AirTanzania
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 1,139
- 1,040
Heshima yako Maggid, Hili suala ni gumu sana kuna interest za watu wazito na linasemekana hili jambo lina mkono wa kifreemasons ndio maana babu anataka mia tano ile namba ina maana kubwa! Hili la dola moja nimelisikia hivi punde limenifanya nianze kuamini kuwa fremasons wanamkono ukiitazama ile dola moja utaona alama zao iangalie kwa makini kuna picha ya piramid juu yake kuna kama jicho! Usihadaike na kuumiza kichwa kuhusu maswala ya exchange rates kwani Mungu wa Isaya na Yakobo ni mwenye mapenzi na wanaadamu hawezi kuwapeleka sehemu inayowadhalilisha na kuishi maisha ya wanyama! Si tunasikia watu wanajisaidia porini na wanateseka kisawasawa kungoja "kikombe"? Upo wapi utu hapo? Kuna wengine humu JF wana miradi yao ya kubeba wanaoenda Loliondo kwa babu kwahiyo tegemea upinzani mkubwa wa hoja zako.
Naona watanzania siku hizi mmeingiliwa na Mambo ya kusema Freemasonry, kitu kidogo Freemasons, fulani kanya -Freemasons, Mbwa kakojoa -Freemasons, mwizi kaiba- Freemasons, babu na kikombe chake -Freemasons, Shekhe Yahya atabiri Kikwete kuwa Fisadi- Freemasons, tanzania ni maskini-Freemasons. Kila kitu mmekiweka kwenye Freemasons. Am sick and tired of this Freemasons songs, its like ccm sing Amani na utulivu