mariantonia
Senior Member
- Jan 6, 2012
- 135
- 52
@arusha, mama mchagga, baba mngoni
.......my boyfriend ana wiki mbili tokea arudi kubeba boksi ubelgiji
Kuna mmama (NOT MARRIED ila ana watoto wawili) ANA MIMBA ya 6 miezi amekuwa akimganda my BF, huyu mama tunaabudu naye
Nimejaribu kumweleza my bf kuwa siridhiki na hii hali akanijibu MIMBA YA HUYO MAMA IMEMPENDA
Mchungaji wa kanisani kwetu NAOGOPA KUMWELEZA
Note:mpaka usiku saa mbili mama mjamzito anampigia my BF aende kwake ili aweze kula jioni,
Kimbembe:Nimewaeleza wamama kuwa nataka kureact aggresivelly towards huu unafiki wa MIMBA IMEPENDA wananiambia eti pia mimba yangu itajampenda mtu mwingine kwa hiyo NIOMBE IWE MWANAUME wa mkee asiye na wivu kama mimi.
MSAADA WAMAMA WA JF:naombeni ukweli kama mimba zinapenda kihivi!!!!!!!!!!!!!!!!
.......my boyfriend ana wiki mbili tokea arudi kubeba boksi ubelgiji
Kuna mmama (NOT MARRIED ila ana watoto wawili) ANA MIMBA ya 6 miezi amekuwa akimganda my BF, huyu mama tunaabudu naye
Nimejaribu kumweleza my bf kuwa siridhiki na hii hali akanijibu MIMBA YA HUYO MAMA IMEMPENDA
Mchungaji wa kanisani kwetu NAOGOPA KUMWELEZA
Note:mpaka usiku saa mbili mama mjamzito anampigia my BF aende kwake ili aweze kula jioni,
Kimbembe:Nimewaeleza wamama kuwa nataka kureact aggresivelly towards huu unafiki wa MIMBA IMEPENDA wananiambia eti pia mimba yangu itajampenda mtu mwingine kwa hiyo NIOMBE IWE MWANAUME wa mkee asiye na wivu kama mimi.
MSAADA WAMAMA WA JF:naombeni ukweli kama mimba zinapenda kihivi!!!!!!!!!!!!!!!!