In case uchumba unavunjika

In case uchumba unavunjika

Sio rahisi kuwaza hayo ukiwa Na hasira!
mbona magari huwa mayachomi au hasira zinaapply kwenye baadhi ya vitu? au hata cash ulokwisha chukua mbona hamrudishi? kapete tu ndo kanasababisha hasira? au ukute umevaa Gauni alokununulia na situation ikakukuta uko kariakoo mbona hamvui?
 
  • Thanks
Reactions: kui
Aidai kwana yake tena alinipa na sio yake tena ni mali yangu coz ilikua katika vidole vyangu na sio vyake, kuniacha tuachane, kunioa asinioe pete nayo nimpe hahahah litakuwa kipoza roho changu nikipiga bei

Lol!, Kweli mkuu
 
Kwani washaamua katiba iweje....lol!

Wamepitisha..kuna kipengele kinasena nyie mnaovalishwa pete halaf mnakaa miaka 2 bila ndoa mnatakiwa mdai mgawanywo wa mali
 
  • Thanks
Reactions: kui
Pete simrudishii na kidoleni kwangu hatoiona!!!
 
  • Thanks
Reactions: kui
mapenzi ya kudai ni yakizamani..tulikuwa tunadai hadi picha

...nataka picha zanguu!,.....hahaaaaaaaaaa!
Kweli mkuu kama ulitoa za ndani?!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Rule #1 . Never break your bank for an engagement ring. Wal-Mart and KMart have very nice rings for reasonably affordable prices.

Rule #2 . In case you do break your bank to get it, when the engagement is broken off, you take back the ring and flush it down the toilet.

:rockon::rockon:
 
...nataka picha zanguu!,.....hahaaaaaaaaaa!
Kweli mkuu kama ulitoa za ndani?!

If I demand it back and actually get it back, whatchu gon' do about it?

Sue me for replevin?
 
Inategemea, baadhi ya wanaume hudai pete zao na wengine huamua kusahau. Mambo ya kudai vitu mlivyopeana ni mambo ya kishenzi.




Akini pigs chini au akicheat namdai lakini nikimpiga chini au kumcheat simdai.
 
Last edited by a moderator:
Wamepitisha..kuna kipengele kinasena nyie mnaovalishwa pete halaf mnakaa miaka 2 bila ndoa mnatakiwa mdai mgawanywo wa mali

Mgawanyo wa mali muhimu, mkuu some parts of the word mkikaa pamoja for at least 6 months mnahesabiana haki sawa ktk mali
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Achana navyo, poteza kuku na mayai yake......Utapata vingine kwa ajili ya mwingine, mapenzi mbio za vijiti wala hakuna haja ya kuumiza vichwa
 
  • Thanks
Reactions: kui
mi niliitupa chooni na barua ya posa ckutaka kuviona kabisa


Uchumba unavikwa pete mpaka inaishia kwa sonara kila mara kusafishwa bila ndoa ni kazi.

Dawa ya engagement ni siku mbili kabla ya ndoa kwisha habari yake. Hakuna cha kutupa chooni period.
 
Mi natengeneza heren bana ye kama tumeshindana mi Pete sirudish iyo ni yangu kama ni dhahabu nayeyusha kiulain
 
Mbona wao pia wanadai mgawanyo wa mali japo wamezikuta?

Mali hizo huwa sio zawadi kama pete, kuna mambo matatu huwa yakifanyika pete haidaiwi.

1. kutoa zawadi

2. Nia ya utoaji

3. Kupokelewa kwa zawadi

haya yakiwepo tu, hata aku cheat huna mandate ya kudai.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom