IMFIKIE MADAM WEMA NA WADADA WENGINE MFANO WAKE

8b229a8f04330a214f474c000444817a.jpg


de17889b556a20b637dae9809d786b8b.jpg


45f8e5d2345e4b9973a65b877e39f3c3.jpg


4091430e6456d8acbcea83b2b0edab67.jpg
[

8aac4fe14889c7eac7c8a6d3ccc41a6f.jpg


Picha hapo juu ni siku mtoto Hope alipookotwa mtaani akituhumiwa kuwa ni mchawi - witch baby.

a111110514496466b19bf61ef37d9ba5.jpg


45e9100683f965fe517b87f9b36d48d9.jpg


a4fb22768d9c4e71ab7040376b136517.jpg


2e41a6aa9d30cca2ce155681359a4390.jpg




Hizi picha hapo afya yake mtoto Hope imeboreka na sasa yuko Kituo Cha watoto yatima huko Nigeria. Alitupwa kwa kudhaniwa kuwa ni mchawi!!


Itoshe hizi picha kuonesha kwamba huyo dada wa kidanish ni mke wa mnaijeria mmoja huko Naija.

eb7d112dd1e35ae6b131d9eb5074a995.jpg


84bbc69316218ddf1bc087c824fa2f65.jpg


9150687ae433b1b2e35eb134d472b3f7.jpg


24d746d2a610e7125c09600fc82201a9.jpg
 
Inaelimisha na kukumbusha watu kuwa anasa zote duniani ni ubatili na kujilisha upepo.
 
View attachment 408315
Wakati madada wetu wa Kibongo na Afrika wakishindana kununua Magari makali na Mavazi ya gharama wakumbuke na haya km huyu dada wa kizungu alivyofanya.
Nimeiloke habari yako lakini kicwa cha habari kina walakini. Wema hapo ameingiaje. nadhani wewe mwenyeweunahusika kama ni me na uliwahi acha mtoto mahali hii habari inakuhusu kulikom huyo Wema!
 
Nimeiloke habari yako lakini kicwa cha habari kina walakini. Wema hapo ameingiaje. nadhani wewe mwenyeweunahusika kama ni me na uliwahi acha mtoto mahali hii habari inakuhusu kulikom huyo Wema!
Madamee nimemtolea mfano kwa sababu ni mtu anayetaka sifa za kujulikana kiasi kwamba anatafuta matukio yasiyokuwa na maana so nimempa hii idea aitumie itamfikisha mbali kwa kuisaidia jamii ni kick ya kimaendeleo.
Pia ni mtu anayetamani kuwa na mtoto so km Mungu amemnyima uwezo huo anaweza akatafuta watoto wa mitaani angalaau 5 akawalea atakua ameisaidia jamii yake ya kitz
 
Hii picha haina uhalisia kabisa..! Yule mtoto pale Nigeria alishakuwa mtu mzima kiasi, huyu aliyebebwa anaonekana mdogo sana... mteke mteke kabisa..

Yule mweusi, huyo mweupe tena point 5!

Huu ni uongo wa mchana kweupe
Malnutrition ndio ilimfubaza mtoto,lishe bora imemfanya anawiri
 
Ni rahisi sana kukosoa wengine,huku sisi tukiamini hatuna wajibu was kufanya.
 
jamani kweli tujifunze kuwasaifia wasiojiweza. Hata biblia anasema dini iliyo safi ni kuwaona wagonjwa na kuwasaidia wenye shida ktk dhiki zao..
unakuta MTU nguo kavaa akizichoka anachoma wakati kuna wahitaji kibao wanahitaji nguo na zingewasaidia kufichs uchi wao.
vivyo hivyo kwa vitu vingine kama chakula, vitu vya ndani na pesa. think of others.
Yesu alisema "amhurumiaye masikini amhurumia Yesu"
 
Back
Top Bottom