Imetokea loliondo

Imetokea loliondo

Wakuu, pia msisahau kuleta picha za mlima uchafu ulioko pale na timu ya madaktari iliyokwenda kuokoa watu kwenye maajabu ya Loliondo!
dawa yenye muujiza inayotibu maradhi makubwa huku ikishindwa kuwatibu watu magonjwa ya kuhara damu..........
Hapo kwenye red kaka hii dawa inatibu baadhi ya magonjwa sio yote
 
Hii ni changamoto kwa wabunge tuliowachagua yawapasa asante zenu mzielekeze kwa hawa wasiojiweza nchi itajengwa na wenye afya na wala si wagonjwa
 
Wakuu, pia msisahau kuleta picha za mlima uchafu ulioko pale na timu ya madaktari iliyokwenda kuokoa watu kwenye maajabu ya Loliondo!
dawa yenye muujiza inayotibu maradhi makubwa huku ikishindwa kuwatibu watu magonjwa ya kuhara damu..........

Hivi babu ametangaza inatibu magonjwa yote?
 
Haya ni maajabu mengine ya dunia ambayo, if proven right, yatawadhihirishia wanadamu uwepo wa Supernatural Being (muite jina lolote utakalo). Such a timely devine intervention at the time when everyone was so desperate and needed help..
 
The Loliondo Wonder by NTV
babu anatangazwa kimataifa sasa

kazi ipo apo badae
 
Huyo ni John Alan Namu, bonge ya reporter. Alishinda CNN African Journalist of the year mwaka jana. Yani angalia Kazi alizofanya zamani za rogue tracker na kazi nyingine utaona kwamba jamaa ni fearless. Waandishi wetu ni kuogopa ogopa tu. Huyu Namu alitoa report ya Drug Lords wa Mombasa ilibidi akimbie nchini miezi mitatu baada ya story kutolewa. We need help Tanzania

Jamaa amebobea ktk tv reporting. Nimependa sana alivyoi-cover story yote ya babu wa Loliondo
 
HILI ENEO LAZIMA KUTAKUWA NA KITU kumbuka zinjanthropus walimpata maeneo hayo hayo ya kaskazini
 
HILI ENEO LAZIMA KUTAKUWA NA KITU kumbuka zinjanthropus walimpata maeneo hayo hayo ya kaskazini

Hapo umenichekesha sana mkuu! Who knows, may be kuna kitu hapo kwenye mji wa fuvu....
 
Ha ha ha na sisi si tuna Magid Mjengwa, ukisoma makala zake zinakupa picha halisi ya taaluma ya uandishi wa habari wa bongo
 
Kweli Dr Remmy Ongalla tulimpenda lakini Mungu alimpenda zaidi. Bila shaka nae angepelekwa Loliondo kwa babu angepona maradhi yake.
 
wadau kinywaji kipya baada miezi sita kitakuwa madukani,

199467_211539332193611_100000126374443_946856_7780521_n.jpg


attachment.php
 
Ha ha ha na sisi si tuna Magid Mjengwa, ukisoma makala zake zinakupa picha halisi ya taaluma ya uandishi wa habari wa bongo

Jamaa wanawaachia viewers wa-conlude wenyewe (and that is the perfect journalism) lakini huyo Mjengwa anakurupuka na makala zake zilizo na chembe za udini na kujaribu kuwa "mtaalam anayefikiri vizuri zaidi" au anayejua imani zote kuliko watanzania wote..what a pity! Uchambuzi wa siasa (ambao pia he always biased) hau-fit kwenye issue ya imani ambayo ni totally personal. Ni sawa na kumwambia yeye mjengwa kwa Mungu wake anayemwamini never existed!! alafu subiri furushi la ushahidi kwamba he does ambao from your standpoint its another fairy tale.
 
Shehe magumashi si ana ngoma! Majini hayaponyi drums wala tumba ndio maana kaenda kubwia kikombe
 
Back
Top Bottom