Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 187
Sick Psychopath, most likely a woman [pathetic woman] or bisexual man with all sorts of child abuse trying to stir some havoc simply to get attention... probably gay altogether!!
Sadly, JF is not a place for you and i would pray that you receive at least 6 months ban because this is not a time wasting forum... we have all the quality people around that we learn from them everyday!!!
kama umetumwa, kamwambie aliyekutuma... umemaliza kazi yake, na kama ni drama queen, basi nenda ukatafute wapuuzi wenzako mtekenyane, mkimaliza mpeane pumba mlate
&&^&)))$@#@@****&^
Shwain mkubwa.....
Kwa sababu ni demu akeleta basi nongwaaa. Ok kuharibu sasa mimi ni dume na ilikuwa ni chemsha bongo tuu kwa all the topics nilizokuwa naleta humu.
JF ni kiboko, watu wanenda mpaka archive kuchukua data. Mku Next level... unanikumbusha mbali sana.
Ha!ha!ha!ha!ha!.....utakuwa unakumbukua kule kwa mdhungu (wa kwenu) pidabryusi.....ha!ha!ha!...CPU nyingine noma kaka!
Ila one thing: it is now 10:30pm east africa time.....something is wrong somewhere. check pm yako.
Mkuu mabox ya kibongo ndo yanatukesesha mpk now ....nothing wrong....! c ma PM!
Natufuta ile thread uliyoanzisha....kuomba ushauri wa kumegwa nje....huko Scandnavia.....nione tuliconclude vipi.......!
Ukiipata ilete hapa. Mkuu upo ndani ya jamvi usiku huu?
I seems to be boring Mrs Mtaba3rd June 2009, 08:53 PM
Hello my dears Wana JF,
Napenda kuelimika katika hili swala, na hisi kuwa huwa na bore hubby kutokana sijui ni mazoea au sijui cha kuongea naye! Nifanye nini ili nisiwe na mbore, maana mimi nadhani nimkimya sana inaweza kupita masaa manne hatujaongea kitu, na sipendi kuongea pumba nikaonekana wa kuja. Msaada tafadhalini wandugu
Haya sasa Julius njoo basi malizia kumsupport huyu jamaa maana toka mwazo naona upo benet kufikisha ujumbe wa kumshawishi.......
Ukiipata ilete hapa. Mkuu upo ndani ya jamvi usiku huu?
Wanajamii za leo jamani,
Niko kwenye ndoa ya almost two years, hatuna bado mtoto na my mr. Ktk hiki kipindi chote hadi sasa ndoa kwa kweli imekuwa na ups and downs kama kawaida. Ila cha ajabu nilichokuwa na hisia nacho toka nilipoanza kuishi na mwenzangu majibu nimeyapata...ana mega nje ya ndoa tena aliye kuwa girlfriend wake wa zamani, kutokana na taarifa niliyopewa na wake za marafiki zake wakaribu. Nampenda sana my mr. ila sijui ni nini hasa kilichompelekea kuanza tena uhusioano na huyo mama maana anamzidi kama 10 years hivi. Nikitu kimeniuma sana roho kunipelekea, ss kutokumjali tena, na kuamua kuwa na boyfriend wa kuniliwaza. Je, nimefanya kosa katika hili. All the evidence i had na akaomba msamaha nimsamehe. Nilimsamehe lakini na mimi nimehakikisha nimetafuta wangu wa nje ili tu balance.
Be easy...okay? Huu ni mtandao ndugu. Yeyote yule anaweza aka pose kama chochote kile. Tatizo ni nyinyi wenyewe kubweteka na kuchukulia kila kitu kisemwacho au kiandikwacho kuwa kama gospel truth.
Inawezekana pengine kweli alicholeta hapa kimemsibu na sasa kaamua (kwa sababu azijuazo mwenyewe) kubadilisha na kudai kila kitu ni cha kutunga.
Tumieni akili zenu. Humu hatuonani na hatujuani. Unaweza ukawa unajibishana hata na mzazi wako. Kwa hiyo basi, tumieni werevu na busara zenu katika jinsi mnavyochukulia kila kitu mkisomacho humu.
Akili zinatumika mkuu. Sema, binafsi, kuna muda huwa nafikilia kuna watu huwa wanatoa thread za maana na za kweli na humuhumu kuna watu wanashauri vizuri na ukiufanyia kazi ushauri unafanikisha.
All in all mkuu, nimekuelewe na kuanzia sasa nitakuwa makini maana kumbe humu mtu anajianzishia tu thread hata kama ni ya uongo 100%.
Nimemaliza kubeba mabox...nikaamua nijivinjari kidogo hapa....kabla sijaangusha!
Nimemaliza kubeba mabox...nikaamua nijivinjari kidogo hapa....kabla sijaangusha!
...akishakusanya evidence zake, nawe ujiandae kumuomba msamaha. Akikusamehe "lakini" pia akihakikisha anapata replacement yako kubalance, usijelalamika!
Kumbuka, hakuna msamaha wenye u-lakini...! either unaukubali au unaukataa tu,...usijiweke mtu kati.
Pond boy......please handle with care........utashushiwa fungi za kule DOCEBIT VOS OMNIA mzee......! Punguza mzuka pond!........!!
Wakulu nadhani mambo yalianzia https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/30511-i-seems-to-be-boring.html
...hii ngoja nim printie mamsapu wangu, kila akitaka kwenda saloon namtolea hii... 😀
Wewe ni mwanamke mwanaume? Mbona unachanganya habari?Niko kwenye ndoa ya almost two years, hatuna bado mtoto na my mr. Ktk hiki kipindi chote hadi sasa ndoa kwa kweli imekuwa na ups and downs kama kawaida.
Striker hapa umenena yampasayo mwanamume kama wewe kunena. Big up. Wengine Avatar zao tu za kike na majina ila Wanaume typical. Hujaona wengine uko wamemwambia Mrs Mtaba awaPMMRS MTABA,
naomba nikutahadharishe pia usije ukawa unaapply directly solutions zinazotolewa na wanawake humu jamvini!watch out.most of them sio wanawake.hata kama ni wanawake wamepinda sana