mTZ_halisi
Member
- Oct 26, 2007
- 82
- 2
sijasema kuwa huyo jamaa ni mkristu thats why umempa support nachosema kuna watu wanajitia wanamjua mungu sana kuliko wengine ila matendo dont match the belief.
sasa basi, nimewapa cv ya jamaa kwa vile najua he is educated, na kuhusu hizo requirements za GOV post i have no comment abt but jamani lazima tukubali kuna ranks fulani inabidi uwe umefika serikalini ili kupata certain positions... nae from my knowledge bado hajafika huko
kuhusu kupanda basi ni uamuzi wa mtu, kwani wangapi wana kazi nzuri na hela kibao wanatumia usafiri wa kawaida?? na hiyo haimfanyi mtu kuwa anaipenda nchi yake zaidi ya anayedrive, wajuaje labda anasave hela ya mafuta? maana bongo new york kama mafuta hayatoshi utaumbuka.... watu wana magari wanaendesha wk end tu
issue ingine wewe uko biased, kama ulivosema jamaa ni mentor wako una kila sababu ya kumfagilia.... na hata kama ana kitu kibaya huwezi kuona. kuna watu hata mie nawafagilia, say mzee wangu i believe he is the best candidate for any of these posts but he aint kwani si kila mtu anaweza kuwa kile roho yako inataka...
OK????
sasa basi, nimewapa cv ya jamaa kwa vile najua he is educated, na kuhusu hizo requirements za GOV post i have no comment abt but jamani lazima tukubali kuna ranks fulani inabidi uwe umefika serikalini ili kupata certain positions... nae from my knowledge bado hajafika huko
kuhusu kupanda basi ni uamuzi wa mtu, kwani wangapi wana kazi nzuri na hela kibao wanatumia usafiri wa kawaida?? na hiyo haimfanyi mtu kuwa anaipenda nchi yake zaidi ya anayedrive, wajuaje labda anasave hela ya mafuta? maana bongo new york kama mafuta hayatoshi utaumbuka.... watu wana magari wanaendesha wk end tu
issue ingine wewe uko biased, kama ulivosema jamaa ni mentor wako una kila sababu ya kumfagilia.... na hata kama ana kitu kibaya huwezi kuona. kuna watu hata mie nawafagilia, say mzee wangu i believe he is the best candidate for any of these posts but he aint kwani si kila mtu anaweza kuwa kile roho yako inataka...
OK????