aliyekuwa Makamu Wa Bot Ndiye Gavana Sasa Hivi.
Kwa Mujibu Wa Ripoti..hata Yeye Ni Muhusika Wa Epa!
Ila Wote Sasa Tunajua Style Ya Rais Ya Kuchanganya Wabaya Na Wema Ili Kuua Soo!
Mung'ong'o Ni Safi Na Apewe Hayo Majukumu Na Nina Uhakika Ataya Handle Bila Wasi Wasi Wala Woga!
we Kuwa Bored Na Utake Time!
Kuna Thread Ya Zitto Na Zimbabwe We Nenda Katoe Maoni Huko!
Hapa Ni Maoni Ya Mustakabali Wa Taifa!
Ndulu Ni Fisadi...na Wewe Unataka Aendelee Kuwa Bot Gov?
Forces Of Evil Mlishashindwa Loong Time!
Mung'ong'o Ana Uwezo Wa Kuingoza Bot!
Kama Si Yeye...basi Pia Si Ndullu...taja Wako!
Ama Kaombe Ushauri Kwa Mkapa...atawatafutia Mwingine Kutoka Imf..na Kikwete Atamteua Makamu Wake Baada Ya Ujambazi Mwingine!
Hakuna Tena Kuchanganya Majambazi Kwenye Taasisi Zetu Muhimu Za Kifedha!
Rais Kuwarudisha Mafisadi Kwenye Uongozi Ni Uonevu Kwa Wale Wenye Nia Njema Waliomo Ndani!
kama Hujui Kama Alikuwa Kimya Au La, Kwa Nini Upendekeze Mtu Ambaye Humjui? Je Uchukuliwe Nawewe Kuwa Ni Fisadi Kwa Kuleta Jamvini Watu Ambao Huna Uhakika Nao?
Mushi Nilikua Nakutetea Nikiona Ukionewa But Nakubali Una Matatizo..fanya Utafiti Wangu..ama La Basi Na Mie Nianze Kuandika Ilimradi Nifikishe 2,000 Hapa Nipewe Hongera.
Ndulu Atakua Vipi Fisadi Wakati Kaondoka Nchini Tangu 1987 Na Karudi Juzi Alivyoitwa Kupewa U Gavana? Embu Apologize Basi Kwa Kutudanganya Mzee..kwa Bahati Ninamjua Huyu Mzee Tangu Utotoni Na I Know When Aliondoka Na Hadi Juzi Anaondoka Virginia Desemba 2007 Kurudi Kimoja Tanzania. Na Kama Ana Pesa Ni Kwa Ajili Ya Kufanya Katika Taasisi Za Maana Kama World Bank Na He Is A Respected Fella Kwenye Circles Za Washington Hapo Capital Dc.
Shukuru Una Gavana Smart Ambae Sio Mpenda Makuu..
Mushi Nilikua Nakutetea Nikiona Ukionewa But Nakubali Una Matatizo..fanya Utafiti Wangu..ama La Basi Na Mie Nianze Kuandika Ilimradi Nifikishe 2,000 Hapa Nipewe Hongera.
Ndulu Atakua Vipi Fisadi Wakati Kaondoka Nchini Tangu 1987 Na Karudi Juzi Alivyoitwa Kupewa U Gavana? Embu Apologize Basi Kwa Kutudanganya Mzee..kwa Bahati Ninamjua Huyu Mzee Tangu Utotoni Na I Know When Aliondoka Na Hadi Juzi Anaondoka Virginia Desemba 2007 Kurudi Kimoja Tanzania. Na Kama Ana Pesa Ni Kwa Ajili Ya Kufanya Katika Taasisi Za Maana Kama World Bank Na He Is A Respected Fella Kwenye Circles Za Washington Hapo Capital Dc.
Shukuru Una Gavana Smart Ambae Sio Mpenda Makuu..
Mushi Nilikua Nakutetea Nikiona Ukionewa But Nakubali Una Matatizo..fanya Utafiti Wangu..ama La Basi Na Mie Nianze Kuandika Ilimradi Nifikishe 2,000 Hapa Nipewe Hongera.
Ndulu Atakua Vipi Fisadi Wakati Kaondoka Nchini Tangu 1987 Na Karudi Juzi Alivyoitwa Kupewa U Gavana? Embu Apologize Basi Kwa Kutudanganya Mzee..kwa Bahati Ninamjua Huyu Mzee Tangu Utotoni Na I Know When Aliondoka Na Hadi Juzi Anaondoka Virginia Desemba 2007 Kurudi Kimoja Tanzania. Na Kama Ana Pesa Ni Kwa Ajili Ya Kufanya Katika Taasisi Za Maana Kama World Bank Na He Is A Respected Fella Kwenye Circles Za Washington Hapo Capital Dc.
Shukuru Una Gavana Smart Ambae Sio Mpenda Makuu..
Ni kweli sasa wameigeuzia udini!
Sasa kuwa na dini flani ama flani kama kuna determine nafasi zetu za kazi na wala si qualifications...Basi tuna shida!