Jana nilikuwa nasoma post ya mdau mmoja ambaye ilionesha ni Dr pale Mt Meru akielezea wagonjwa walivyowengi na wote wamezidiwa baada ya kutoka kwa babu.na akawa anasikitishwa sana na media kuwa haziriport habari hizo. kwa wasomi wazuri wanaoielewa bible maandiko yake hawawezi kwenda kwa babu kwani majaribu kama hayo yalisha elezwa. Hao wote hawana lolote ni nguvu za shetani.Katika dawa zilizotolewa na Mungu hazina masheriti ya kutoka sehem moja kwenda nyingine.