sweetdada
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 517
- 169
Natanguliza salamu kwa wote wapendwa..
kuna kisa kimetokea kimenifanya niamshwe usiku wa manane na kuniharibia usingizi.
nahitaji maoni yenu wadada, ingetokea kwako ungefanyaje?
kisa chenyewe kinaenda namna hii:
Kaka kampigia simu mpenzi wake mida ya sa moja jana usiku, wameongea kisha akamuuliza uko wapi?binti akajibu, niko mwenge nimekuja salon..
kaka:hee!kwani nyumbani hakuna salon?
binti:zipo ila huku ndo nimepazoea,sa hivi ndo naondoka nikapande bus,kaka:aa we bwana kwani huoni shida lakini mi sikuelewi,
binti:nipeleke basi home honey
kaka: aa na hizi foleni mi siwezi ila ningekupeleka
Basi mdada akapanda basi akafika home salama imefika saa tatu mkaka hata kumpigia kuuliza kama alifika salama..mdada akaamua kumpigia...kuanzia saa tatu simu iko engaged yani anaongea na simu mpaka saa nne na madakika ndo akapatikana..
dada akakasirika na kuanza kufoka alikuwa anaongea na nani more than an hour kama si mwanamke, "hata hujali kama nimefika we kwenye simu tuuu blablablabla" kibao mdada zikamtoka kumshutumu mwenzake anaongea na mwanamke kwenye simu,
mkaka akajitetea alikuwa amelala hata hakutumia simu yani hajui ni kwa nini simu ilikuwa engaged na kuendelea kuwa labda mitambo au blackberry inasumbu...lol
sasa bi dada akanipigia simu usiku analalamika afanyeje mwanaume ana mwanamke mwingine wanaongea lisaa kwenye simu...
kwa kuwa mi sio mzuri kwenye maushauri ya mapenzi, mana mie mwenyewe yashanishinda,nikamwambia asubiri nitamjibu ..
sasa nalileta swali kwenu wadada wa MMU..ingekuwa wewe ungereact vipi??
kuna kisa kimetokea kimenifanya niamshwe usiku wa manane na kuniharibia usingizi.
nahitaji maoni yenu wadada, ingetokea kwako ungefanyaje?
kisa chenyewe kinaenda namna hii:
Kaka kampigia simu mpenzi wake mida ya sa moja jana usiku, wameongea kisha akamuuliza uko wapi?binti akajibu, niko mwenge nimekuja salon..
kaka:hee!kwani nyumbani hakuna salon?
binti:zipo ila huku ndo nimepazoea,sa hivi ndo naondoka nikapande bus,kaka:aa we bwana kwani huoni shida lakini mi sikuelewi,
binti:nipeleke basi home honey
kaka: aa na hizi foleni mi siwezi ila ningekupeleka
Basi mdada akapanda basi akafika home salama imefika saa tatu mkaka hata kumpigia kuuliza kama alifika salama..mdada akaamua kumpigia...kuanzia saa tatu simu iko engaged yani anaongea na simu mpaka saa nne na madakika ndo akapatikana..
dada akakasirika na kuanza kufoka alikuwa anaongea na nani more than an hour kama si mwanamke, "hata hujali kama nimefika we kwenye simu tuuu blablablabla" kibao mdada zikamtoka kumshutumu mwenzake anaongea na mwanamke kwenye simu,
mkaka akajitetea alikuwa amelala hata hakutumia simu yani hajui ni kwa nini simu ilikuwa engaged na kuendelea kuwa labda mitambo au blackberry inasumbu...lol
sasa bi dada akanipigia simu usiku analalamika afanyeje mwanaume ana mwanamke mwingine wanaongea lisaa kwenye simu...
kwa kuwa mi sio mzuri kwenye maushauri ya mapenzi, mana mie mwenyewe yashanishinda,nikamwambia asubiri nitamjibu ..
sasa nalileta swali kwenu wadada wa MMU..ingekuwa wewe ungereact vipi??