Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,685
- 698,824
NotedMaudhui ya thread hii ni km Kichwa cha habari kinavyosema hayo mengine ni miongeza
NotedMaudhui ya thread hii ni km Kichwa cha habari kinavyosema hayo mengine ni miongeza
Wadada?!View attachment 408315
Wakati madada wetu wa Kibongo na Afrika wakishindana kununua Magari makali na Mavazi ya gharama wakumbuke na haya km huyu dada wa kizungu alivyofanya.
Nimeiloke habari yako lakini kicwa cha habari kina walakini. Wema hapo ameingiaje. nadhani wewe mwenyeweunahusika kama ni me na uliwahi acha mtoto mahali hii habari inakuhusu kulikom huyo Wema!View attachment 408315
Wakati madada wetu wa Kibongo na Afrika wakishindana kununua Magari makali na Mavazi ya gharama wakumbuke na haya km huyu dada wa kizungu alivyofanya.
Madamee nimemtolea mfano kwa sababu ni mtu anayetaka sifa za kujulikana kiasi kwamba anatafuta matukio yasiyokuwa na maana so nimempa hii idea aitumie itamfikisha mbali kwa kuisaidia jamii ni kick ya kimaendeleo.Nimeiloke habari yako lakini kicwa cha habari kina walakini. Wema hapo ameingiaje. nadhani wewe mwenyeweunahusika kama ni me na uliwahi acha mtoto mahali hii habari inakuhusu kulikom huyo Wema!
Malnutrition ndio ilimfubaza mtoto,lishe bora imemfanya anawiriHii picha haina uhalisia kabisa..! Yule mtoto pale Nigeria alishakuwa mtu mzima kiasi, huyu aliyebebwa anaonekana mdogo sana... mteke mteke kabisa..
Yule mweusi, huyo mweupe tena point 5!
Huu ni uongo wa mchana kweupe
Lakini sio sabab ya kutokuwa Na utuMkuu watu wengi ambao hawajawahi kuzaa wanakuwaga na roho za namna yake
Huo ni ukatili wao tu mkuuLakini sio sabab ya kutokuwa Na utu
PHOTOSHOP GONE WRONGView attachment 408315
Wakati madada wetu wa Kibongo na Afrika wakishindana kununua Magari makali na Mavazi ya gharama wakumbuke na haya km huyu dada wa kizungu alivyofanya.