ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
nipe tender ya kukuplania sendoff yako iweje hiyo siku ikifika bestito sawaaa?
sio cku nyingi
sio cku nyingi
Hapana lazima uchukue pete yako mimi ilitokea alinisaliti mbona nilichukua pete yangu,fikiria unafunga harusi na mtu mwingine halafu kwa nia ya kukuharibia akaja na kusema wewe ni mchumba wake na ushahidi ni pete yako si ataharibu sana.Hivyo uchumba ukivunjika chukua pete yako over
hahahaaa muachie tu jamani, si wanasema kiendacho kwa mganga hakirudiMimi naichukua na kuiuza....
Mie naipiga bei tu
mi niliitupa chooni na barua ya posa ckutaka kuviona kabisa
Nope..it will be her souvenir ..a symbol of what could have been...
me niliiuza huku machozi yananitoka
Damn sitaki kukumbuka that moment,duh
Hasara tupu! Ungeuza na kupeleka hizo pesa kama zilivyo kwa watu wasiojiweza na lolote vituo vya yatima vipo kibao..
Nini Pete,
Ukinikoroga nakudai hadi Mapene ya Vocha nilizokutumia-Na utatoa tu.
me niliiuza huku machozi yananitoka
Damn sitaki kukumbuka that moment,duh
Akiidai?
sichukui chochote toka kwa mwanamke mapenzi yanapokoma!hata akirudisha sipokei..atatafuta pa kuvitupa
hii mbaya, wengine washaisemea maneno yao hivyo utampa mtu kisichomhusumi nilinyanganywa akapewa mwingine
Ahsante sana Mkuu. Wanaume wenye msimamo kama wako ni nadra sana kuwapata katika dunia ya leo. Yaani mazuri yote unayasahau na kuamua kujenga uadui na hivyo kudai kila kilicho chako duh!!!
mapenzi ya kudai ni yakizamani..tulikuwa tunadai hadi picha