la mafisango
Kama hajambo au ana jambo wewe inakuhusu nini!....?? Hivi umebakiza kete ngapi kumaliza mzigo iliurudi tena Hong kong....!!??
 
mbona hujapeleka maombi ya ndoa wala kutangaza ndoa naona kama hakuna future nitonye

Nilipeleka ombi kwa Baba V naona kakalia tangazo langu sijui anamaanisha nini. Wewe ndiye malkia wangu usiwasikilize wanafiki wasiopenda mimi kuwa na wewe
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…