na log in kama Marytina ila nashangaa inasomea tofauti Mod kanifungia
kama vile huna dadaduu mwambie akomae tu kwani asije kusababisha mimba kuharibika..
nilimkosea kwa hiyo kanipa adhabu ya kulog in atakavyo yeye mimi sina controlStrange!
So amekuchagulia ID?
nacheka kivipi???naumia usitake kunizidishia maumivuPiga marufuku huyo mama
hadi saa hi unachekacheka tu
Banana na bf wako, usikubali aende
Wajawazito na hormone zao hakawii kumlilia ananii sijui nini
Akili kumkichwa hapo
Martina una visa wewe!!
Hukujisikia vibaya kuhusu ile ishu ya dada?
hii wikiend lazima nikaanzishe ugomvi sikubali tenaHivi wewe una umrii gani?
Unauzwa live kabisa...Aisay boi friend wako kapata bahati kupata demu kama wewe.
Yani hata akipenda demu mwingine ni kiasi cha kukudanganya tu kama hivi; Yule mwanamke umeniona naye, anamashetani na yale mashetani yake bila kwenda kulala naye basi yatamsubua sana....Wewe utakasirika tu lakini huna noma.
Hebu chukulia huu mfano mdogo sana, akitokea mme ambaye ana mke wake, na mke wake ana mimba.
Huyo mwanaume aje mwambia boi friend wako hivi; Toka mke wake kabeba mimba, basi kampenda sana gf wake(Ambaye ni wewe) na hawezi kulala mpaa gf wake aende kulala kwake...BF wako atasema nini.
Pole sana aisay.
Unajua wengi wana watoto ila hawana waume a.k.a mwanaume wa only kuzaa
nipo kwenye wakati mgumu sana kuvumila huu UPUUZI.
Sjawai beba mimba ila sikubaliani na mambo ya mimba IMEMPENDA
**** wamama wamenishauri nisubiri miezi tisa tu yataisha.Ongea na boifriend wako black n white..usivunge my sista,ukiona jamaa bado hajisomi then mfuate huyo mama mwambie unavyokerwa na hicho kisingizio. Usiposema,anaweza akakunyang'anya tonge hivi hivi unatazama halafu usiamini kilichotokea!
Usianzishe ugomvi wewe, siku hizi nani anazisha ugomvi wa kijinga.hii wikiend lazima nikaanzishe ugomvi sikubali tena
nimekumiss sanaMaria, mimi naomba kuuliza: huyo BF wako, yeye anaichukuliaje hiyo issue??!! Au akiitwa na yeye huenda ila mama wa watu ale??!! MHHHH...duniani kuna mambo kweli???!!! Anahitaji maombi huyo mama, ili huyo pepo mchafu amtoke.
nimekumiss sana
maswali mengine siwezi kunyajibu manake naona kama huyu mama-bf wanaleta ukinyaa
Unajua unaweza kufanya nini. . . .
We mwambie wala hamna shida, mwache aendelee kukupenda tu. Ila kila ukienda kwake ntakua nakusindikiza, boyfriend akikubali unajua hana hila. Mnaongozana kama mara nne hivi, kama huyo mama ana lake jambo utaona kama hatoacha kumuita.
ntazimiausishangae akisema mimba inamchukia maria kwa iyo bf aje peke yake