IMF wathibitisha, Serikali imeishiwa!

r
NGOJA nipitie kwa umakini taarifa ya IMF kupitia Newsletter niliyoipata leo kuna mchana wa saa saba!!!

Concluding Statement by the IMF Mission to Tanzania
Press Release No.11/401
November 7, 2011


........................
"An International Monetary Fund (IMF) mission, led by Mr. Peter Allum, visited Dar es Salaam during October 26–November 7, 2011 to conduct discussions for the third review under the Policy Support Instrument (PSI).[SUP]1[/SUP] The mission met with Finance Minister Mkulo, Bank of Tanzania Governor Ndulu, and other senior officials, as well as representatives of the private sector, civil society, and development partners. The mission wishes to thank the authorities for their warm hospitality, close collaboration, and the high quality of the discussions."

"At the conclusion of the mission in Dar es Salaam, Mr. Allum issued the following statement:


"Despite recent power shortages, Tanzania's economy continues to grow strongly, expanding 6.3 percent in the first half of 2011. Core inflation, measured excluding food and energy components, remains in single digits, while headline inflation has approached 17 percent (year-on-year), boosted by global energy prices, food price effects from the drought in the Horn of Africa, and the recent depreciation of the shilling. Public spending has risen as a share of gross domestic product (GDP) in recent years to deliver significant growth in local government health, education and other social programs as well as scaled up investments in roads and other infrastructures. However, overall recurrent spending has outpaced revenue and grant financing, contributing to growing fiscal deficits and a rising public debt stock."


"Under the PSI program through June 2011, the Bank of Tanzania's reserve money targets were met and foreign commercial borrowing was kept well within program limits. However, partly due to the shortfall in commercial borrowing, domestic financing of the budget was higher than planned and the target for accumulating net international reserves was missed. Structural reforms are moving forward, notably to strengthen debt management capacity.

For more information, visits
Press Release: Concluding Statement by the IMF Mission to Tanzania


Hiyo sasa ndio taarifa rasmi ya IMF, ambayo si ya ki CHADEMA CHADEMA bali iliyotokana na utafiti wao. Ndio taarifa inayopaswa kuchambuliwa kwa hivi sasa na kuwekwa kwenye mizani na kuangalia inaegemea wapi!!!

Labda hujasoma haya maandishi za Zambarau. This is a warning FROM IMF kuwa matumizi ya serikali yanazidi hata makusanyo ya kodi, na misaada ya wafadhili na hilo linapelekea kukua kwa DENI LA SERIKALI!!!!!
 
Na bado,

Tunaposema tatizo lipo ujue lipo mfano mdogo ni our country debt to gdp ratio now stands at 40% of the total GDP excluding the $500 Billion Euro bond. Mwaka huu sijui figures ikifika mwisho wa mwaka zitakuwa wapi but kuna uwezekano tukawa 74.5% of the total GDP. Our external debt is estimated to be $7 Billion (2010 IMF figures).

Our tax revenue as percentage of GDP is 12% meaning from $23.06 Billion of GDP only 12% of it is collected by the revenue board. About $2.76 Billion. Tunachokikusanya kidogo mno kama kodi lakini kasi yetu ya kukopa ni kubwa mno. Bado hatuzungumzia Current account deficit na mengineyo.

Tunarudia tena kuna umuhimu wa serikali hii kupunguza matumizi yasiyo na msingi. That includes wabunge wa viti maalum kuokoa hii serikali isurvive na kutoishiwa hela. Serikali ipunguze matumizi ya anasa na badala yake iwekeze katika sekta za maendeleo.

Well said Mdondoaji,
Unajua the way hawa wanaendesha uchumi nikama miaka ile tukiwa watoto tunaiba gari nyumbani na kutumia mafuta yote ya mzazi na kumrudishia empty; kinachoendelea ni hayo hayo, tumia nafasi zao na kukamua kila kitu then kurudishia maskini nchi yao ikiwa empty.
 
Merekani wanakopa itakuwa Tanzania? mnanchekesha!

Merekani ndo nini? unamaanisha merereni kwenye tanzanite? au marekani? Kama ulikusudia marekani basi hujui wanamaanisha nini wanaposema marekani inakopa. Hawakopi kwa bakuli kama unavyofanya wewe na raisi wako mnunuliwa suti, unaposikia kuwa serkali ya marekani imekopa maana yake ni kwamba serkali hiyo imeiamuru federal reserve bank yao kuchapisha dola zaidi. Tofauti yao na sisi ni kwamba sisi tukiiamuru BOT kuchapisha zaidi madafu yetu basi yanashuka thamani kama yale ya Mugabe, wao hata wachapishe kwa wingi kiasi gani thamani ya pesa yao inabaki vilevile. Ila kwa kukudanganya wewe wanakuambia hiyo extra pesa waliochapisha wameikopa. Nchi za ulaya na marekani ndo wanavyofanya, hivi sasa baadhi yao wanataka kusitishwa kwa uchapishaji huo (Ukopaji) kwa madai kuwa serkali zao zimeongeza sana matumizi hasa kwenye social services, wanajadili namna ya kupunguza matumizi ya serkali zao ili wawe na budget ndogo ambazo hazitawafanya waendelee kuchapisha mihela ovyo ovyo na wanawasiwasi wakiendelea kufanya hivyo uchumi wa dunia nzima unaweza ku collapse. Kama unaswali zaidi unaweza kuni pm nitaendelea kutoa tuition bure.
 
Merekani ndo nini? unamaanisha merereni kwenye tanzanite? au marekani? Kama ulikusudia marekani basi hujui wanamaanisha nini wanaposema marekani inakopa. Hawakopi kwa bakuli kama unavyofanya wewe na raisi wako mnunuliwa suti, unaposikia kuwa serkali ya marekani imekopa maana yake ni kwamba serkali hiyo imeiamuru federal reserve bank yao kuchapisha dola zaidi. Tofauti yao na sisi ni kwamba sisi tukiiamuru BOT kuchapisha zaidi madafu yetu basi yanashuka thamani kama yale ya Mugabe, wao hata wachapishe kwa wingi kiasi gani thamani ya pesa yao inabaki vilevile. Ila kwa kukudanganya wewe wanakuambia hiyo extra pesa waliochapisha wameikopa. Nchi za ulaya na marekani ndo wanavyofanya, hivi sasa baadhi yao wanataka kusitishwa kwa uchapishaji huo (Ukopaji) kwa madai kuwa serkali zao zimeongeza sana matumizi hasa kwenye social services, wanajadili namna ya kupunguza matumizi ya serkali zao ili wawe na budget ndogo ambazo hazitawafanya waendelee kuchapisha mihela ovyo ovyo na wanawasiwasi wakiendelea kufanya hivyo uchumi wa dunia nzima unaweza ku collapse. Kama unaswali zaidi unaweza kuni pm nitaendelea kutoa tuition bure.

ubarikiwe katika bwana akaaye juu mahali palipoinuka. Nadhani wengi hili hawalijui, wanaweza vilivile kufuatilia oil scam ya marekani 1972 ndiyo watatambua kuwa wenzetu hawahaingaiki kama sisi.
 
Hii nchi ilifilisika wakati wa NYERERE, wakaja kutuokoa hao hao IMF cha ajabu ni nini? leo Tanzania tuna reserve ya kututosha miezi sita na uchumi umepanda mpaka UN wametambuwa hilo na kutupandisha chart.

Nyie mnakuja na sijui nini sijui nini, IMF hata nchi za magharibi wanakwenda, tazama Ugiriki kuna nini sasa hivi? msituletee porojo za mitaani.
 
Merekani wanakopa itakuwa Tanzania? mnanchekesha!

Dada FF, kukopa sio shida. Tatizo ni pale unapokwenda kukopa ili ukanunue mashangi, au ukalipie gharama za safari za nje za rais wako, au ukalipe watu kama dowans n.k. Marekani, hata china bado wanakopa mpaka kesho, lakini matumizi ya fedha hizo za mikopo ni kwa ajili ya miraji yenye tija( kiuchumi na kijamii) kwa mataifa yao. Naomba uelewe.
 
Hii nchi ilifilisika wakati wa NYERERE, wakaja kutuokoa hao hao IMF cha ajabu ni nini? leo Tanzania tuna reserve ya kututosha miezi sita na uchumi umepanda mpaka UN wametambuwa hilo na kutupandisha chart.

Nyie mnakuja na sijui nini sijui nini, IMF hata nchi za magharibi wanakwenda, tazama Ugiriki kuna nini sasa hivi? msituletee porojo za mitaani.

Faizafoxy saa hizi tayari hushapata Lager ngapi!!! Loh!
 
Merekani ndo nini? unamaanisha merereni kwenye tanzanite? au marekani? Kama ulikusudia marekani basi hujui wanamaanisha nini wanaposema marekani inakopa. Hawakopi kwa bakuli kama unavyofanya wewe na raisi wako mnunuliwa suti, unaposikia kuwa serkali ya marekani imekopa maana yake ni kwamba serkali hiyo imeiamuru federal reserve bank yao kuchapisha dola zaidi. Tofauti yao na sisi ni kwamba sisi tukiiamuru BOT kuchapisha zaidi madafu yetu basi yanashuka thamani kama yale ya Mugabe, wao hata wachapishe kwa wingi kiasi gani thamani ya pesa yao inabaki vilevile. Ila kwa kukudanganya wewe wanakuambia hiyo extra pesa waliochapisha wameikopa. Nchi za ulaya na marekani ndo wanavyofanya, hivi sasa baadhi yao wanataka kusitishwa kwa uchapishaji huo (Ukopaji) kwa madai kuwa serkali zao zimeongeza sana matumizi hasa kwenye social services, wanajadili namna ya kupunguza matumizi ya serkali zao ili wawe na budget ndogo ambazo hazitawafanya waendelee kuchapisha mihela ovyo ovyo na wanawasiwasi wakiendelea kufanya hivyo uchumi wa dunia nzima unaweza ku collapse. Kama unaswali zaidi unaweza kuni pm nitaendelea kutoa tuition bure.

ningependa kujua inakuwaje wao wakichapisha hela zaidi, dola haishuki thamani nasi tukichapisha inashuka.?
 
hii serikali bana,mpaka simu imeuza imebaki na line,ili uchaguzi ujao ishinde ki-line. Nalog off
 
sas huku tunakoelekea ni kule waliko wenzetu wa Turkey!
Mungu atuepushie mbali na hili!
Eee Molah tuepushie hili balaaaa!
 
Hii nchi ilifilisika wakati wa NYERERE, wakaja kutuokoa hao hao IMF cha ajabu ni nini? leo Tanzania tuna reserve ya kututosha miezi sita na uchumi umepanda mpaka UN wametambuwa hilo na kutupandisha chart.

Nyie mnakuja na sijui nini sijui nini, IMF hata nchi za magharibi wanakwenda, tazama Ugiriki kuna nini sasa hivi? msituletee porojo za mitaani.

Faiza, hivi unajua kwanini Tanzania wakati wa nyerere ilifilisika? naomba mawazo yako kwanza kabla sijakujibu maana unaweza kuwa na hoja ambayo kwa sababu moja au nyingine hukuitoa; Kuhusu uchumi kupanda, je huo uchumi ume trickle down to the micro level au ni uchumi uchwara? Inasikitisha kuona kuna watu wanashangilia kukua kwa uchumi kitakwimu, basi tuwe na siku moja ndani ya mwaka ya mapumziko - siku ya kusherehekea kukua kwa uchumi Tanzania maana since mwaka 2000, tume average at very impressive rates (over 6%) yet we are in one of our darkest moments katiak historia ya nchi hii. Wewe kusema uchumi umepanda hata UN wanatusifia ni kama mwajiri kumwambia mfanyakazi mshahara wako umepada by 10% na yeye kwenda mbio nyumbani kushehereke na familia yake bila kwanza ya kuangalia, ok, mshahara mwaka huu umepanda by 10%, je inflation? kwani kama ni by lmore than 10% imekula kwako; na hivyo ndivyo uchumi huu unakula kwa wananchi - more growth - more poverty; Uchumi huu sio pro - poor na ujue kwamba kilichofanya uchumi wetu ukue sana kuanzia mwaka 2000 ni mchango wa production ya gold, tukitoa gold katika equation ya GDP, uchumi wetu utakuwa chini sana kwani for the past 15 years, productivity in the agricultural sector has stagnated; kwenye manufacturing sector hakuna any meaningfu valued added growth;

Kuhusu nchi za magharibi kama Greece wanapata matatizo, yes ni kweli lakini as a result, viongozi wanaachia ngazi kukubali wamekosea!!!
 
Ndugu yangu, kwa huyu mtu ni bora ujaribu kutwanga maji kwenye kinu. Una possibility ya kupata unga kwa kufanya hivyo kuliko yeye kukuelewa


QUOTE=gmosha48;2777287]Dada FF, kukopa sio shida. Tatizo ni pale unapokwenda kukopa ili ukanunue mashangi, au ukalipie gharama za safari za nje za rais wako, au ukalipe watu kama dowans n.k. Marekani, hata china bado wanakopa mpaka kesho, lakini matumizi ya fedha hizo za mikopo ni kwa ajili ya miraji yenye tija( kiuchumi na kijamii) kwa mataifa yao. Naomba uelewe.[/QUOTE]
 
Dada FF, kukopa sio shida. Tatizo ni pale unapokwenda kukopa ili ukanunue mashangi, au ukalipie gharama za safari za nje za rais wako, au ukalipe watu kama dowans n.k. Marekani, hata china bado wanakopa mpaka kesho, lakini matumizi ya fedha hizo za mikopo ni kwa ajili ya miraji yenye tija( kiuchumi na kijamii) kwa mataifa yao. Naomba uelewe.

Tafadhali, kuna mkopo usioelezwa ni wanini siku hizi? IMF wana sheria zao za mikopo, na la kwanza inabidi wakupe masharti ambayo kama huyatimizi hawakupi, sasa wewe unaleta habari za kufikirika, mashangi sijui nini, wewe barabara alizotuwachia Nyerere hapa bila magari kama yale unafikiri kuna sehemu utazipita? wachaaa, usione sasa hivi Kikwete anajitahidi kutandaza mabarabara ukadhani ndio kote kupo hivyo.

Halafu unaongelea safari za kikwete, unafikiri anakwenda kucheza huko anakokwenda? ni nani anaetaka kusafiri kila siku? inafaa umpe sifa Kikwete kwa kufanya kazi kwa bidii usiku na mchana. Wewe hii Tanzania ya Kikwete leo ndio Tanzania ilivyokuwa hapo nyuma? maendeleo kila pembe lakini mnajidai kuyafumbia macho. Kikwete ndio Rais pekee wa Tanzania aliotangaza rasmi "hafi mtu kwa njaa hapa" na kweli, ni nani mwingine ambae hawajafa watu kwa njaa Tanzania hii.

Unaujuwa wakati wa Nyerere wewe> au unausikia tu? tulikuwa hatujui cha kukila kesho nini, unapanga foleni hjui kinachotolewa leo nini> kama ni mchele au unga au sukari. Leo unakwenda kuchaguwa untaka mchele wa wapi? Mbeya, Shinyanga, Ifakara, Mwanza, Pakistan, Thailand, India? yalikuwepo hayo wakati wa Mtakatifu? wacheni chuki binafsi tazameni ukweli.
 
Na bado kila wizara inaendelea na matumizi ya kutisha eti kusheherekea miaka 50 ya uhuru wakati wizara hizo hazikuwapo tangu uhuru. Sijui hayo mafungu ya sherehe nani anayaidhinisha maana sasa hivi imefanywa ndio uchochoro wa kupiga kila senti iliyopo wizarani.
 
Unakopa ili katika matumizi ya bajeti yako ya trilioni 13.5, over 8 trillioni goes to posho na mishahara and the rest ndio kwenye shughuli za maendeleo ya walipa kodi? Come on now. Angalia Marekani wanapokopa wanafanya nini na matumizi yao. Kukopa kwa serikali yoyote sio tatizo, unakopa kwenda kufanyia nini? na unachokifanya kitasaidia kuweza rudisha mkopo au atleast punguza mkopo in the future parallel to lifting the rural mass?
FF haelimishiki, unapotezwa muda wako bure.
 
Faiza, hivi unajua kwanini Tanzania wakati wa nyerere ilifilisika? naomba mawazo yako kwanza kabla sijakujibu maana unaweza kuwa na hoja ambayo kwa sababu moja au nyingine hukuitoa; Kuhusu uchumi kupanda, je huo uchumi ume trickle down to the micro level au ni uchumi uchwara? Inasikitisha kuona kuna watu wanashangilia kukua kwa uchumi kitakwimu, basi tuwe na siku moja ndani ya mwaka ya mapumziko - siku ya kusherehekea kukua kwa uchumi Tanzania maana since mwaka 2000, tume average at very impressive rates (over 6%) yet we are in one of our darkest moments katiak historia ya nchi hii. Wewe kusema uchumi umepanda hata UN wanatusifia ni kama mwajiri kumwambia mfanyakazi mshahara wako umepada by 10% na yeye kwenda mbio nyumbani kushehereke na familia yake bila kwanza ya kuangalia, ok, mshahara mwaka huu umepanda by 10%, je inflation? kwani kama ni by lmore than 10% imekula kwako; na hivyo ndivyo uchumi huu unakula kwa wananchi - more growth - more poverty; Uchumi huu sio pro - poor na ujue kwamba kilichofanya uchumi wetu ukue sana kuanzia mwaka 2000 ni mchango wa production ya gold, tukitoa gold katika equation ya GDP, uchumi wetu utakuwa chini sana kwani for the past 15 years, productivity in the agricultural sector has stagnated; kwenye manufacturing sector hakuna any meaningfu valued added growth;

Kuhusu nchi za magharibi kama Greece wanapata matatizo, yes ni kweli lakini as a result, viongozi wanaachia ngazi kukubali wamekosea!!!

Hoja zenu ni nzuri sana sasa tufanyeje maana hata hao mataifa makubwa yakitokea matatizo kama haya wanajadili tufanyeje sio kulaumu?????
 
Tafadhali, kuna mkopo usioelezwa ni wanini siku hizi? IMF wana sheria zao za mikopo, na la kwanza inabidi wakupe masharti ambayo kama huyatimizi hawakupi, sasa wewe unaleta habari za kufikirika, mashangi sijui nini, wewe barabara alizotuwachia Nyerere hapa bila magari kama yale unafikiri kuna sehemu utazipita? wachaaa, usione sasa hivi Kikwete anajitahidi kutandaza mabarabara ukadhani ndio kote kupo hivyo.

Halafu unaongelea safari za kikwete, unafikiri anakwenda kucheza huko anakokwenda? ni nani anaetaka kusafiri kila siku? inafaa umpe sifa Kikwete kwa kufanya kazi kwa bidii usiku na mchana. Wewe hii Tanzania ya Kikwete leo ndio Tanzania ilivyokuwa hapo nyuma? maendeleo kila pembe lakini mnajidai kuyafumbia macho. Kikwete ndio Rais pekee wa Tanzania aliotangaza rasmi "hafi mtu kwa njaa hapa" na kweli, ni nani mwingine ambae hawajafa watu kwa njaa Tanzania hii.

Unaujuwa wakati wa Nyerere wewe> au unausikia tu? tulikuwa hatujui cha kukila kesho nini, unapanga foleni hjui kinachotolewa leo nini> kama ni mchele au unga au sukari. Leo unakwenda kuchaguwa untaka mchele wa wapi? Mbeya, Shinyanga, Ifakara, Mwanza, Pakistan, Thailand, India? yalikuwepo hayo wakati wa Mtakatifu? wacheni chuki binafsi tazameni ukweli.
Aliye kuroga ni lazima alishakufa, sijui utatibiwa na nani, Lakini sikushangai kwakuwa wewe mwenzetu unafaidi makombo ya huyo shetani wako ibilisi usiye na soni.
 
Sawa sawa mkuu. Ebu tusaidiane kuchambua hili:

Mkullo June 2011


Mheshimiwa Spika, kwa upande wa matumizi, katika mwaka 2011/12 Serikali imepanga kutumia jumla ya shilingi
bilioni 13,525.9 kwa matumizi ya kawaida na maendeleo. Kati ya fedha hizo, kiasi cha shilingi bilioni 8,600.3 kimetengwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida, ikijumuisha shilingi bilioni 3,270.3 kwa ajili ya mishahara ya watumishi wa Serikali, taasisi na wakala za Serikali na shilingi bilioni 1,910.4 kwa ajili ya Mfuko Mkuu wa Serikali.

Aidha, jumla ya shilingi bilioni 4,925.6 zimetengwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo, ambapo shilingi bilioni 1,871.5 ni fedha za ndani na shilingi bilioni 3,054.1 ni fedha za nje.

Mapato:
A: Mapato ya Ndani 6,775,952
(i) Mapato ya Kodi (TRA) 6,228,836
(ii) Mapato Yasiyo ya Kodi 547,116
B: Mapato ya Halmashauri 350,496
C: Mikopo na Misaada ya Nje 3,923,551
D: Mikopo ya Ndani 1,204,262
E: Mikopo ya Masharti ya Kibiashara 1,271,634
JUMLA YA MAPATO YOTE 13,525,895

F: Matumizi ya Kawaida 8,600,287
(i) Mfuko Mkuu wa Serikali 1,910,376
(ii) Mishahara 3,270,292
(iii)Matumizi Mengineyo 3,419,619
Wizara 2,727,472
Mikoa 49,981
Halmashauri 642,166

G: Matumizi ya Maendeleo 4,924,608
(i) Fedha za Ndani 1,871,471
(ii)Fedha za Nje 3,054,137
JUMLA YA MATUMIZI YOTE 13,525,895

---
Ukisoma katika ufunguzi utaona kuna takwimu zimefinywa finywa, hazielezwi zimeenda wapi na mantiki yake ni matumizi ya kawaida in the form of posho, mishahara, repairs za majengo haya na yale, dhfa za kitaifa n.k - kwa ufupi i still hold kwamba 60% of the budget goes to other things than maendeleo ya Mtanzania. Thats the bottomo line.

Kimsingi uko sahihi- haswa kwa kuzingatia sentensi yako ya mwisho. Unachotakiwa kutambua ni kwamba, nchi/uchumi hauendeshiw tu kwa mishahara, posho na maendeleo. Lipo pia fungu la ghrama nyinginezo ( other charges): Mafuta, madawa, vitabu, chaki, kombat za police, nk. Tazama kifungi F hapo juu utaona mchanganuo. Kuna point mbili za msingi kwenye huu mjadala:
1) Tujitahidi sana kuhakikisha gharama za uendeshaji wa serikali ( recurrent expenditutures) zinatokana na makusanyo ya kodi. Na pia, matumizi kwenye fungu hili yawe ni ya lazima tu. Sii kama sasa ambapo tumekimbilia kununua mashangingi kwa killa boss serikalini. Uwezo wetu wa makusanyo ya ndani haukidhi mahitaji hayo.

2) Tunatakiwa kutenga kiasi kikubwa zaidi kwa ajili ya shughuli za maendeleo ( Capial Expenditure). Hapa nataka kutofautisha shughuli za maendeleo kweli- haswa katika uwekezaji katika miundo mbinu- barabara, nishati na mawasiliano, tofauti na mtindo wa sasa ambapo bajeti ya maendeleo bado mejaa mafungu kibao ya semina, posho, safari na marupurupu yasiyokuwa na tija kwa uchumi wetu.
 
Back
Top Bottom