Easymutant
R I P
- Jun 3, 2010
- 2,564
- 1,135
mbona magari huwa mayachomi au hasira zinaapply kwenye baadhi ya vitu? au hata cash ulokwisha chukua mbona hamrudishi? kapete tu ndo kanasababisha hasira? au ukute umevaa Gauni alokununulia na situation ikakukuta uko kariakoo mbona hamvui?Sio rahisi kuwaza hayo ukiwa Na hasira!